MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
heheh mwafunzwa nini huko kwenye Beggy party? hahahahha
Kunte siku hizi mpaka vitanda vinatolewa kwenye hizo kitchen party bado tuziite kitchen party?
Check this
8020 fashions: LAURA BILLY KITCHEN PARTY
8020 fashions: January 2009
Kizazi kimeuawa na wazazi tunaowategemea kama walinzi wetu. Kitchen party imeharibiwa maana na watu wachache wasiokwua na fikra. West africa kitchen party maana yake ni kumwandaa mwali kuyakabili maisha ya ndo katika nyanja zifuatazo. Kupika, analetwa mtalaam wa kupika anatoa somo, kufua, kufanya usafi, jinsi ya kuishi na watu, wakiwemo wakwe na familia kwa ujumla. Tena kitchen party hiyo siyo ya siku moja ni zaidi ya miezi 3
Huku kwetu wanavyopenda ngono mama watu wazima wanaanza kufundisha watoto vitu vya kipuuzi. Cha kushangaza zaidi anayetoa somo ameachika zaidi ya mara 3, unategema mtu kama huyo ataongea nini kumsaidia mwali.
Nfikiri tufikie hatua tukatae kufanyiwa kitchen party, tuishie kwenye mafundisho ya kanisani yanatosha. Hayo mengine tutayaona huko.
Habari ndo hiyo mamii... ni kweli siku hizi ushindani ni kiboko yaani natamani niendelee kuwa single for ever... and I think I will
mie nazichukia hizo kitchen party, nilikuwa naendaga coz ni za watu wangu wa karibu lakini ya mwisho niliyoenda na nilisema sitoenda tena kwenye hizo party, hao makungwi walikuwa wanamuambia mtarajiwa" mafiga matatu mtoto wa kike ndio yanayohitajika ndani" "vigaloni ni muhimu kwa binti kama wewe, ndoo ya maji ikimwagika then una kigaloni,kulikuwa hakuna la maana, ni matusi mtindo mmoja, kuanzia hapo nilisitisha kwenda kwenye kitu kinachoitwa kichen party! kwa upande wangu hazisaidii, ni wamama watu wazima kabisa wanayaongea hayo badala ya kumjenga binti niliona wanambomolea kabla hata hajaingia ndani, kama alivyosema hapo juu shangazi na bibi wanatosha.
...eboo! ok, kuanzia sasa ni marufuku wife kwenda huko!
Too late my dear...!lol
...wanawake wanatafuta sehemu tuu za kutokea maana wamezidi kuachwa majumbani na wakina baba.
Mwee, kwa kweli hata mimi nilipoolewa katika hii karne ya dot com, nilikataa katukatu kitchen party na nikamwambia mama yangu aliyenizaa anipie hayo mambo yaongelewayo huko la sivyo nipige kona na speed 120 nianze zangu. Kwa kweli nilihudhuriaga only one kitchen party in my life and i did not see the meaning at all. Alafu hivi kwa sasa hivi mtu kweli na akili zake anakaa kabisa chini na kumfunda mwali sijui jinsi ya kuishi na mwanume...ukizingatia wameshapita idadi fulani ya wanaume. Booh! kweli watu wanahangaisha au wanawake wanatafuta sehemu tuu za kutokea maana wamezidi kuachwa majumbani na wakina baba.
...na kweli, maana kitchen party J'5 na J'2, ...na sare wanashonesha,...duh!
kitchen party gani zisoisha kila wiki?
...halafu kina mama mmekuja na mpya nyingine, eti Baby shower! khaaaaa!?
mie nazichukia hizo kitchen party, nilikuwa naendaga coz ni za watu wangu wa karibu lakini ya mwisho niliyoenda na nilisema sitoenda tena kwenye hizo party, hao makungwi walikuwa wanamuambia mtarajiwa" mafiga matatu mtoto wa kike ndio yanayohitajika ndani" "vigaloni ni muhimu kwa binti kama wewe, ndoo ya maji ikimwagika then una kigaloni,kulikuwa hakuna la maana, ni matusi mtindo mmoja, kuanzia hapo nilisitisha kwenda kwenye kitu kinachoitwa kichen party! kwa upande wangu hazisaidii, ni wamama watu wazima kabisa wanayaongea hayo badala ya kumjenga binti niliona wanambomolea kabla hata hajaingia ndani, kama alivyosema hapo juu shangazi na bibi wanatosha.
haaaa juzi nilikuwa kwenye baby shower! unaandikiwa kabisa kwenye card zawadi utakatomletea mtoto!....so usiende kinyume.
Majina tu wizi mtupu! Watu wanalazimisha zawadi.
siku hizi mbona kila kitu kinguvu nguvu tu mantiki nzima ya zawadi haipo tena
Sasa hapa uko ofu topiki kijukuu.... Naendelea.....Habari ndo hiyo mamii... ni kweli siku hizi ushindani ni kiboko yaani natamani niendelee kuwa single for ever... and I think I will
mpwaaz umeibua hii sredi?...