Kuna mengi yaliendelea achilia nafasi ya umakamu Rais, kuna pesa za karafuu zilizomezwa na muungano na huyu mzee hilo lilimuuma na kuhoji kwanini imekuwa hivyo. Pia kuna swala za Zanzibar kuwa nchi alilisimamia kwani alitaka kuwapo na serikali tatu na hilo likawa mwiba mkali kwa Nyerere akaona jamaa ni msaliti akishirikiana na kina Seif Sharif Hamad. Pia alihoji uhusiano wa Vatican na Tanzania na hilo halikumpendeza Nyerere akaona atamuharibia uongozi pengine (Soma katika kitabu chake).