kuna hadithi moja zamani ilitokea mtaa mmoja
watoto wa miaka kama kumi na mbili wa kike na wa kiume walikuwa wakichezeana na kufanya mapenzi ktk umri huo.
basi wale wazee wa mtoto wa kike wakawa wanazungumza kuwa mtoto wao anaharibiwa na mtoto wa jirani na wakawa wanajipanga kwenda polisi.
upande wa pili baada ya kusikia hatua ambazo wazee wenzao wanataka kuchukua, mbio walikimbilia polisi na kufungua shtaka la kuwa mtoto wa jirani anawaharibia mtoto wao, wale walishangaa inakuwaje mtoto wa kike amuharibu mtoto wa kiume?
sasa wakati wanaongea polisi mara wazee wa mtoto wa kike na wao wameingia kufungua shtaka, wakaambiwa mbona wenzenu weshakufungulieni, na wanalalama mtoto wao haendi shule, hakai nyumbani, hatumiki kila wakati yuko na mtoto wenu, amemuharibu hataki kusikia wala kufata maelekezo ya wazee wake.
wazee wa mtoto wa kike walichoka.