watoto ni malaika; hawajui baya hatari na raha, wnaweza kufanya mzaha hata kwenye hatari; Mungu tu anawalinda na kutia huruma ktk wale ambao wangewatesa na badala yake wakawaokoa ama kuwaonea huruma
Amani bila ujasiri ni kazi bure,unabaki na amani yako huku ukining'unika kuwa hutendewi hakiWakati wewe unatamani ujasiri wake yeye anatamani amani yako
Na upanyarodiAnalazimishwa ukomando yosso kwa nguvu