menny terry
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 509
- 667
Wakuu,
Tarehe 28 kutakuwa Na fainali za UEFA champion league Na tukio hilo litaonyeshwa pale Tanzanite bridge sambamba Na filamu ya Royal Tour! Ni jambo zuri sana Ila mtazamo wangu kwanini wasingetumia pale Kijazi interchange? Maana kuna ile sehemu ya mwendokasi ambayo ni kubwa sana Na haijaanza kutumika mpaka sasa kuliko kulifunga DARAJA la Tanzanite kwa muda wote wa mechi.
Nawasilisha.
Tarehe 28 kutakuwa Na fainali za UEFA champion league Na tukio hilo litaonyeshwa pale Tanzanite bridge sambamba Na filamu ya Royal Tour! Ni jambo zuri sana Ila mtazamo wangu kwanini wasingetumia pale Kijazi interchange? Maana kuna ile sehemu ya mwendokasi ambayo ni kubwa sana Na haijaanza kutumika mpaka sasa kuliko kulifunga DARAJA la Tanzanite kwa muda wote wa mechi.
Nawasilisha.