Ni kweli Kenya Umeme haukatiki hovyo?

Ni kweli Kenya Umeme haukatiki hovyo?

ibanezafrica

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,261
Reaction score
6,556
Wadau,

Leo nikiwa butcher nanunua nyama muuzaji mwenyeji wa silali amenifumbua kitu pale aliponambia yeye ameishi sana kenya na kule Umeme haukatiki na ikitokea basi maelezo ya sababu na kuomba radhi toka kwa wakuu wa shirika hufuata.

Nimeshangazwa ka hilo kama ni kweli sisi tuna tatizo gani na TANESCO?Ikumbukwe matatizo ya nishati hii tangu miaka ya mwishoni mwa '90, sasa hadi leo hii mwaka huu tatizo ni kama linazidi badala ya kupatiwa ufumbuzi shida ni nini jamani?

Tutafika kweli?
 
Wadau leo nikiwa butcher nanunua nyama muuzaji mwenyeji wa Silali amenifumbua kitu pale aliponambia yeye ameishi sana kenya na kule umeme haukatiki na ikitokea basi maelezo ya sababu na kuomba radhi toka kwa wakuu wa shirika hufuata....nimeshangazwa ka hilo kama ni kweli sisi tuna tatizo gani na Tanesco?ikumbukwe matatizo ya nishati hii tangu miaka ya mwishoni mwa '90..sasa hadi leo hii mwaka huu tatizo ni kama linazidi badala ya kupatiwa ufumbuzi;shida ni nini jamani?tutafika kweli?

[h=2]Special Interruption- Elgeyo Marakwet[/h]
Kenya Power will interrupt electricity supply to some parts of Elgeyo Marakwet County between 24th September and 6th October 2015 in the below mentioned areas to facilitate a major operation aimed at upgrading the power network to improve reliability and quality of power supply. The company regrets any inconvenience that may be caused during the operation.
- See more at: Power Interruptions | kplc.co.ke
 
Ni ukweli umeme haukatiki ovyo Kenya. Na Kenya Power wakikata wanaandika kwa gazeti na Twitter siku kama nne kabla wakate so that wafanye upgrade
 
unakatika kwa mpango..sio.kama huu wa tanesco.
 
Wadau,

Leo nikiwa butcher nanunua nyama muuzaji mwenyeji wa silali amenifumbua kitu pale aliponambia yeye ameishi sana kenya na kule Umeme haukatiki na ikitokea basi maelezo ya sababu na kuomba radhi toka kwa wakuu wa shirika hufuata.

Nimeshangazwa ka hilo kama ni kweli sisi tuna tatizo gani na TANESCO?Ikumbukwe matatizo ya nishati hii tangu miaka ya mwishoni mwa '90, sasa hadi leo hii mwaka huu tatizo ni kama linazidi badala ya kupatiwa ufumbuzi shida ni nini jamani?

Tutafika kweli?
sio Kenya tu hata Rwanda, Burundi, Uganda nasikia hata somalia pamoja na vita lakini bado umeme haukatiki hovyohovyo. Kwa hapa kwetu mimi nafikiri tuongeze maombi kwa Mungu ili atuonee huruma umeme uache kukatika katika eeeeeh maana hakuna njia nyingine.
 
Sio kukatikakatika. Umeme haukatiki wenyewe. Ni kwamba hakuna uzalishaji.Wamelamba hela yote ya mafuta sasa tuko gizani na kila kitu kimekuwa frustrated. CCM ni janga kuu
 
Wadau,

Leo nikiwa butcher nanunua nyama muuzaji mwenyeji wa silali amenifumbua kitu pale aliponambia yeye ameishi sana kenya na kule Umeme haukatiki na ikitokea basi maelezo ya sababu na kuomba radhi toka kwa wakuu wa shirika hufuata.

Nimeshangazwa ka hilo kama ni kweli sisi tuna tatizo gani na TANESCO?Ikumbukwe matatizo ya nishati hii tangu miaka ya mwishoni mwa '90, sasa hadi leo hii mwaka huu tatizo ni kama linazidi badala ya kupatiwa ufumbuzi shida ni nini jamani?

Tutafika kweli?
[h=1]Power Interruptions[/h]We wish to advise our customers that scheduled service interruptions advertised in the local dailies are now posted online on a daily basis. Kenya Power also apologises for any inconvenience caused and will endeavour to restore the supply as soon as possible.

[h=2]Special Ad - Mathare North[/h]



[h=2]Interruptions - 24.09.2015[/h]



[h=2]Special Interruption- Elgeyo Marakwet[/h]
Kenya Power will interrupt electricity supply to some parts of Elgeyo Marakwet County between 24th September and 6th October 2015 in the below mentioned areas to facilitate a major operation aimed at upgrading the power network to improve reliability and quality of power supply. The company regrets any inconvenience that may be caused during the operation.





[h=2]Interruptions - 17.09.2015[/h]



[h=2]SPECIAL POWER INTERRUPTION NOTICE - WHOLE OF GILGIL TOWN[/h]
Supply of electricity will be interrupted in Gilgil Town and its environs on Sunday 13th September 2015 TIME: 6.00 A.M. – 5.00 P.M.


[h=2]Interruptions 10.09.2015[/h]






[h=2]SPECIAL INTERRUPTION - NAIVASHA TOWN, SOUTH LAKE AREA[/h]



[h=2]Special Interruption - 07.09.2015 & 11.09.2015[/h]



[h=2]Interruptions 03.09.2015[/h]






[h=2]Interuptions 27.08.2015[/h]



[h=2]Interruptions 20.08.2015[/h]



[h=2]Special Interruption Notice - Whole of Kapenguria - 20.08[/h]

- See more at: Power Interruptions | kplc.co.ke
 
Mimi najua umeme haupotei kwa kijiji chetu na iwapo kutakuwa na marekebisho ya power lines basi hufanywa usiku wa manane ili usiharibu mipangilio ya biashara za watu mchana..mimi naona shida TZ ni kutowajibika kwa wizara ya nishati
 
huyu mleta mada si angehamia kenya.Naona kama ana papenda.Sisi umeme wao unatuhusu nini?
 
kwanza kenya hawafanyi siasa ktk maendeleo km ilivo tz,pia wenzetu wana wajuaji kibao hasa wasomi si km hapa tz ambapo wasomi wanajipendekeza kwa wanasiasa ili wapate posho na madaraka.
 
huyu mleta mada si angehamia kenya.Naona kama ana papenda.Sisi umeme wao unatuhusu nini?

punguza ujuha,umeme kukatika ovyo tena kila baada ya dak.3 unaona raha,jifunze kudai haki yako.
 
kwanza kenya hawafanyi siasa ktk maendeleo km ilivo tz,pia wenzetu wana wajuaji kibao hasa wasomi si km hapa tz ambapo wasomi wanajipendekeza kwa wanasiasa ili wapate posho na madaraka.

Ni kweli mkuu, Kenya hawafanyi siasa katika maendeleo. Hebu angalia mfano sakata la mishahara ya waalimu, yaani limeshughulikiwa kiuchumi zaidi na kila mwalimu anaishi kwa raha kweli kweli. This is according to nyumbu's way of thinking though.
 
Back
Top Bottom