SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,240
- 4,278
Kwa muda mrefu sana, kusema kweli tangu enzi za augustino Mrema akiwa waziri wa mambo ya ndani, waandishi wa habari walinibadilisha kuhusu ufahamu wa neno 'kunguruma'. Mwanasiasa anapohutubia wananchi waweza kutumia neno 'kunguruma' kuelezea hotuba hiyo. Lakini waandishi wengi hutumia neno 'kuunguruma' eg,Mwenyekiti Mbowe ataunguruma kesho kwenye mkutano utakaofanyika viwanja vya Jangwani dsm.
Je, kiswahili sahihi ni kipi? Kunguruma au kuunguruma?
Je, kiswahili sahihi ni kipi? Kunguruma au kuunguruma?