Uko vzr ila wenzako wanazingua koz wanatangaza bikra kama cheo fulani hivi huko ikuru!!Msema ukweli mpenzi wa mungu sijui wengine ila mm binafsi ilitoka hio bikra miaka10 ilopita...kwanza haina ata faida sikuiz!! Mana mpango mzima ni marinda...bikra nmewaachia majoka kibisa![]()
HahahahahaahahaNa wewe pia waambie hata wewe ni bikra
Wana jf habari yenu!?!?
Naomba kusaidiwa ,ni kwann kila msichana naejalibu kudati nae ananiambia ni bikira hata yule nayemfaham kashawahi kuguswa na mshikaji wangu!?!?
Au wao kusema ni mabikira wana manisha nini!???!!?
Huwaga wanakimbilia kusema bikra ili usionje makinikia wapo defensive zaidi utasikia hadi unioeWana jf habari yenu!?!?
Naomba kusaidiwa ,ni kwann kila msichana naejalibu kudati nae ananiambia ni bikira hata yule nayemfaham kashawahi kuguswa na mshikaji wangu!?!?
Au wao kusema ni mabikira wana manisha nini!???!!?
Ttizo lako ww unadanganywa na watu ambao unawafahamu.Wewe Mkuu hujawahi kudanganywa!!??
mkuu usishangae, mimi nishawahi toa bikira kwa demu aliekuwa mapepe kishenzi, yaani kaliwa sana na washikaji. kuja gundua kumbe alikuwa anagawa tigo tu. akaja kunitunuku mimi kukata utepe.Mkuu inashangaza kidogo kuona kila mdada anadai yeye n bikra!!