barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,324
- 29,587
Habari zenu,
Kama kichwa cha habari kisemavyo,
Nimekuja tambua kuwa wanawake wanaovalishwa pete za uchumba wanakuwa na 'furaha' sana, unawakuta mitaani ananyoosha kidole chake kuhakikisha pete ya uchumba inaonekana.
Au hata kama hawajaulizwa, akikutana na mtu ambaye alikuwa hajui kuwa kavalishwa pete basi ni lazima atamwambia.
Kwenye status zao mitandao ya kijamii kama whatsapp, instagram, twitter ni fujo tupu.
Status zimejaa sura za 'furaha' zikiambatana na pete za uchumba, pia ni full kupongezana kwa kina dada, HONGERA KWA HATUA ULIYOFIKIA na vitu kama hivyo, kuna wanawake wengine pia wanawalingishia wenzao kuwa wamevalishwa pete.
Je sababu ya hizi 'furaha' ni nini haswa maana ni tofauti na wanaume, mwanaume anayekuwa kamvalisha pete mwanamke wala haangaiki kufahamisha watu kama wanawake.
Kama kichwa cha habari kisemavyo,
Nimekuja tambua kuwa wanawake wanaovalishwa pete za uchumba wanakuwa na 'furaha' sana, unawakuta mitaani ananyoosha kidole chake kuhakikisha pete ya uchumba inaonekana.
Au hata kama hawajaulizwa, akikutana na mtu ambaye alikuwa hajui kuwa kavalishwa pete basi ni lazima atamwambia.
Kwenye status zao mitandao ya kijamii kama whatsapp, instagram, twitter ni fujo tupu.
Status zimejaa sura za 'furaha' zikiambatana na pete za uchumba, pia ni full kupongezana kwa kina dada, HONGERA KWA HATUA ULIYOFIKIA na vitu kama hivyo, kuna wanawake wengine pia wanawalingishia wenzao kuwa wamevalishwa pete.
Je sababu ya hizi 'furaha' ni nini haswa maana ni tofauti na wanaume, mwanaume anayekuwa kamvalisha pete mwanamke wala haangaiki kufahamisha watu kama wanawake.