Ni kwanini sasa hivi Wazanzibari hawataki kuitwa Wazanzibari?

nyinyi hamjaelewa, iko hivi samia haupendi muungano lakini ameapa kuulinda kikatiba sasa anachokifanya ni kuwakera makusudi watanganyika ili wapate hasira wavunje muungano au watake serikali tatu. Sasa kama watanganyika wanaona mbali huu ndo muda sahihi wakupigania serikali moja na zanzibar ibaki kama wilaya ya bagamoyo ndani ya jamhuri ya muungano
Wewe endelea kuota tu
 
Wazanzibar baada ya kuuza bandari za Tanganyika wanataka wasiitwe wazanzibar kwa nini? Na tena kuna wajinga wachache wanawaunga mkono eti kuwaita Wazanzibari ni kuwabagua. Mbona miaka yote wazanzibar wamekuwa wakijiita hivyo na serikali yao ipo? Huu upendo wa ghafla kujiita Watanzania umeanza lini? Au mnafikiri Watanganyika ni mazuzu?
Huu ni u qumanina. Tunataka Tanganyika yetu sasa
 
Wacha jazba hao waliostahili kusaini ni akina nani? Kama waliostahili mbona hawakusani?
Sasa wew ulipo sema wamesaini kwa niaba ulifikiri wakina nani walipaswa kusaini kuna jazba gani hapo kiongozi?

Hao walio saini ni mamluki hawawezi kujihalalisha kwa kuwa Watanzania ni wazanzibar tuu.Na kama kweli walisani kwa niaba ya serikaliya muungano tatizo linarudi palepale bandari za Zanzibar kwa nini hazipo?
Kwa sababu sisi Tanganyika hatuja ruhusu bandari zetu ziuzwe kama walivyo zuia Wazanzibari bandari zao.
 
Sasa wew ulipo sema wamesaini kwa niaba ulifikiri wakina nani walipaswa kusaini kuna jazba gani hapo kiongozi?

Hao walio saini ni mamluki hawawezi kujihalalisha kwa kuwa Watanzania ni wazanzibar tuu.Na kama kweli walisani kwa niaba ya serikaliya muungano tatizo linarudi palepale bandari za Zanzibar kwa nini hazipo?
Kwa sababu sisi Tanganyika hatuja ruhusu bandari zetu ziuzwe kama walivyo zuia Wazanzibari bandari zao.
Narudia tena wacha jazba Bandari sio suala la muungano wamesaini kwa niaba ya Tanzania sio Tanganyika
 
Narudia tena wacha jazba Bandari sio suala la muungano wamesaini kwa niaba ya Tanzania sio Tanganyika
Nimekuuliza swali hao walio saini kwa niaba ya watu wengine walio takiwa kusaini hawapo au wamekufa haujibu unaeleza upupu tuu na viroja wew kibwetele.
Mtu anawezaje kusaini kwa niaba yako wakati wewe mwenyewe upo acha uzuzu.
 
Nimekuuliza swali hao walio saini kwa niaba ya watu wengine walio takiwa kusaini hawapo au wamekufa haujibu unaeleza upupu tuu na viroja wew kibwetele.
Mtu anawezaje kusaini kwa niaba yako wakati wewe mwenyewe upo acha uzuzu.
Wanauzia wajomba zao
 
Narudia tena wacha jazba Bandari sio suala la muungano wamesaini kwa niaba ya Tanzania sio Tanganyika
Ndio mana nakuita wew ni zuzu unasema wanasaini kwa niaba ya Tanzania hao walio saini ni kutoka nchi gani? Mbona hujitambuie wew utakuwa zuzu mpka lini?
 
Nimekuuliza swali hao walio saini kwa niaba ya watu wengine walio takiwa kusaini hawapo au wamekufa haujibu unaeleza upupu tuu na viroja wew kibwetele.
Mtu anawezaje kusaini kwa niaba yako wakati wewe mwenyewe upo acha uzuzu.
Sio kwa niaba ya watu wengine kwa niaba ya Tanzania hata Mkataba wa Muungano nyerere alisaini kwa niaba ya Tanganyika na karume alisaini kwa niaba ya zanzibar
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom