mogulnoise
JF-Expert Member
- Oct 28, 2014
- 2,434
- 5,535
Kama title inavyosomeka wadau nisipoteze muda nijikite moja kwa moja kwenye swali na ukizingatia nimerudi nchini tu hivi punde.
Swali: Nasikia watu wakilalamika hali ya kifedha ni ngumu kwa sasa hapa nchini je ni kweli?
Natarajia majibu mujarabu haswa ukizingatia mwezi wa ramadhani huu nitarudi nikasha futuru
Swali: Nasikia watu wakilalamika hali ya kifedha ni ngumu kwa sasa hapa nchini je ni kweli?
Natarajia majibu mujarabu haswa ukizingatia mwezi wa ramadhani huu nitarudi nikasha futuru