Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,786
- 35,761
Habari wana JF?
Hili ni wazo nimekua nalo kwa muda kidogo, ila nilihitaji kujua ni vitu/mambo gani ninahitaji kuwa nayo ili nianzishe biashara ya website na software development?
Nilihitaji katika hii biashara/kampuni niwe natoa pia huduma za graphics design ikiwa ni pamoja na ku design business cards, logo, t-shirts na mengine kama hayo!
Je ni vitu vipi nahitaji katika mazingira haya ya kitanzania ili niweze kuanzisha biashara kama hiyo?
Hili ni wazo nimekua nalo kwa muda kidogo, ila nilihitaji kujua ni vitu/mambo gani ninahitaji kuwa nayo ili nianzishe biashara ya website na software development?
Nilihitaji katika hii biashara/kampuni niwe natoa pia huduma za graphics design ikiwa ni pamoja na ku design business cards, logo, t-shirts na mengine kama hayo!
Je ni vitu vipi nahitaji katika mazingira haya ya kitanzania ili niweze kuanzisha biashara kama hiyo?