Ni Kwangu Tuu...ama nanyi yanawapata

Just be yourself, ndicho alichokupendea. Ukipunguza, unaweza leta maswali au shida. Type ya watu hao huexpect a lot from their partners. Ukijitenga utajitesa mwenyewe coz you are trying to be someone you are not; trust me l know exactly what you are experiencing.

Nahisi anayezungumziwa ni Kaunga
 
Last edited by a moderator:
Yaani mna nyonyana nyeti alafu hamjawai ku duuuu. Dah we unamoyo sana. Ningekuwa mimi ningekuwa nimesha mlowanisha long t.
 
Wanawake kwa ujumla katika masuala ya mapenzi wanaongea kwa matendo sio maneno. Soma uso wake, sikiliza majibu yake unapouliza, angalia anavyotekeleza maombi yako, yanatosha kujua kuwa anakupenda. Suala la yeye kukutamkia kuwa ninakupenda, nina hamu na wewe, umenifikisha, usitarajie kwa walio wengi. Ni wachache wenye ujasiri huo. Wengine hata kupiga simu tu ni ishu, anataka mimi nimpigie, nikichuna anakasirika, akipiga ujue kuna jambo anataka kukwambia. Hivyo ndivyo ilivyo. Wewe angalia vigezo vya matendo ili kujua kama unapendwa au la, usisubiri maneno. Usipotoshwe na waigizaji wa filamu za Kanumba wanaompapasa mwanaume, majina kibao: my love, dear wangu, sweetheart I love you,nk. Wengine wanamtongoza mwanaume anawatolea nje wanalia. Ni uongo huo! Kwenye maisha halisi hawafanyi hivyo.

Aisee mi wa kwangu ndo yupo ivo kwenye red exactly 100%
 
hiyo thread mm hainihusu kaka lakin nimependa tu kuchangia broo! khee kumbe huwa mnapenda eee kuambiwa hayo majambozi sikujua, sisi wanawake ni watu wa aibu sana broo, usikate tamaa nenda nae pole pole yawezekana bado hajakuzoea, bt kwangu mm huwa sivungi kwa bf wangu, nikijisikia tu namwambia na huwa anafurahi sana nikimwelezea feeling zangu kwake.
 
HONEY,BABY,LAAZIZ,MPENZ,MAABUBA n.k Ni moja 2 ya maneno ambayo hunitoka Tena kwa dhati kabisa Eidha Niwapo Ana Kwa Ana Ama Nikiwa Nachat Kwa Simu Na ma gal

Ndg wana JF(Hasa wanaume) nina GF Ambaye Nampenda Sana Kias Cku Yangu Yangu Hui2mia Kuwaza Namna Gan Niweze kuwa Mwanaume Nitakayemfaa kwa hali na Mali,sasa 2na miezi 5 kwenye mahusiano
Kinachoniuma Ni Kuwa Huyu GF Wangu Toka 2we Wapnz HAJAWAH KUNAMBIA ANA HAMU NA MIMI mimi Huwa Namtamkia mara nyng na Nikiomba 2kutane Hana Tatzo Kwa Hlo
Na Kunitamkia Hayo Maneno juu(honey n.k )mpaka niwe nimemgift k2 fulan.

Ingawa Kanibania Kuingza Majeshi Huwa 2natomasana na hata Kunyonyana Nyet Huyu mpnz HAJAWAH KUNISIFIA MAUFUND YANGU ingawa nikimuuliza kulidhka Anadai Kafika(Naamin naj2ma na Huwa Namsifia Yeye 2)

KIUKWELI NAJISH2KIA.... LABDA CJAKAMILKA KWAKE...
WENZANGU VP NINY KWA WAPENZ WENU?

Natanguliza Salam na Shukran Za Dhati Kwenu

mpaka mnanyonyana nyeti bdo umeshndwa kumgonga?kweli we sio mzima,na ndio maana hakupi marespect,some times jiongeze bwana.
 
huyo gf wako labda bado anataka kuona msimamo wako uko wapi. Usipende kutanguliza ku-do..kama ulivyodai.
Na pengine labda anapeda gift zako tu that's why she used to call u those sweet names baada ya kum gift..pia hilo uwe nalo makini.
Kama we una malengo naye mchunguze kwa kina na usitangulize kutaka love

nimekusoma mkuu...i will!
 
Kama kweli unampenda jitahidi umsome sana..
Kama alivyosema Kaunga kuna wadada wengine sex sio priority..
Unaweza kudhani kuongeza maufundi ataku'appreciate' sana kumbe yeye anona ni haki yake kufanyiwa hivyo..
Kama utamsoma kwa karibu unaweza kugundua kuwa yako mambo mengine anayoyapenda na ukimfanyia ataku'appreciate'

Kazi Kweli kweli..!
 
Last edited by a moderator:
Na baadhi ya wanawake wana aibu sana ukitaka kujua anataka utaona tu mara akuwekee mguu juu,Mara ukitaka kupata usingizi akuamshe,Mara aanze cheza na ndevu,Mara .....yaani full vitendo no talks.

NO TALKS!!? Hahahahahahah..
 
Inawezekana ndo alivyo but kitu ambacho sijaelewa ni kwa nini ukimpa zawadi tu ndo anakuita sweet names??wanawake hua ni wepesi sana kuexpress hisia zao ukiona mtu anaficha ujue kuna somewhere yuko open..

Mh! Mara nyng Huwa Nachunguza Cm Yake
Huwa Ckutan Na Maujinga Zaid Sms Zangu Za Miez Iliyopta Na Mpya!
 
sipendi kuitwa baby,sweet,wengi wanaita kiutapelli zaidi adi umpe zawadi ndio utasikia asante baby,usipotoa zawad unaitwa jina lako,haya majina siyapend kweli kutokana na sababu zangu binafsi na matukio
 
Duuuuuh! Ndugu usijali sana, jaribu kuchunguza kwanza huyo dada bado ana maumivu ya nyuma, kwa hiyo bado moyo wake hauko tayari na anajua akikuonesha ana kupenda au ana kupenda sana unaweza usimrudishie anavyotegemea!

Kifupi bado haja kuamini kama kweli unampenda, mpe mda utaona na wala wewe usichukulie kukerwa, acha mwenyewe ahamue kukupa mwili wake wala usilazimishe!

Kwa swala la kupenda huwa sina doubt na wanawake, kwani akipenda anapenda kweli najua itafika siku hizo honey na sweet zitakuchosha mpe muda.

Ngoja 2wait 2cheki
Nami silegezi Ntashow Love Hvyohvyo!
 
sipendi kuitwa baby,sweet,wengi wanaita kiutapelli zaidi adi umpe zawadi ndio utasikia asante baby,usipotoa zawad unaitwa jina lako,haya majina siyapend kweli kutokana na sababu zangu binafsi na matukio
 
Yaani mna nyonyana nyeti alafu hamjawai ku duuuu. Dah we unamoyo sana. Ningekuwa mimi ningekuwa nimesha mlowanisha long t.

Ndio 2natomasana Na Kunyonyana Tena Yeye Anafurah Kishenzi
HA2JAPANGA KUFANYA NGONO KWA SASA!
 
hiyo thread mm hainihusu kaka lakin nimependa tu kuchangia broo! khee kumbe huwa mnapenda eee kuambiwa hayo majambozi sikujua, sisi wanawake ni watu wa aibu sana broo, usikate tamaa nenda nae pole pole yawezekana bado hajakuzoea, bt kwangu mm huwa sivungi kwa bf wangu, nikijisikia tu namwambia na huwa anafurahi sana nikimwelezea feeling zangu kwake.

Nazan Tabia Ya My X imechangia kuniathr
Yeye Hata Nikimuudh Hakuchoka Kuniita HONEY
Na Alikuwa Mwepes Wa Kuomba Radhi ila Huyu Mpaka Nimkumbushe!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom