Kwani katikati hata kwenye vitu vingine panatafutwaje?
ni kweli katikati ya nchi haswa ipo bahi ipo dodoma wajerumani waliweka pini pale na faida ya wengine katikati ya dunia ni pale maka kwenye jiwe jeusi hili liliwekwa na nabii ibrahimu nchi za magharibi wethibitisha
Katikat sio bahi bali ipo wilaya ya manyoni. Sehemu inaitwa Sukamahela ndio katkat mwa Tanzania
Pia tukumbuke kuna wataalam wa mambo ya Map interpretation wanaweza kuja kutuambia ukati wa kitu.
Maana kwa kumbukumbu yangu ni kwamba Ukati wa kitu unategemea vitu vingi,na pia unaweza kuwa adjusted kutona na structure ya kitu husika na nature yake.
Sure mkuu Sukamahela na kuna alama kwenye jiwe ya pini kubwa.
Katikati ya nchi ni sukamahela,upande inapopita reli ya kati kuna mnara wamjerumani uko pale.
Sure mkuu Sukamahela na kuna alama kwenye jiwe ya pini kubwa.