Ni kwanini watu wenye majina ya asili Yao wanafanikiwa Sana kimaisha?

Ni kwanini watu wenye majina ya asili Yao wanafanikiwa Sana kimaisha?

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
6,447
Reaction score
11,504
Nimefanya utafiti nmegundua watu wenye majina ya asili ya kabila Lao hua wanafanikiwa Sana, iwe kimaisha, utajiri au kielimu, ni kama Yana baraka Fulani hivi.

Haya majina ya kizungu na kiarabu yalikuja na meli tuu hayana maana yoyote

Weka Imani yako pembeni kua open minded msikilize huyu JAMAA 👇👇
 

Attachments

  • Snapins.ai_video_AQM5gC373QjFwO5LAwyC1nWH2OG-Xmcpuwb4i8c1fissEGpMSde28ew1yVp2c-Pmx2Mvr3Ipg4VUQ...mp4
    72.9 MB
Blessings from Ancestors

Ukiwarecognize mababu wanakubariki tokea huko walipo
 
Acha kupoteza muda kwa imani za kijinga. Usipokuwa mtiifu kwa ibara ya 25 ya katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania utalaumu watu.
 
Nimefanya utafiti nmegundua watu wenye majina ya asili ya kabila Lao hua wanafanikiwa Sana, iwe kimaisha, utajiri au kielimu, ni kama Yana baraka Fulani hivi.

Haya majina ya kizungu na kiarabu yalikuja na meli tuu hayana maana yoyote

Weka Imani yako pembeni kua open minded msikilize huyu JA

Wataje
  1. Palamagamba Kabudi
  2. Kitila Mkumbo
  3. ?
Lakini kuna
  1. Reginald Mengi
Kweli ka
Nimefanya utafiti nmegundua watu wenye majina ya asili ya kabila Lao hua wanafanikiwa Sana, iwe kimaisha, utajiri au kielimu, ni kama Yana baraka Fulani hivi.

Haya majina ya kizungu na kiarabu yalikuja na meli tuu hayana maana yoyote

Weka Imani yako pembeni kua open minded msikilize huyu JAMAA 👇👇
Unasema
1. Mo- mohamed hajafanikiwa
2.reginad mengi- hakufanikiwa
3. Bakheresa-
4.salimu kikwete
5. Benjamin mkapa
6. Julius nyerere

Hawajafanikiwa ? Mafanikio gani unayosema
 
Kweli ka

Unasema
1. Mo- mohamed hajafanikiwa
2.reginad mengi- hakufanikiwa
3. Bakheresa-
4.salimu kikwete
5. Benjamin mkapa
6. Julius nyerere

Hawajafanikiwa ? Mafanikio gani unayosema
Kama umenisoma vema sijaafiki akisemacho
 
Mkuu wewe piga kazi baraka zitakuja hata usipokuwa na majina ya kabila lako!
Kibaya ni kuitwa majina kama Shida,Taabu,Matatizo,nk
 
Mtazamo wako tu....

Mwenyezi Mungu ambariki na kumhifadhi mbarikiwa wetu mh.Rais Dr.Samia Suluhu Hassan aaamin !
 
Hata wazungu huwa na majina ya ajabu, kuna mmoja huko Rhodesia aliitwa white head, yupo mchezaji mmoja huko england anaitwa drinkwater, mwingine anaitwa stone
 
Nimefanya utafiti nmegundua watu wenye majina ya asili ya kabila Lao hua wanafanikiwa Sana, iwe kimaisha, utajiri au kielimu, ni kama Yana baraka Fulani hivi.

Haya majina ya kizungu na kiarabu yalikuja na meli tuu hayana maana yoyote

Weka Imani yako pembeni kua open minded msikilize huyu JAMAA 👇👇
We umechanganyikiwa, fanya kazi kwa juhudi na maarifa
 
Nimefanya utafiti nmegundua watu wenye majina ya asili ya kabila Lao hua wanafanikiwa Sana, iwe kimaisha, utajiri au kielimu, ni kama Yana baraka Fulani hivi.

Haya majina ya kizungu na kiarabu yalikuja na meli tuu hayana maana yoyote

Weka Imani yako pembeni kua open minded msikilize huyu JAMAA 👇👇
Unamaanisha Palamagamba Kabudi ni mfano mzuri
 
Maisha yashakuchanganya unaanza kujificha kwenye majina, ila yote tatizo ni hiki chama.
 
Back
Top Bottom