Hakupewa, na kweny bati muhuri upo wa moto wa ALAF kila kitu..Hakupewa Warranty. alaf wana Warranty ya miaka 10
Hakupewa, na kweny bati muhuri upo wa moto wa ALAF kila kitu..Hakupewa Warranty. alaf wana Warranty ya miaka 10
Zamani nilikua naona wanaoacha viwanja muda mrefu hawajengi kama wajinga flani hivi.
ila nimekuja gundua kuna maana kubwa sana ya kuacha kiherehere cha kuanza ujenzi kisa una pesa na unaweza.
Kile kiwanja nilinunua enzi ni pori la maana tu,haraka haraka kimbilia jenga..
Tangu zamani nilishasema sitowahi jenga uswahilini, ila sikua najua wanaojenga uswahili hawakuwahi waza kama patakuja kuwa uswahilini.
Baada ya ujenzi miaka kadhaa mbele ule mtaa haukua na tofauti na tandale, ule uswahili,vile vijumba vilivyokua vikichipuka kama uyoga nikajikuta nimewekwa mtu kati, nmezungukwa na vijumba vingiiiiiii...
Nikaona hapa Usintanie,Madalali kazi yao nini? Nikapauza kama palivyo.
Hela yote nimenunulia kiwanja sehemu nyingine, Sijengi ng'o mpaka nihakikishe ule mtaa ni wanaojielewa.
Ntapanga hivi hivi ila siwezi jenga mtaa ambao sina uhakika nawataokuja.
Hii mambo ya kuharakisha kujenga sehemu nyumba ya maana ndio unaweza jikuta unajenga mtaa kama kwa mtogole...
Baadae watoto wanakuuliza baba ilikuaje ukaja kujenga huu mtaa... Unakosa majibu.
Unatakiw ununue sehem ambay imekatw viwanja vya sqr 500 au 700 mpaka 1000 sehem amabyo vipo ving au labd vi3 au vi4 we unanua kimoja wapo hapo huwez kupata mswahili apo maan bei itakuw kubwa . Kw mfano Mimi KIGAMBONI Dege nimenunua square meter 700 katikat pembn Yang wakaja washia tupu mmoj mtumishi WA Bandar anashusha mjeng WA maanZamani nilikua naona wanaoacha viwanja muda mrefu hawajengi kama wajinga flani hivi.
ila nimekuja gundua kuna maana kubwa sana ya kuacha kiherehere cha kuanza ujenzi kisa una pesa na unaweza.
Kile kiwanja nilinunua enzi ni pori la maana tu,haraka haraka kimbilia jenga..
Tangu zamani nilishasema sitowahi jenga uswahilini, ila sikua najua wanaojenga uswahili hawakuwahi waza kama patakuja kuwa uswahilini.
Baada ya ujenzi miaka kadhaa mbele ule mtaa haukua na tofauti na tandale, ule uswahili,vile vijumba vilivyokua vikichipuka kama uyoga nikajikuta nimewekwa mtu kati, nmezungukwa na vijumba vingiiiiiii...
Nikaona hapa Usintanie,Madalali kazi yao nini? Nikapauza kama palivyo.
Hela yote nimenunulia kiwanja sehemu nyingine, Sijengi ng'o mpaka nihakikishe ule mtaa ni wanaojielewa.
Ntapanga hivi hivi ila siwezi jenga mtaa ambao sina uhakika nawataokuja.
Hii mambo ya kuharakisha kujenga sehemu nyumba ya maana ndio unaweza jikuta unajenga mtaa kama kwa mtogole...
Baadae watoto wanakuuliza baba ilikuaje ukaja kujenga huu mtaa... Unakosa majibu.
Thats counterfit. Nina ALAF mwaka wa nane...kitu maua tu hakuna kupauka wamepauka majirani na dragon zao..Amenunua bati za ALAF kwa wakala (katoro) lakini zimepauka hat mwaka hazina. Anaomba msaada nini akifanye!
Unatakiw ununue sehem ambay imekatw viwanja vya sqr 500 au 700 mpaka 1000 sehem amabyo vipo ving au labd vi3 au vi4 we unanua kimoja wapo hapo huwez kupata mswahili apo maan bei itakuw kubwa . Kw mfano Mimi KIGAMBONI Dege nimenunua square meter 700 katikat pembn Yang wakaja washia tupu mmoj mtumishi WA Bandar anashusha mjeng WA maan
Usiweke contemporary boss nilishare humu na picha nikaweka, usijenge nyumba itakayo kupa stress baadaeTupo pamoja hapo dege, soon naanza kushusha contemporary yangu
Usiweke contemporary boss nilishare humu na picha nikaweka, usijenge nyumba itakayo kupa stress baadae
Pole snHiki ndicho fundi amenifanyia. Kaweka papi za fito mbalimbali na matokeo yake bati zinaonekana kama hazijapigiliwa misumali hasa pale zinapoungana.
Jamani kama kuna mtaalam humu wa kuzibananisha zikae sawa ani PM
Duh....pole aiseeHiki ndicho fundi amenifanyia. Kaweka papi za fito mbalimbali na matokeo yake bati zinaonekana kama hazijapigiliwa misumali hasa pale zinapoungana.
Jamani kama kuna mtaalam humu wa kuzibananisha zikae sawa ani PM
Kusogeza nyumba mbele na kuacha eneo kubwaaa nyuma kiasi unakosa parking, kununua kiwanja kidogo kufanya harakaharaka ili uhamie nyumba inakua haina ubora wakati ni kitu cha kudumuHabari wana JF
Ni kosa gani ulilifanya kipindi unajenga na ungependa wengine wajifunze ili lisitokee kwao?
oya tutake radhi kwanza halafu tuendelee na mjadala
ningekua mimi angekubali show haki ya naniNilivyouziwa sikua nagari, nikajenga nikamaliza na njia ya kuingilia na kutokea ilikuwepo kwasababu wakati wa ujenzi gari ya vifaa ilikuwa inaingia Hadi site.
Sasa nimehamia nikakaa miezi 6 nikanunua gari Alieniuzia tukaanza mgogoro mara apande miti sehemu ninayo pita mara aanzishe biashara ya tofari sehemu ninayo pita kiasi cha kubakisha kichochoro cha wapita kwa miguu.
Nikampeleka kwa mjumbe akaambiwa angoe miti yake akingoa siku chache ana panda tena, nikaona Bora niuze nikajenga sehemU salama yenye majirani wanaojielewa sio yule chawivu anaetamani kila mtu atembee kwamguu.
Haya nawataka radhioya tutake radhi kwanza halafu tuendelee na mjadala
Kuamini mafundi nikiambiwa cement imeisha napiga simu tu inapelekwa bila kufatilia. Kuna siku fundi anapiga simu kuwa wamesimama kazi kwa kuwa cement imeisha inabidi ipelekwe haraka.
Ikabidi niende mwenyewe kuangalia kazi imefikiaje hadi cement kuisha hivo, nilivyofika mafundi wakastuka sana maana hawakutarajia kuniona kwa wakati huo. Ikawa kila ninapoingia kukagua jamaa kama ananizuga ili niache nimsikilize yeye. Nikahisi kitu nikaongeza umakini kuangalia chumba hadi chumba.
Bwana weee! Si nikakuta kuna mifuko 9 ya cement haijatumika wameificha kwenye chumba chooni. Asee jamaa alibabaika sana akakosa la kusema.
Bora hyo kuna mmoja vyoo vitano ndani yaan 😁Vyoo vitatu kwenye nyumba moja kuna mashindano ya kwenda haja?
Wasichokielewa wengi ni kwamba hao wataalamu mnaowasema hawana utaalamu wowote kuwazidi mafundi wapo mafundi wameenda shule wamepoteza miaka 5 au 3 utamuambia nini na yuko practical zaidi mainjinia wengi hawawezi na hawajui kazi ni makaratasi tu injinia mwenyewe anamtegemea fundi kufanya hesabu na ujenzi kiufupi ni amubane fundi yeye afanikiweKwamba huyo professional ndo anajenga?
Hujui hao huwa kazi yao kushika makaratasi tu?