Mkulu PM,
Heshima mbele, serikali yetu ina matatizo mengi sana, na mazuri mengi pia, lakini hili la kukopa ni la kawaida hata US sasa hivi wanakopa ku-facilitate vita vya Iraq, deficit kwa kwenye hazina ya nchi yetu sio kitu cha ajabu,
so far ni rais mmoja tu duniani aliyeweza kulishinda hilo naye ni Clinton, ambaye akiwa rais wa US, alii-balance kwanza budget, na wakati anaondoka aliacha surplus,