sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
Nakumbuka back in 2000s hapa bongo tayari bongo flava ilikuwa imebamba lakini bado tulikuwa tunakita ngoma za Kenya kwasababu zilikuwa za moto si mchezo.
Nakumbuka wasanii waliokuwa wanatoa ngoma kali kina e sir (rip), nonini, nameless, prezzo, nazis, n.k
Enzi hizo hata kwenye awards za channel O zilizokuwa kubwa kwa enzi hizo ninyi ndio mliowakilisha.
What went wrong?
Nakumbuka wasanii waliokuwa wanatoa ngoma kali kina e sir (rip), nonini, nameless, prezzo, nazis, n.k
Enzi hizo hata kwenye awards za channel O zilizokuwa kubwa kwa enzi hizo ninyi ndio mliowakilisha.
What went wrong?