Ni kweli mwanamke kukuza makalio kunamfanya awe mwanamke kweli?

Kushdon

Member
Jan 14, 2017
15
18
Za saa hii ndugu,

Jamaa na marafiki, Leo nimekumbuka kitu ambacho huwa kinanifanya nimkumbuke mtu flani. Nilikuwa na binti mmoja ilikuwa 2015 mwishoni. Tulikua wapenzi. Alikuwa ni mzuri kiasi chake ila siyo kivile wa kutishia.

Siku moja tulikuwa tumepumzika akawaza then akaniambia "baby, nataka nikuze makalio" nikamuuliza "kivipi?" Akajibu "kwa kutumia miti shamba" nikashangaa! Kilichopelekea akafikia kuwaza huko ni nini?

Nikamwambia hapana mbona mrembo tu hivyo hivyo. Akakataa akaniambia "anataka na yeye aonekane mwanamke kweli" nilijiuliza maswali mengi mno. Nikaishia kumwazia kwamba akili zake ni fupi sana.

Hichi huwa kinanifanya namkumbuka ingawaje at the end she broke my heart lakini nikikumbuka huwa namkumbuka pia.

Hivi ndo wanawake wote huwa wanawaza hivi?
 
Hujakosea mkuu
Chura ni kitu muhimu sana,si kwa mwanamke2 kupata maslahi bali kwa uchumi wa taifa kiujumla
Mfano..Tako la wema sepetu;
..rangi-jeupe
..uzito-kilo 10
Ram-4gb
..network..5g!!
Hili tako limesaidia sana kuinua uchumi wa mlimbwende Huyu mpaka imefikia hatua yeye hafanyi kazi ..ni kusubiri aletewe pesa tu!! Kutokana na uzuri wa tako lake..
Pia tako hili Mubashara ni chanzo kikubwa cha Mapato ya nchi,kwani linaweza kukusanya kodi mpaka bilioni20 kwa mwaka!!(amazing)
My take ..tuiombee hii kitu idumu daima kwa maslahi ya taifa letu..Ameen
 
.
deb00fd461da41f0fc4964e962b86b12.jpg
55c15907d6c29cda5d6467bcd1e93262.jpg
f9ea38cef50e7d4badd9750373cb5625.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom