Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 15,864
- 28,640
Alisema.yeye ni Rais Mwanamke na MzanzibarNakumbuka Mh Samia aliwahi kutamka hadharani yeye ni Mzanzibar. Lakini baada ya DP World hataki kuitwa hivyo.
Alisema.yeye ni Rais Mwanamke na MzanzibarNakumbuka Mh Samia aliwahi kutamka hadharani yeye ni Mzanzibar. Lakini baada ya DP World hataki kuitwa hivyo.
wanadai bandari hazimo kwenye muungano , NI milki ya nchi husika. Sasa ikiwa ni hivyo kwanini bandari za watanganyika zisainiwe na wazanzibar , badala ya SSH kusaini Basi angeachiwa waziri mkuu kassim ambaye ndie kiongozi wa ngazi ya juu nani Mtanganyika mwenzetu!! why wasaini wao Nani si Kati ya mambo ya muungano!!!???Ni hivi mfumo wa Muungano uliopo umefanya vitu vya Tanganyika vyote kuwa vya muungano hao wazanzibari waliosaini huo mkataba wamesaini kwa jina la jamhuri ya Muungano wa Tanzania sio Tanganyika
Kama bandari sio suala la Muungano maana yake bandari za Tanganyika ni za Watanganyika sasa inakuwaje ziuzwe au kukodishwa na Wazanzibar? au ndiyo cha kwao ni chao ila cha Tanganyika cha wote.Wacheni kopotosha watu Bandari sio suala la muungano by juma duni haji
Wajinga wakubwa!Ni hivi mfumo wa Muungano uliopo umefanya vitu vya Tanganyika vyote kuwa vya muungano hao wazanzibari waliosaini huo mkataba wamesaini kwa jina la jamhuri ya Muungano wa Tanzania sio Tanganyika
Katiba Mpya imesolve hii kitu..Ni ukweli ambao utandelea kusemwa kuwa Wazanzibari waliuza bandari za Tanganyika lakini wakaziacha za kwao.
Ni ukweli ambao hautaacha kusemwa kuwa kuna hila imefanywa na watu wa Zanzibar dhidi ya Tanganyika kwenye rasilimali zilizopo Tanganyika.
Ni ukweli kuwa kama Muungano huu hautawekwa vizuri ili mipaka ya kila upande iwe sawia, lazima Mungano huu utakuja kuleta uhasama mkubwa baina ya pande hizi mbili ambazo awali zilikuwa katika ukaribu mkubwa japo hazikuwahi kuchanganyika.
Na za Zanzibar zimo?Walichosaini ni Bandari za Tanzania sio bara
Rais Samia, Waziri Mabarawa na katibu mkuu wao ktk wizara anayo ongoza Mbarawa ni kutoka Zanzibar na ndio waliouza bandari za Tanganyika wakaacha kuuza za Zanzibar.Rais Samia, Waziri Mabarawa na katibu mkuu wao ktk wizara anayo ongoza Mbarawa ni kutoka Zanzibar na ndio waliouza bandari za Tanganyika wakaacha kuuza za Zanzibar.
Nyakati zote Wazanzibar wamekuwa wakijiita na kujivunia Uzanzibari wao kama taifa. WazanzibarI wanacho kitambulisho cha ukaazi cha Uzanzibari na Watanganyika tuna kitambulisho cha Tanzania. Wazanzibar wana serikali yao, bunge, Katiba na ukiwauliza Zanzibar ni nchi au sehemu ya Tanzania wanakwambia Zanzibar ni nchi yenye mipaka yake.
Wazanzibar baada ya kuuza bandari za Tanganyika wanataka wasiitwe wazanzibar kwa nini? Na tena kuna wajinga wachache wanawaunga mkono eti kuwaita Wazanzibari ni kuwabagua. Mbona miaka yote wazanzibar wamekuwa wakijiita hivyo na serikali yao ipo? Huu upendo wa ghafla kujiita Watanzania umeanza lini? Au mnafikiri Watanganyika ni mazuzu?
Huwezi ukawa na taifa moja katika nchi mbili ni kichaa peke yake anayeweza kuamini hivyo kama Magufuli anavyo sema. Mimi sijawahi amini na sitaamini kuwa kuna Wazanzibari ni Watanzania. Huwezi ukaunganisha nchi mbili halafu upate mataifa mawili.
Na ukiwa na akili timamu huwezi kuamini kuwa kuna raia wa Tanzania. Urai wa Tanzania ni wa kufikirika tuu bali kuna raia halali wa Tanganyika na wa Zanzibar. Afadhari kidogo Watanganyika wanaweza kujikomba kizuzu kuwa raia wa Tanzania kwa kulipoteza taifa lao kijinga jinga tuu lakini hiyo nchi wanayodai kuungana nayo ni ya kufikirika haijawahi kuunga na Tanganyika.
Kapeace, acha uongo huo!Yani nchi yenye watu milioni 60 tunalizwa na kinchi uchwara chenye watu milioni 1.8, shenzi kabisa
Siyo swala la muungano sawa. Lakini waliouza za Tanganyika ni wazanzibari wote siyo ?!.Wacheni kopotosha watu Bandari sio suala la muungano by Juma Duni Haji
Mimi najua Aboud Jumbe, na sio Abdu jumbe, alipo lkn najua pia Nyerere yuko wapi, najua pia wewe utakuwa wapi kama ambavyo najua mimi nitakuwa wapi. Hii ni safari ya kila mmoja wetu - mimi, wewe na mwingine yeyote.Utajua Abdu Jumbe yuko wapi kaa hivyo hivyo kibwege bwege wasaliti majizi ninyi
Mpaka unawashangaaNakumbuka Mh Samia aliwahi kutamka hadharani yeye ni Mzanzibar. Lakini baada ya DP World hataki kuitwa hivyo.
Wameweka rekodi mbaya ya hujuma kwa tanganyika ni Sawa na kukamatwa ugoni Sasa nani anataka atangaze ndo hawataki kuitwa wazanzibari. Dhambi haitasahaulikaRais Samia, Waziri Mabarawa na katibu mkuu wao ktk wizara anayo ongoza Mbarawa ni kutoka Zanzibar na ndio waliouza bandari za Tanganyika wakaacha kuuza za Zanzibar.
Nyakati zote Wazanzibar wamekuwa wakijiita na kujivunia Uzanzibari wao kama taifa. WazanzibarI wanacho kitambulisho cha ukaazi cha Uzanzibari na Watanganyika tuna kitambulisho cha Tanzania. Wazanzibar wana serikali yao, bunge, Katiba na ukiwauliza Zanzibar ni nchi au sehemu ya Tanzania wanakwambia Zanzibar ni nchi yenye mipaka yake.
Wazanzibar baada ya kuuza bandari za Tanganyika wanataka wasiitwe wazanzibar kwa nini? Na tena kuna wajinga wachache wanawaunga mkono eti kuwaita Wazanzibari ni kuwabagua. Mbona miaka yote wazanzibar wamekuwa wakijiita hivyo na serikali yao ipo? Huu upendo wa ghafla kujiita Watanzania umeanza lini? Au mnafikiri Watanganyika ni mazuzu?
Huwezi ukawa na taifa moja katika nchi mbili ni kichaa peke yake anayeweza kuamini hivyo kama Magufuli anavyo sema. Mimi sijawahi amini na sitaamini kuwa kuna Wazanzibari ni Watanzania. Huwezi ukaunganisha nchi mbili halafu upate mataifa mawili.
Na ukiwa na akili timamu huwezi kuamini kuwa kuna raia wa Tanzania. Urai wa Tanzania ni wa kufikirika tuu bali kuna raia halali wa Tanganyika na wa Zanzibar. Afadhari kidogo Watanganyika wanaweza kujikomba kizuzu kuwa raia wa Tanzania kwa kulipoteza taifa lao kijinga jinga tuu lakini hiyo nchi wanayodai kuungana nayo ni ya kufikirika haijawahi kuunga na Tanganyika.
Ukweli upi? Bandari imeuzwa bei gani? Nchi inaweza uzwa?Matapeli wanaongea ukweli,, Ndio Maana Mimi mwanq CCM Nipo kimyaaaa hatujui kujenga hoja,, tujenge hoja na kupangua hoja
Wewe ni mzanzibari nini mbona naonaMimi najua Aboud Jumbe, na sio Abdu jumbe, alipo lkn najua pia Nyerere yuko wapi, najua pia wewe utakuwa wapi kama ambavyo najua mimi nitakuwa wapi. Hii ni safari ya kila mmoja wetu - mimi, wewe na mwingine yeyote.
Mimi siyo bwege ila bwege ni wewe usiyejua hata lugha ya staha, huenda ni kwa kukosa utamaduni wa kuheshimu watu au kukosa malezi kutoka kwa wazee.
Sisi sio wasaliti kwani hatujamsaliti yeyote na wala sio wizi kwani hatujamwibia mtu yeyote. Hebu lete uthibii0sho wa wizi wetu ila kila mtu auone.
Kuzunumza na kuandika kunataka ueledi na staarabu ukikosekana haya yanakuwa ndo matokeo yake.
Hakuna kupaka maneno mbona wazanzibari hawana hiyo wao wanaita wa zanzibar na sisi tujiite watanganyika basi Habari ya 🇹🇿 Bara tuache sasaSisi wote ni watanzania,kuna watanzania wa bara, na watanzania wa visiwani,
Bara ni Tanganyika,na visiwani ni Zanzibar, Pemba na mafia.
Je mlichopeleka bungeni ni mkataba au niniUkweli upi? Bandari imeuzwa bei gani? Nchi inaweza uzwa?
Wew kapuku zuzu unasubiria ccm wakwambie ni kweli tumegawa bure bandari za Tanganyika kwa wajomba zetu. Unasubiri utafuniwe kila kitu kama alivyo andika Mkapa ktk kitabu chake kuwa ccm waliiba pesa bank kuu ili kuhonga watu ktk uchaguzi halafu na wew ndio uzinduke. Nyerere alikuwa anawaita watu kama nini msiojitambua ni MAZUZU.Ukweli upi? Bandari imeuzwa bei gani? Nchi inaweza uzwa?