Ni kweli tunapambana na siasa za udini????

Ni kweli tunapambana na siasa za udini????

Status
Not open for further replies.

makesy

Member
Joined
Jan 29, 2013
Posts
75
Reaction score
32
Sioni kama kuna mtu, polisi,serikali, wala chama cha siasa,wala msajili wa vyama sioni mwenye nia ya dhati ya kuondoa siasa za udini katika nchi ya tanzania nasema haya kwasababu ya kitendo alichofanya lipumba juzi katika msikiti fulani hapa dar cha kwenda kuhubiri siasa msikitini na kuwashawishi waislam kujipanga kuinusuru dini ya kiislam mwaka 2015 sijasikia kiongozi yeyote aliekemea jambo hilo hivyo limeonekana ni jambo la kawaida na hata kiongozi mwingine anaweza kufanya hivyo hii ni aibu kwa serikali.na ndio maana wanaambiwa wao ni waasisi wa jambo hilo.

Mudi naomba madahii isiondolewe wala isiunganiswe na nyingine ili tujariri kuikosoa serikali.
 
we bwana we serikali yenyewe ipi?
unaumiza kich chako bure
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom