Ni kweli MENO ya binadamu yana sumu?

tizo1

JF-Expert Member
Mar 9, 2011
856
145
Jaman wana jf tafadhali mnisaidie kuna mtu kaning'ata mpaka kidonda,JE MENO YANA SUMU?NINI FIRST AID NA TIBA YAKE?
 
Pole kwa kutojibiwa kwa siku kadhaa. Meno ya binadamu hayana sumu (kama unamaanisha sumu kama ya nyoka, nge etc). Ila vinywa vya wanyama akiwemo binadamu ni vichafu, nikimaanisha kina bacteria wengi na hivyo wanaweza ku'infect' kidonda wakati umeng'atwa kwa jino.

Natumai mpaka sasa utakuwa umeshapata 'first aid', ila next time (sikuombei ung'atwe tena) njia nzuri ni kusha kwa maji mengi yanayotiririka au kwa antisepctic eg spirit, iodine, alcohol (sio bia) etc. na kisha uche wazi hicho kidonda...usikifunge au kubandika plasta. Mara chache unaweza ukahitaji atnibiotic kama cloxacillin au ampiclox.
 
Nashukuru mtaalam.JF ni muhimu sana kwetu watanzania inatuamasisha sana na kuelewa mambo muhimu yanayotutatiza
 
Pole kwa kutojibiwa kwa siku kadhaa. Meno ya binadamu hayana sumu (kama unamaanisha sumu kama ya nyoka, nge etc). Ila vinywa vya wanyama akiwemo binadamu ni vichafu, nikimaanisha kina bacteria wengi na hivyo wanaweza ku'infect' kidonda wakati umeng'atwa kwa jino.

Natumai mpaka sasa utakuwa umeshapata 'first aid', ila next time (sikuombei ung'atwe tena) njia nzuri ni kusha kwa maji mengi yanayotiririka au kwa antisepctic eg spirit, iodine, alcohol (sio bia) etc. na kisha uche wazi hicho kidonda...usikifunge au kubandika plasta. Mara chache unaweza ukahitaji atnibiotic kama cloxacillin au ampiclox.
Nilikwaluzwa na meno na mke wangu wakati tunafanya sex kwenya titi langu la kulia hapakutokea alama yoyete ya kuumia baada ya siku mbili nikaaza kusikia maumivu na uvimbe ukatokea kwa ndani nikaenda hospital nikapewa dawa na kuchoma tetenas lakni haikusanisadia uvimbe umeendelea kuongezeka na nimetumia zaidi ya dozi mbili sasa lakni hakuna mabadiriko na sasa nina mwezi toka nipate hili tatzo napata hofu sana. Je hii ni kawaida kwa meno ya binadamu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom