Matatizo ya Tanzania ni zaidi ya sera. Ki ukweli sera zooooote ni nzuri, tatizo liko kweye utekelezaji. Na utekelezaji unaanzia kweye mfumo wenyewe wauendeshaji nchi. Chama kama CCM kinapotata ushindi kinaunda serikali ambayo inatarajiwa kutekeleza hizo hizo sera. bahati mbaya sana chama kama chama haki fanyi ufuatiliaji wa utekeleza wa hizo zera. CCM kwa mfano hawana kitengo cha ufuatiliaji na tathmini (Monitoring and eveluation) ambacho kinaweza kika kikafanya upembuzi wa kisayansi kuona kama sera zake zinatekelezwa. Hii inatokana na sababu mbili, kwanza Mwenyekiti wa CCM ndo huyo huyo mkuu wa Serikali. Hivyo sioni namna ambayo mwenyekiti wa CCM anaweza kuruhusu hilo lifanyika maana atakua ana jivua nguo mwenyewe.
Pili watanzania kwa ujumla ni watu wa chukua chako mapema, Watanzania wengi wa sasa kwa nafasi walizonazo kila mtu anajali masilahi binafsi. wenyewe wanasema bora mkono unaenda kinywani. Wakishapata nafasi hawataki kujisumbua akili wa kusumbuka kwa namna yoyote ile. watendaji wengi wa serikali hawako kwa masilahi ya taifa bari kwa masilahi yao wenyewe. na wala siyo kweli kwamba wako chadema na wanaihujumu serikali. Hawapendi kabisa chadema kwa sababu wananufaika na mfumo uliopo. Hawaulizwi na wala hawawajibishwi, wanakula nchi kwa kwenda mbele.
Tatizo lingine la serikali/chama tawala ni kutekeleza mipango mingi isiyotekelezeka. Mara Mkukuta, mara milleniun goals, mara ilani ya uchaguzi, maagizo ya raisi n.k. Kwa kuwa na mipango mingi ni vigumu kupima ufanisi wa utekelezaji. Kunatakiwa kuwe na mpango mmoja tu, na hakuna haja ya kuwa na mipango mingi.
CCM haina vichwa, CCM haina watu wanaoweza kuandika sera na kufuatilia utekelezaji. After all wanajua kuwa watanzania hawachagui chama kwa sababu ya sera. Kama wangekua wanachagua sera basi Kikwete asingejaguliwa kwa maana katika kampeni zilizopita haku nadi sera bali alikuja na staili ya ahadi za papo kwa hapo.
Pili watanzania kwa ujumla ni watu wa chukua chako mapema, Watanzania wengi wa sasa kwa nafasi walizonazo kila mtu anajali masilahi binafsi. wenyewe wanasema bora mkono unaenda kinywani. Wakishapata nafasi hawataki kujisumbua akili wa kusumbuka kwa namna yoyote ile. watendaji wengi wa serikali hawako kwa masilahi ya taifa bari kwa masilahi yao wenyewe. na wala siyo kweli kwamba wako chadema na wanaihujumu serikali. Hawapendi kabisa chadema kwa sababu wananufaika na mfumo uliopo. Hawaulizwi na wala hawawajibishwi, wanakula nchi kwa kwenda mbele.
Tatizo lingine la serikali/chama tawala ni kutekeleza mipango mingi isiyotekelezeka. Mara Mkukuta, mara milleniun goals, mara ilani ya uchaguzi, maagizo ya raisi n.k. Kwa kuwa na mipango mingi ni vigumu kupima ufanisi wa utekelezaji. Kunatakiwa kuwe na mpango mmoja tu, na hakuna haja ya kuwa na mipango mingi.
CCM haina vichwa, CCM haina watu wanaoweza kuandika sera na kufuatilia utekelezaji. After all wanajua kuwa watanzania hawachagui chama kwa sababu ya sera. Kama wangekua wanachagua sera basi Kikwete asingejaguliwa kwa maana katika kampeni zilizopita haku nadi sera bali alikuja na staili ya ahadi za papo kwa hapo.