Ni Kweli Shetani yupo ..

Ni Kweli Shetani yupo ..

Mlupembe

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2014
Posts
446
Reaction score
216
Sijui wengine wanawezaje kuacha uzinzi, me nimejaribu bila mafanikio..
Tangu nasoma secondary nlikuwa siwezi hata kufanya mtihani bila kuwa na ahadi na msichana nadeki tu..tatizo limekuwa kubwa zaidi kwa sasa mana naweza kujiapiza Sitaki tena girl ..lakini Utakuta from no where mnakutana na x wangu yoyote afu nashindwa kujizuia.. Hivi mpaka nimeombewa lkn kila nikiachana na mmoja anatokea mwengine basi tu ili nisiache ngono..wenzangu mnawezaje kumuhimili shetani huyu..msaada Jamani nshachoka nguvu zenyewe mpaka Congo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo shibe
Ungekuwa na njaa wewe hata huyo bwana mdogo asingekuwa na mawazo ya kusimama

Solution nyepesi ni kushinda njaa tu
 
Just Control your thoughts and you will be good to go.
 
Back
Top Bottom