Iko hivi kuna bro wangu ni 27 alianzisha mahusiano ya kimapenzi na mdada 25 hivi kwa lengo la kuoana
Mahusiano yamevunjika, na wa kwanza kuvunja ni huyo mdada,akaanza kufanya uchunguzi kwa nini huyo mdada amemuacha akaja akagundua kuwa ana mahusiano mengine mwanaume miaka 40 hivi
Jamaa yangu alivyomhoji majibu yaliyotoka ni kwamba' Mr X nisingeweza kuolewa na mtoto ,bado sana,najua ulikuwa tayari kunioa ila nimehofia hapo mbeleni hutanitunza,hutaweza kulea watoto maana ujana ni maji ya moto,nitateseka hapo mbeleni,pole ila nimeamua
Cha kushangaza mdada anadate na huyo 40 years, mzee ana mke na watoto. Na wametangaza ndoa, kisa mzee ana vihela na ana majengo mengi
Vitu vinatafutwa, lakini nyie wanawake mungu anawaona
Mahusiano yamevunjika, na wa kwanza kuvunja ni huyo mdada,akaanza kufanya uchunguzi kwa nini huyo mdada amemuacha akaja akagundua kuwa ana mahusiano mengine mwanaume miaka 40 hivi
Jamaa yangu alivyomhoji majibu yaliyotoka ni kwamba' Mr X nisingeweza kuolewa na mtoto ,bado sana,najua ulikuwa tayari kunioa ila nimehofia hapo mbeleni hutanitunza,hutaweza kulea watoto maana ujana ni maji ya moto,nitateseka hapo mbeleni,pole ila nimeamua
Cha kushangaza mdada anadate na huyo 40 years, mzee ana mke na watoto. Na wametangaza ndoa, kisa mzee ana vihela na ana majengo mengi
Vitu vinatafutwa, lakini nyie wanawake mungu anawaona