Ni kipi kipimo cha upinzani Tanzania?

Ni kipi kipimo cha upinzani Tanzania?

Mwarabu55

Member
Joined
Jul 5, 2013
Posts
53
Reaction score
39
Kwa upande wangu naona kama wapinzani wanaanza kwenda tofauti na neno upinzani kwa kutafuta namna yakuonekana kuwa ni watanzania zaidi kuliko serikali iliyopo madarakani, kwa kujaribu kujitia unyonge eti kwamba wanaonewa na kuwaaminisha wananchi hivyo, lakini huu ndio upinzani ulivyo? Haki haitafutwi kwa kuvunja sheria.

Upinzani unamaana mbili, kwanza ukiitwa mpinzani maana yake umeshindwa uchaguzi kwahiyo vumilia mpaka uchaguzi mwingine utakapo fanyika, pili ni kuikosoa serikali Iwapo itakosea aidha kwenye maamuzi yake au katika kutekeleza mambo kadha wa kadha ndani ya nchi. Upinzani wetu nchini umekuwa wa kwenda na matukio. Imefikia hata matukio ya majonzi kama misiba na kadlika inafanyiwa siasa ili kuifarakanisha serikali na wananchi wake,kujenga picha kwamba serikali haipo kwa maslahi ya taifa wakati ni serikali ya nchi hii.

Serikali ipewe nafasi ya kujenga nchi,kazi ya upinzani ni kukosoa sio kuandamana na kusababisha watu kuumia kisa kufuata barua,mnaudhi mno. Upinzani kwa sasa umekuwa hauna nguvu kwasababu tu ya kukurupuka na kukosa strategies. Hayo ni maono kwa upande wangu….
 
Huwezi kujenga nchi huku unadharau katiba, Bunge, mahakama, sheria za nchi, kuminya uhuru wa vyombo vya habari nchini, kuminya uhuru wa raia huku ukijichotea trillions za walipa kodi bila idhini ya Bunge.

WARAKA: Maaskofu Katoliki waonya uminywaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari nchini

Kwa upande wangu naona kama wapinzani wanaanza kwenda tofauti na neno upinzani kwa kutafuta namna yakuonekana kuwa ni watanzania zaidi kuliko serikali iliyopo madarakani, kwa kujaribu kujitia unyonge eti kwamba wanaonewa na kuwaaminisha wananchi hivyo, lakini huu ndio upinzani ulivyo? Haki haitafutwi kwa kuvunja sheria.

Upinzani unamaana mbili, kwanza ukiitwa mpinzani maana yake umeshindwa uchaguzi kwahiyo vumilia mpaka uchaguzi mwingine utakapo fanyika, pili ni kuikosoa serikali Iwapo itakosea aidha kwenye maamuzi yake au katika kutekeleza mambo kadha wa kadha ndani ya nchi. Upinzani wetu nchini umekuwa wa kwenda na matukio. Imefikia hata matukio ya majonzi kama misiba na kadlika inafanyiwa siasa ili kuifarakanisha serikali na wananchi wake,kujenga picha kwamba serikali haipo kwa maslahi ya taifa wakati ni serikali ya nchi hii.

Serikali ipewe nafasi ya kujenga nchi,kazi ya upinzani ni kukosoa sio kuandamana na kusababisha watu kuumia kisa kufuata barua,mnaudhi mno. Upinzani kwa sasa umekuwa hauna nguvu kwasababu tu ya kukurupuka na kukosa strategies. Hayo ni maono kwa upande wangu….
 
Mkuu Mwarabu55 nakubaliana na wewe 100%.

Tunachokishuhudia sasa ni umuflisi wa ajenda za upinzani. Wanaamua kuvunja sheria maksudi ili wapambane na polisi halafu baadae waonyeshe kuwa wanaonewa.

Heche juzi hapa alisema kuwa siku hizi wameamua kurekodi mikutano yao yote. Wanafanya hivi ili wakipambana na polisi wawe na mkanda wa kuutumia wanapolialia na kulalamika eti wanaonewa.

Nasema ni mbinu muflisi kwa sababu hizi ndio mbinu zao za kujipatia umaarufu zilizoanza siku nyingi sana. Wanaita HARAKATI. Yaani:
Vunja sheria, hata kidogo tu, wakati vyombo vya habari vipo.
Pambana na polisi
Vyombo vya habari virekodi na viripoti hii vurugu
CDM wanakuwa gumzo nchini na kupata umaarufu.

Mbowe kuanzisha maandamano ya usiku (baada ya saa 12 jioni) bila kibali ilikuwa ndio hizi mbinu zao za kiharakati.

Walijua wangepambana na polisi halafu siku ya pili liwe gumzo mitaani. Pengine wangeonewa huruma na kupewa kura nyingi.

Simple strategy.

Unafikiri ni kwa nini CDM walilalamika sana kamera za mubashara zilipoondolewa bungeni - bunge live? Walikuwa wanafanya vurugu bungeni wakijua vyombo vya habari vitaonyesha mubashara ili kupata umaarufu.

Siasa za namna hii zitaivuruga nchi yetu. Sasa hivi wanamtumia Mange kuhamasisha maandamano nchi nzima (mithili ya UKUTA) ili kuleta vurugu nchini na kuifanya nchi isitawalike.

Kwa kuwa hawana ajenda mpya ya kuwavutia watu, sasa wameamua kuvunja sheria na kuleta vurugu nchini ili waitie dosari serikali.

Hii haitawezekana kwa sababu sasa wananchi wengi wanawajua utapeli wao na kamwe hawatakuja pata support ya watu kama ilivyokuwa kabla ya 2015.

Mambo yakiendelea hivi hivi wataambulia patupu kwenye chaguzi za 2019 na 2020.
 
Kwa upande wangu naona kama wapinzani wanaanza kwenda tofauti na neno upinzani kwa kutafuta namna yakuonekana kuwa ni watanzania zaidi kuliko serikali iliyopo madarakani, kwa kujaribu kujitia unyonge eti kwamba wanaonewa na kuwaaminisha wananchi hivyo, lakini huu ndio upinzani ulivyo? Haki haitafutwi kwa kuvunja sheria.

Upinzani unamaana mbili, kwanza ukiitwa mpinzani maana yake umeshindwa uchaguzi kwahiyo vumilia mpaka uchaguzi mwingine utakapo fanyika, pili ni kuikosoa serikali Iwapo itakosea aidha kwenye maamuzi yake au katika kutekeleza mambo kadha wa kadha ndani ya nchi. Upinzani wetu nchini umekuwa wa kwenda na matukio. Imefikia hata matukio ya majonzi kama misiba na kadlika inafanyiwa siasa ili kuifarakanisha serikali na wananchi wake,kujenga picha kwamba serikali haipo kwa maslahi ya taifa wakati ni serikali ya nchi hii.

Serikali ipewe nafasi ya kujenga nchi,kazi ya upinzani ni kukosoa sio kuandamana na kusababisha watu kuumia kisa kufuata barua,mnaudhi mno. Upinzani kwa sasa umekuwa hauna nguvu kwasababu tu ya kukurupuka na kukosa strategies. Hayo ni maono kwa upande wangu….

Damu ya Aquiline bado imewaganda CCM wauwaji wakubwa nyie.
 
Kwa upande wangu naona kama wapinzani wanaanza kwenda tofauti na neno upinzani kwa kutafuta namna yakuonekana kuwa ni watanzania zaidi kuliko serikali iliyopo madarakani, kwa kujaribu kujitia unyonge eti kwamba wanaonewa na kuwaaminisha wananchi hivyo, lakini huu ndio upinzani ulivyo? Haki haitafutwi kwa kuvunja sheria.

Upinzani unamaana mbili, kwanza ukiitwa mpinzani maana yake umeshindwa uchaguzi kwahiyo vumilia mpaka uchaguzi mwingine utakapo fanyika, pili ni kuikosoa serikali Iwapo itakosea aidha kwenye maamuzi yake au katika kutekeleza mambo kadha wa kadha ndani ya nchi. Upinzani wetu nchini umekuwa wa kwenda na matukio. Imefikia hata matukio ya majonzi kama misiba na kadlika inafanyiwa siasa ili kuifarakanisha serikali na wananchi wake,kujenga picha kwamba serikali haipo kwa maslahi ya taifa wakati ni serikali ya nchi hii.

Serikali ipewe nafasi ya kujenga nchi,kazi ya upinzani ni kukosoa sio kuandamana na kusababisha watu kuumia kisa kufuata barua,mnaudhi mno. Upinzani kwa sasa umekuwa hauna nguvu kwasababu tu ya kukurupuka na kukosa strategies. Hayo ni maono kwa upande wangu….
Mkuu hiyo ilimu siasa ulijifunzia wapi? Umesema ni maono yako?
 
Mkuu Mwarabu55 nakubaliana na wewe 100%.

Tunachokishuhudia sasa ni umuflisi wa ajenda za upinzani. Wanaamua kuvunja sheria maksudi ili wapambane na polisi halafu baadae waonyeshe kuwa wanaonewa.

Heche juzi hapa alisema kuwa siku hizi wameamua kurekodi mikutano yao yote. Wanafanya hivi ili wakipambana na polisi wawe na mkanda wa kuutumia wanapolialia na kulalamika eti wanaonewa.

Nasema ni mbinu muflisi kwa sababu hizi ndio mbinu zao za kujipatia umaarufu zilizoanza siku nyingi sana. Wanaita HARAKATI. Yaani:
Vunja sheria, hata kidogo tu, wakati vyombo vya habari vipo.
Pambana na polisi
Vyombo vya habari virekodi na viripoti hii vurugu
CDM wanakuwa gumzo nchini na kupata umaarufu.

Mbowe kuanzisha maandamano ya usiku (baada ya saa 12 jioni) bila kibali ilikuwa ndio hizi mbinu zao za kiharakati.

Walijua wangepambana na polisi halafu siku ya pili liwe gumzo mitaani. Pengine wangeonewa huruma na kupewa kura nyingi.

Simple strategy.

Unafikiri ni kwa nini CDM walilalamika sana kamera za mubashara zilipoondolewa bungeni - bunge live? Walikuwa wanafanya vurugu bungeni wakijua vyombo vya habari vitaonyesha mubashara ili kupata umaarufu.

Siasa za namna hii zitaivuruga nchi yetu. Sasa hivi wanamtumia Mange kuhamasisha maandamano nchi nzima (mithili ya UKUTA) ili kuleta vurugu nchini na kuifanya nchi isitawalike.

Kwa kuwa hawana ajenda mpya ya kuwavutia watu, sasa wameamua kuvunja sheria na kuleta vurugu nchini ili waitie dosari serikali.

Hii haitawezekana kwa sababu sasa wananchi wengi wanawajua utapeli wao na kamwe hawatakuja pata support ya watu kama ilivyokuwa kabla ya 2015.

Mambo yakiendelea hivi hivi wataambulia patupu kwenye chaguzi za 2019 na 2020.
umenena pointi tupu mkuu
 
hembu tumuache huyu binti wa watu apumzike kwa amani,hii discussion haita kunufaisha kwa vyovyote kwa kumtaja huyu binti,jaribu kuwa na ustaarabu kidogo

CCM mngekuwa wastaarabu msingemuua Aquiline.

hupendi jina lake litajwe unajuta kwa dhambi hii ya mauaji mliyofanya??
 
hayo maoni yangu hayana siasa hata kidogo,nimeliona hilo nililo liwakilisha kama a good citizen tu
MAKARAI HAWA FAHAMU ZAO ZIMESHIKWA NA DJ
HAWANA HATA AKILI YA KUJIULIZA MBONA LOWASA MWENYE CHAMA AMEKAA KIMYA?
LOWASA ANA BIASHARA NA MAJENGO YAKE DAR ES SALAAM, HAWEZI KUKUBALIANA NA DJ NA WAHUNI WENGINE FUJO ZITOKEE DAR.
DJ HANA KITU MASKINI WA KUTUPA YEYE NA WAHUNI WENZAKE, DJ ANAKAA MOSHI, HIVYO HANA UCHUNGU NA WAKAAZI WA DAR NA MAISHA YAO AU MALI ZAO.
MAKARAI 28 JANA YAMEKOSA DHAMAMA YA TSH 1.5M ONLY.....CHEZEA DJ ATAKUINGIZA MKENGE, YEYE MWENYWE NDIYO MKIMBIZI, AKAE HUKO HUKO KARAIKUU
 
Back
Top Bottom