Mzee Kibiongo
JF-Expert Member
- Jun 18, 2008
- 241
- 4
Nimewahi kufanya uchunguzi kwa binadamu, wanyama na ndege kuhusu mahusiano ya jinsia ya kike na kiume na sikuwahi kona wanyama wala ndege wa kiume akipigana na mwenzake wa jinsia ya kike, hilo halina ubishi. Lakini nikabaini kwamba ni binadamu tu wa kiume yaani wanaume hupiga wanawake tofauti na wanyam na ndege. Kwa kweli sikupata jibu.
Je, wanaume (binadamu) ni katili ?
Wanawake ni wachokozi ?
Je, binadamu kakosa busara hata anazidiwa na wanyama na ndege ?
Je, kuna jinsia imesahau wajibu wake wa jinsia yake ?
Je, sababu ni nini ?
Naomba wana JF mnisaidie.
Mzee Kibiongo - Nisaidieni nisije nikazidi kupinda kwa kibiongo changu.
Je, wanaume (binadamu) ni katili ?
Wanawake ni wachokozi ?
Je, binadamu kakosa busara hata anazidiwa na wanyama na ndege ?
Je, kuna jinsia imesahau wajibu wake wa jinsia yake ?
Je, sababu ni nini ?
Naomba wana JF mnisaidie.
Mzee Kibiongo - Nisaidieni nisije nikazidi kupinda kwa kibiongo changu.