Ni kweli ukiizoom unapata picha ya simba?

Ni kweli ukiizoom unapata picha ya simba?

The Businessman

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2014
Posts
7,397
Reaction score
9,263
1428926869012.jpg
 
Kwenye moto naona mfano wa wanyama, mmoja mkubwa na mdogo nyuma...

Lakini hapo palipozungushiwa naona mfano wa mtu aliye vaa vazi jeupe na mkanda au kama / mshipi / mkwiji kiunoni!
 
Ee Mungu irehemu Tanzania. Hizi ajali na jinsi mambo yalivyo tutakuwa tumemess up sehemu.
 
Kwa hiyo unataka kusema hicho kipicha hapo chini ni bikira maria??
 
Back
Top Bottom