Zabron Hamis
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,511
- 10,417
Nyoka
Roho ni kiumbe?Hakuna kiumbe kinachoishi milele kwa maana ya mwili uharibikao bali roho ya kiumbe chochote kile ndio huishi milele kwenye realm of eternity- reincarnation na rebirth
Kwa mujibu wa uislamu neno la Mungu si kiumbe
Neno la Mungu!
Si vyote vitaondoka kwa mujibu wa uislamu. Kuna baadhi ya viumbe vitabaki.sisi kwa mafundisho ya kiislamu tunaamini viumbe vyote vitakufa ili mradi vimeumbwa na M/Mungu iwe milima mawe na binadamu hakuna kitakachobak.i siku ya mwisho litapigwa parapanda ambalo sauti yake tu jinsi ilivyo kali kama kuna kiumbe yeyote atabakia kwa ukali wa sauti hiyo kitatoka uhai kwa mshutuko na baada ya hapo M/Mungu atamtuma israel atafute dunia nzima kama kuna yeyote aliebaki israel atatafuta asione kiumbe yeyote M/Mungu atamtuma zaidi ya mara moja atafute na asione chochote na mwisho atagundua hakuna aliebaki isipokuwa yeye israel na M/Mungu ndipo M/Mungu atamuuliza israel hukumbuki ile kauli yangu ''kila nafsi itaonja mauti'' na atamuamlisha israel ajitoe roho mwenyewe naye atajitoa roho huku akiumia kwa maumivu na baada ya hapo atabakia mwenyewe M/Mungu mmoja tu dunia siku yasemakana itakuwa flat hakuna milima hakuna chochote. na atajitapa kwani M/Mungu ndiye anayestahiki kujisifu na atasema MIMI NDIYE MFALME WAKO WAPI HAO WAFALME WA ULIMWENGU,kwa hiyo atakaebaki ni Mungu tu na amehahidi hivyo Mungu mweneyewe
Madame B tafadhali naomba tukutane makaburi ya mwananyamala saa sita usiku kuna ishu, vaa kaniki tuu
Duh..... sorry ila huu ni upuuzi mkubwa sana. Kwanza kufa hakuitaji Israel wala upumbavu gani huko. Kwa uwezo Mungu roho kutoka wala hakuitaji kiumbe kingine kifanye hiyo kazi hapa ndipo kunapodhihirisha kwamba uwezo wa Mungu una limitations kwa mtazamo wenu...., kudai kwamba kuna malaika wawili wanaotazama matendo yako na kuyaandika.sisi kwa mafundisho ya kiislamu tunaamini viumbe vyote vitakufa ili mradi vimeumbwa na M/Mungu iwe milima mawe na binadamu hakuna kitakachobak.i siku ya mwisho litapigwa parapanda ambalo sauti yake tu jinsi ilivyo kali kama kuna kiumbe yeyote atabakia kwa ukali wa sauti hiyo kitatoka uhai kwa mshutuko na baada ya hapo M/Mungu atamtuma israel atafute dunia nzima kama kuna yeyote aliebaki israel atatafuta asione kiumbe yeyote M/Mungu atamtuma zaidi ya mara moja atafute na asione chochote na mwisho atagundua hakuna aliebaki isipokuwa yeye israel na M/Mungu ndipo M/Mungu atamuuliza israel hukumbuki ile kauli yangu ''kila nafsi itaonja mauti'' na atamuamlisha israel ajitoe roho mwenyewe naye atajitoa roho huku akiumia kwa maumivu na baada ya hapo atabakia mwenyewe M/Mungu mmoja tu dunia siku yasemakana itakuwa flat hakuna milima hakuna chochote. na atajitapa kwani M/Mungu ndiye anayestahiki kujisifu na atasema MIMI NDIYE MFALME WAKO WAPI HAO WAFALME WA ULIMWENGU,kwa hiyo atakaebaki ni Mungu tu na amehahidi hivyo Mungu mweneyewe
naomba uniwekee sukari kidogo kwenye hii chai mkuu.huyu huwa hafi atadunda tu mpaka siku ya kiama.
kama yule jamaa anayetangatanga ulimwenguni kwa kujificha kila akijaribu kujiuwa inashindikana kwa sasa ana umri wa miaka 2014 na miezi 9/
alimdhihaki nabii fulani akaambiwa hata kufa mpaka siku ya hukumu.
mwingine ni farao yeye mwili wake hautaharibika mpaka siku ya hukumu,mwili wake upo tangu enzi za musa.
Sukari ni mbaya kwa Afyanaomba uniwekee sukari kidogo kwenye hii chai mkuu.
Wewe jamaaa ebu dadavua kidogohuyu huwa hafi atadunda tu mpaka siku ya kiama.
kama yule jamaa anayetangatanga ulimwenguni kwa kujificha kila akijaribu kujiuwa inashindikana kwa sasa ana umri wa miaka 2014 na miezi 9/
alimdhihaki nabii fulani akaambiwa hata kufa mpaka siku ya hukumu.
mwingine ni farao yeye mwili wake hautaharibika mpaka siku ya hukumu,mwili wake upo tangu enzi za musa.
Hawa wana "technical/biological" immortality. Kufa wanaweza kufa vizuri, japo mara nyingi ni kupitia predation yaani kuliwa na wanaowawinda na mara nyingine udhaifu. Ila hivyo vitiligo visingekuwepo kabisa, basi hawa wangekuwa na uwezo wa kufikia "absolute immortality"Immortal jelly fish
mbinguni kuna viumbe wanakufa? wakifa wanaenda wapi?..interestingJibu langu hakuna kiumbe atakaekwepa MAUTI si duniani wala mbinguni wala popote pale..