Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,216
- 3,692
Kwanza kabla ya yote ningependa kutoa pongezi kwa wana Njombe na Iringa kwa kufanya vizuri na kuongoza.
Sasa siku ya leo ningependa tujadili ni kuhusu mkoa wa Dar ambao umefanya vibaya katika mitihani ya kidato cha nne na mkoa Mbeya ni kitu kilichosabibisha.
Hii ni mikoa ambayo inaaminika kuwa na wasomi wengi, vyuo vikuu vingi lakini pia upatikanaji wa material upo kwa wingi .
Hivi kuna tatizo gani hapa Dar lakini pia na Mbeya kufanya vibaya.
Sasa siku ya leo ningependa tujadili ni kuhusu mkoa wa Dar ambao umefanya vibaya katika mitihani ya kidato cha nne na mkoa Mbeya ni kitu kilichosabibisha.
Hii ni mikoa ambayo inaaminika kuwa na wasomi wengi, vyuo vikuu vingi lakini pia upatikanaji wa material upo kwa wingi .
Hivi kuna tatizo gani hapa Dar lakini pia na Mbeya kufanya vibaya.