Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Shikamooni wakubwa zangu wote wa humu jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
Eti, ninasikia NSSF wamesitisha fao la kujitoa kwa wale ambao mikataba yao ya kazi imeisha kuanzia December 2018 na miezi yote ya nyuma?
Nimeuliza hivi kwa maana kwamba kuna dada mmoja ni receptionist wa NSSF mkoa nje ya Dar ndiye amenijibu hivyo nikahisi kana kwamba anatengeneza mazingira ya rushwa.
Nimejaribu pia kuangalia kwenye notice board yao pale ofisini, hawajaandika kitu.
Mwenye taatifa sahihi naomba please.
Eti, ninasikia NSSF wamesitisha fao la kujitoa kwa wale ambao mikataba yao ya kazi imeisha kuanzia December 2018 na miezi yote ya nyuma?
Nimeuliza hivi kwa maana kwamba kuna dada mmoja ni receptionist wa NSSF mkoa nje ya Dar ndiye amenijibu hivyo nikahisi kana kwamba anatengeneza mazingira ya rushwa.
Nimejaribu pia kuangalia kwenye notice board yao pale ofisini, hawajaandika kitu.
Mwenye taatifa sahihi naomba please.