yaah hiyo ipo kwa sababu inafikia kipindi unakua na wewe unatamani uwe na family yako uweze kujitegemea so hiyo inatokea hasa kuanzia age 24 huwa wanatamani sana
Happy blu mandei wana jf
Jamani naomba niwaulize from experience niliyoishuhudia toka kwa ndugu na marafiki wanaunizunguka esp gals,
nilikua na marafiki zangu wawili wadada kwa vipindi tofauti wameolewa last year na wanaume ambao wamedumu nao katika mahusiano in less dan six month,hawa rafiki zangu walikua na mahusiano ya mda mrefu na boys zao ambao ni mashem wangu wa zamani, kiukweli walipendana sana hata sisi wa nje tuliliona hilo,mwaka jana mwanzoni mmoja akabrek up na mpenzi wake sababu inayoeleweka hakuna anadai mwanaume hasomeki hana dalili ya kuoa wakati mwenzie kamwambia amvumilie this year watafunga ndoa ,ma frend kaona anachelewa kila tukishauri anadai anataka aanzishe family yake, baada ya miez miwil after breaup kamtambulisha mshkaji from no wea wakafunga ndoa .
Mwishoni mwa mwaka jana the sem story kwa anaza frend of mine, ila huyu namsikitikia coz ameolewa bt stil anampenda her X bt mwenzie ndio hivyo ye alimpa miaka 2 Mbele asubirie wafunge ndoa ma frend akaona anaharaka kaolewa,
Sasa mwisho ni kwa my cousin naye ana boyfrend wake kwa miaka 3,now ananipigia simu kwa ushauri kila cku ana 27 her boyfrend is 30 anasema stil anajipanga so kuna husband material kajitokeza kwa presha anamuomba ampeleke home aanze mipango ya harusi ,inshort tyhe guy is serias na ma cousin anasema is abt to give him go ahead aolewe.
Hivi ni kweli kunakua na hizi inside pressure kwa wadada wanapofika umri flani maana me nnachokiona ni kuja kufanya uamuzi wa kuolewa na kumwacha umpendae,how do u c ?
huu ndo ukweli kabisa,mie siku izi na deal na age 24-30,wengi mpaka magheto kwao wananilazimisha niamie yaani kidume naudumiwa mapaka naona kero,tena sio mmoja ila kuna mmoja kaniahidi cresta nikubali ndoa mwakani mwezi wa tatuTake it from my xperience with girls, ladies and women..age-wise
1- 14-18yrs- hawa ni headeache na vicheche na wanataka kuonjaonja na wengi hunasa mimba miaka hii
2- 19-24 yrs hawa hawafai hata kuwaambia kuwa wewe ni mchumba na unataka kumwoa, wanawazia starehe na sio kuolewa ingawa nao wanakuwa vicheche ila wako makini katika mimba zembe
25-27yrs- hawa wanapenda kutulia maana weshachoka na wanaamini waliyekuwa naye kwa wakati huo ndio mume mtarajiwa
28-32- hawa hata ukimtongoza anaweza kukukatalia maana keshachezea mi-broken heart na promise nyinge kadanganywa kwa hiyo hawa ukigusa anakuuliza kama unamchezea au unamwoa na lini...hawa hata mahari wanajilipia wenyewe.
32-40- hawa wanacgukuliwa na waume za watu na kama anauwezo anakamata serenget wake
huu ndo ukweli kabisa,mie siku izi na deal na age 24-30,wengi mpaka magheto kwao wananilazimisha niamie yaani kidume naudumiwa mapaka naona kero,tena sio mmoja ila kuna mmoja kaniahidi cresta nikubali ndoa mwakani mwezi wa tatu
wanawake wengi wanatamani kuolewa na mume mwenye mali, miradi, majumba nk.kazi kwelikweli unashauri nini bujibuji
wanawake wengi wanatamani kuolewa na mume mwenye mali, miradi, majumba nk.
Achaneni na ndoto hizo za alinacha, tafuta mume umpendae, mumtangulize Mungu kwenye mahusiano yenu, mali na vingine mtavipata mkiwa kwenye ndoa
huu ndo ukweli kabisa,mie siku izi na deal na age 24-30,wengi mpaka magheto kwao wananilazimisha niamie yaani kidume naudumiwa mapaka naona kero,tena sio mmoja ila kuna mmoja kaniahidi cresta nikubali ndoa mwakani mwezi wa tatu
wanawake wengi wanatamani kuolewa na mume mwenye mali, miradi, majumba nk.
Achaneni na ndoto hizo za alinacha, tafuta mume umpendae, mumtangulize mungu kwenye mahusiano yenu, mali na vingine mtavipata mkiwa kwenye ndoa
Inafanana na ukweli (according to my experience)Take it from my xperience with girls, ladies and women..age-wise
1- 14-18yrs- hawa ni headeache na vicheche na wanataka kuonjaonja na wengi hunasa mimba miaka hii
2- 19-24 yrs hawa hawafai hata kuwaambia kuwa wewe ni mchumba na unataka kumwoa, wanawazia starehe na sio kuolewa ingawa nao wanakuwa vicheche ila wako makini katika mimba zembe
25-27yrs- hawa wanapenda kutulia maana weshachoka na wanaamini waliyekuwa naye kwa wakati huo ndio mume mtarajiwa
28-32- hawa hata ukimtongoza anaweza kukukatalia maana keshachezea mi-broken heart na promise nyinge kadanganywa kwa hiyo hawa ukigusa anakuuliza kama unamchezea au unamwoa na lini...hawa hata mahari wanajilipia wenyewe.
32-40- hawa wanacgukuliwa na waume za watu na kama anauwezo anakamata serenget wake
Take it from my xperience with girls, ladies and women..age-wise
1- 14-18yrs- hawa ni headeache na vicheche na wanataka kuonjaonja na wengi hunasa mimba miaka hii
2- 19-24 yrs hawa hawafai hata kuwaambia kuwa wewe ni mchumba na unataka kumwoa, wanawazia starehe na sio kuolewa ingawa nao wanakuwa vicheche ila wako makini katika mimba zembe
25-27yrs- hawa wanapenda kutulia maana weshachoka na wanaamini waliyekuwa naye kwa wakati huo ndio mume mtarajiwa
28-32- hawa hata ukimtongoza anaweza kukukatalia maana keshachezea mi-broken heart na promise nyinge kadanganywa kwa hiyo hawa ukigusa anakuuliza kama unamchezea au unamwoa na lini...hawa hata mahari wanajilipia wenyewe.
32-40- hawa wanacgukuliwa na waume za watu na kama anauwezo anakamata serenget wake
Happy blu mandei wana jf
Jamani naomba niwaulize from experience niliyoishuhudia toka kwa ndugu na marafiki wanaunizunguka esp gals,
nilikua na marafiki zangu wawili wadada kwa vipindi tofauti wameolewa last year na wanaume ambao wamedumu nao katika mahusiano in less dan six month,hawa rafiki zangu walikua na mahusiano ya mda mrefu na boys zao ambao ni mashem wangu wa zamani, kiukweli walipendana sana hata sisi wa nje tuliliona hilo,mwaka jana mwanzoni mmoja akabrek up na mpenzi wake sababu inayoeleweka hakuna anadai mwanaume hasomeki hana dalili ya kuoa wakati mwenzie kamwambia amvumilie this year watafunga ndoa ,ma frend kaona anachelewa kila tukishauri anadai anataka aanzishe family yake, baada ya miez miwil after breaup kamtambulisha mshkaji from no wea wakafunga ndoa .
Mwishoni mwa mwaka jana the sem story kwa anaza frend of mine, ila huyu namsikitikia coz ameolewa bt stil anampenda her X bt mwenzie ndio hivyo ye alimpa miaka 2 Mbele asubirie wafunge ndoa ma frend akaona anaharaka kaolewa,
Sasa mwisho ni kwa my cousin naye ana boyfrend wake kwa miaka 3,now ananipigia simu kwa ushauri kila cku ana 27 her boyfrend is 30 anasema stil anajipanga so kuna husband material kajitokeza kwa presha anamuomba ampeleke home aanze mipango ya harusi ,inshort tyhe guy is serias na ma cousin anasema is abt to give him go ahead aolewe.
Hivi ni kweli kunakua na hizi inside pressure kwa wadada wanapofika umri flani maana me nnachokiona ni kuja kufanya uamuzi wa kuolewa na kumwacha umpendae,how do u c ?