Ni kwanini baadhi ya wanawake wamekuwa wanaharakati na mahusiano?

Kifaru86

JF-Expert Member
Apr 22, 2017
1,734
3,802
Sio wanawake wote ila wanawake wengi siku hizi wamegeuka toka kwenye maisha yao halisia na kuwa wanaharakati kuhusu wanaume bila wao kujitambua kama wao wameshageuka wanaharakati.

Katika uanarakati wanaoufanya utagundua hoja zao za msingi ni kuwaponda wanawake wanaolewa, kuponda watu waliokuwa katika mahusiano, kuponda wanaume za watu, kuwaponda watu wanaume wasiokuwa hela au wasitoa pesa.

Yaani mwisho wa siku hata katika full kuwazarau wanawake wenzao ambao anawaona katika mahusiano na wanaume ambayo yeye hawakubali kiitikadi.

Hivi tatizo ni nini wanawake wengi wamegeuka wanaharakati kuponda tuu maisha ya wenzao walio katika mahusiano au mapenzi.
 
Ni stress tuu za maisha zinawasumbua sasa hizo zote ni hasira tuu.

Unakuta binti ana miaka 40 hajaolewa basi unamkuta anaishi kwa kisirani tuu
 
Mkuu ni wivu,chuki na kutokubaliana na hali halisi.Halafu usisahau maisha yetu yanaongozwa zaidi na chuki.Hii ndio Tanzania
 
Ni stress za mahusiano tu ndo zinawafanya wawe hivyo. Wakishakosea kujua status ya mwanamke katika ndoa/mahusiano then lazima wapigwe chini na hapo ndiyo wanapoanza harakati, zaidi ni kuwaponda wanaume au wanawake walio katika mahusiano.
 
1. ukiamini kwenye ushirikina kila kitu utadhani umerogwa (mindset)
2. Feminisim (Ina trend dunia nzima, wanawake wanataka kua sawa na wanaume)
 
Ni stress tuu za maisha zinawasumbua sasa hizo zote ni hasira tuu.

Unakuta binti ana miaka 40 hajaolewa basi unamkuta anaishi kwa kisirani tuu
mkuu 40 yrs bado bintiiiii....????..au kwa huko kwenu....
mtu anaelekea kwenye kukoma umwite bint....???
 
Back
Top Bottom