Ni kiumbe gani hapa duniani huishi milele bila kufa?

Kuna viumbe hai na viumbe visivyo hai, viumbe hai vyote vitakufa na viumbe visivyo hai haviwezi kufa maana havina uhai
 
sisi kwa mafundisho ya kiislamu tunaamini viumbe vyote vitakufa ili mradi vimeumbwa na M/Mungu iwe milima mawe na binadamu hakuna kitakachobak.i siku ya mwisho litapigwa parapanda ambalo sauti yake tu jinsi ilivyo kali kama kuna kiumbe yeyote atabakia kwa ukali wa sauti hiyo kitatoka uhai kwa mshutuko na baada ya hapo M/Mungu atamtuma israel atafute dunia nzima kama kuna yeyote aliebaki israel atatafuta asione kiumbe yeyote M/Mungu atamtuma zaidi ya mara moja atafute na asione chochote na mwisho atagundua hakuna aliebaki isipokuwa yeye israel na M/Mungu ndipo M/Mungu atamuuliza israel hukumbuki ile kauli yangu ''kila nafsi itaonja mauti'' na atamuamlisha israel ajitoe roho mwenyewe naye atajitoa roho huku akiumia kwa maumivu na baada ya hapo atabakia mwenyewe M/Mungu mmoja tu dunia siku yasemakana itakuwa flat hakuna milima hakuna chochote. na atajitapa kwani M/Mungu ndiye anayestahiki kujisifu na atasema MIMI NDIYE MFALME WAKO WAPI HAO WAFALME WA ULIMWENGU,kwa hiyo atakaebaki ni Mungu tu na amehahidi hivyo Mungu mweneyewe
Si vyote vitaondoka kwa mujibu wa uislamu. Kuna baadhi ya viumbe vitabaki.
Na hapo utaona ile dhana ya "kila chenye mwanzo kina mwisho" haikubaliki kwenye uislamu.
Mf. Wa vitakavyo baki ni;
1. Arshi ya Allah.
2. Moto(jahannamu).
3. Pepo(jannah)
Hivi vyote vina mwanzo lakini havina mwisho. Toka viumbwe havijafa wala havitakufa
 
sisi kwa mafundisho ya kiislamu tunaamini viumbe vyote vitakufa ili mradi vimeumbwa na M/Mungu iwe milima mawe na binadamu hakuna kitakachobak.i siku ya mwisho litapigwa parapanda ambalo sauti yake tu jinsi ilivyo kali kama kuna kiumbe yeyote atabakia kwa ukali wa sauti hiyo kitatoka uhai kwa mshutuko na baada ya hapo M/Mungu atamtuma israel atafute dunia nzima kama kuna yeyote aliebaki israel atatafuta asione kiumbe yeyote M/Mungu atamtuma zaidi ya mara moja atafute na asione chochote na mwisho atagundua hakuna aliebaki isipokuwa yeye israel na M/Mungu ndipo M/Mungu atamuuliza israel hukumbuki ile kauli yangu ''kila nafsi itaonja mauti'' na atamuamlisha israel ajitoe roho mwenyewe naye atajitoa roho huku akiumia kwa maumivu na baada ya hapo atabakia mwenyewe M/Mungu mmoja tu dunia siku yasemakana itakuwa flat hakuna milima hakuna chochote. na atajitapa kwani M/Mungu ndiye anayestahiki kujisifu na atasema MIMI NDIYE MFALME WAKO WAPI HAO WAFALME WA ULIMWENGU,kwa hiyo atakaebaki ni Mungu tu na amehahidi hivyo Mungu mweneyewe
Duh..... sorry ila huu ni upuuzi mkubwa sana. Kwanza kufa hakuitaji Israel wala upumbavu gani huko. Kwa uwezo Mungu roho kutoka wala hakuitaji kiumbe kingine kifanye hiyo kazi hapa ndipo kunapodhihirisha kwamba uwezo wa Mungu una limitations kwa mtazamo wenu...., kudai kwamba kuna malaika wawili wanaotazama matendo yako na kuyaandika.
Nina uhakika kwenye mafundisho kuna uwongo mwingi sana umepenyezwa, tuacheni porojo aisee.
 
images
Z
huyu huwa hafi atadunda tu mpaka siku ya kiama.
kama yule jamaa anayetangatanga ulimwenguni kwa kujificha kila akijaribu kujiuwa inashindikana kwa sasa ana umri wa miaka 2014 na miezi 9/
alimdhihaki nabii fulani akaambiwa hata kufa mpaka siku ya hukumu.
mwingine ni farao yeye mwili wake hautaharibika mpaka siku ya hukumu,mwili wake upo tangu enzi za musa.
naomba uniwekee sukari kidogo kwenye hii chai mkuu.
 
images
Z
huyu huwa hafi atadunda tu mpaka siku ya kiama.
kama yule jamaa anayetangatanga ulimwenguni kwa kujificha kila akijaribu kujiuwa inashindikana kwa sasa ana umri wa miaka 2014 na miezi 9/
alimdhihaki nabii fulani akaambiwa hata kufa mpaka siku ya hukumu.
mwingine ni farao yeye mwili wake hautaharibika mpaka siku ya hukumu,mwili wake upo tangu enzi za musa.

Wewe jamaaa ebu dadavua kidogo

Kuna mtu ana miaka 2014??

Alifanya kosa gan ili namm nilifanye

Kwakweli sipendi kufa kabisa japo siogopi
 
Kwa si wakristo ni karibu wote mnk Mungu atakuja atakuta viumbe hai...anaweza asinikute mimi ila atakuta watu wengine..
 
Immortal jelly fish
Hawa wana "technical/biological" immortality. Kufa wanaweza kufa vizuri, japo mara nyingi ni kupitia predation yaani kuliwa na wanaowawinda na mara nyingine udhaifu. Ila hivyo vitiligo visingekuwepo kabisa, basi hawa wangekuwa na uwezo wa kufikia "absolute immortality"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom