youngsharo
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,491
- 500
Wengi tumeaminishwa kuwa Lowassa ni chaguo la wengi, na ndicho anachokiamini hata yeye mwenyewe, "huu si upendo bali ni mahaba" kama ni kweli je, itashindikanaje kwa mtu huyu kuwa raisi?
Nashangaa Magufuli bado ana imani ya kwenda ikulu, teh teh teh politics is so funny.
Mungu Ibariki Tanzania.
youngsharo
Nashangaa Magufuli bado ana imani ya kwenda ikulu, teh teh teh politics is so funny.
Mungu Ibariki Tanzania.
youngsharo
Last edited by a moderator: