Ni Kipi Ambacho Magufuli Anafanya Tofauti na Alivyo?

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,476
39,995
Kuna watu ambao wanaonekana kushangazwa au hata kukwazwa na jinsi Magufuli anazungumza au anavyosema mambo; wengine wanakwazwa kwa jinsi alivyo 'straight shooter' asiyemung'unya maneno; na wakati mwingine kuonekana kauli zake zinamleta matatizo. Baadhi yetu ambao tumefuatilia utendaji kazi wake miaka hii ishirini hatujaona tofauti ya Magufuli huyu na yule. Ni mtu yule yule.

Wengine wanataka awe tofauti; awe tofauti na Magufuli yule. Wanasahau kuwa alichaguliwa na mamilioni ya Watanzania kwa sababu hakubadilika; alikuwa ni yule yule. Mitazamo yake inaeleweka, utendaji wake unaeleweka na namna gani wakati mwingine kwa kauli zake anaweza kujiletea matatizo inaeleweka. Ni sawasawa na Trump huko Marekani. Leo watu wanamuona Trump alivyo, jinsi anavyozungumza na kauli zake kwa mtu mwingine hakupaswa hata kufikiriwa kuwa Rais lakini mamilioni ya Wamarekani wanaamini kuwa Taifa lao linamhitaji mtu kama yeye; mtu asiyejali sana siasa na kufurahisha vikundi vidogovidogo au kuwafurahisha wasomi kwa maneno matamu, yaliyopangwa vizuri na kusema vitu ambavyo vitamfanya aonekane "more presidential".

Wamarekani wameshawahi kuwa na wanasiasa wazuri, wenye maneno mazuri na wenye kupima kila herufi ya kila neno na matokeo yake karibu wote - kwa upande wa Republicans - wametupwa pembeni; anaenda kupewa rungu kichaa... Magufuli hivyo hivyo.. nilisema mwanzoni kabisa kuwa Magufuli ni kama kichaa kupewa rungu; lakini kichaa chake kizuri. Hajali sana hisia za kisiasa za watu au kudekeza kwa maneno ya kupoza na kufurahisha genge.

Tulishawahi kuwa na mtu anayezungumza kwa kufurahisha genge, asiyetaka kuudhi watu na ambaye alijaribu kujenga urafiki na kila mtu ili asiwe na adui. Matokeo yake Watanzania tukachoka tukasema imetosha...

Itabidi watu wazoee tu kwa miaka hii mitano kwani Magufuli huyu ni yule yule na labda sasa ana uthubutu zaidi wa kusema na kufanya mengi. Kama kuna vikwazo na anaonekana kuvuruga watu.. tutumie Bunge au Mahakama kuhoji maamuzi yake lakini binafsi naona Magufuli huyu hana tatizo na wanaokwazika wanakwazika kana kwamba walikuwa hawamjui alivyo...

#MtazoeaTu
 
Ukisema litumike Bunge na Mahakama kuhoji utendaji wake najikuta najiuliza kuhusu Bunge kurushwa live na kugomea amri ya Mahakama kulipa Fidia wale jamaa wa ARV fake,

Nani anauthubutu wa kumhoji?
 
  • Thanks
Reactions: 999
Maisha halisi ya kisiasa ni tofauti na yale ya ushabiki wa mtu kwenye masuala ya sinema. Mtu atazipenda sinema za mchezaji sinema fulani kwa sababu anapenda ule utu wake, labda upole wake, hivyo anajikuta kila akipata mshahara kitu cha kwanza ni kuangalia kama kuna sinema mpya ya muigizaji anayempenda, ipo sokoni.

Maisha ya kisiasa, inabidi watu tuzoea tabia za viongozi wetu, ni sawa na mtu ambaye hapendi kumeza vidonge fulani kwa sababu ni vichungu lakini kwa mujibu wa daktari, vidonge hivyo pekee ndio vinavyoweza kuyaokoa maisha yake.

Sio kila tunachokipenda tunaweza kukipata kila sekunde tunayopewa na Mungu hapa duniani. Uvumilivu wetu kwa sababu hatukubaliani na baadhi ya hulka za mwanasiasa mwenye dhamana kuu ya uongozi wa nchi, ni sifa amabyo inatutofautisha na mataifa mengi duniani.

Kiongozi mkuu wa nchi hawezi kugeuka akawa yule muigizaji maarufu wa sinema tuliyemzoea, hawezi akaishi kwa kutimiza kila matakwa ya kila mtu, katika muda wote wa uongozi wake.
 
Ushauri:Wana-JF ambao ni pro-UKAWA tambuenu kuwa kuendelea kumjibu na kumtukana/kumkejeli huyu Mwanakijiji ni kumtafutia huruma (sympathy) ya Magu ili mwisho wa siku Magu amplipe fadhilia na hili ndio lengo hasa la Mzee Mwanakiji na ndio maana pamoja na kukashifiwa kila siku,hakati tamaa wala haachi kumpamba Magu kwani anajua kejeli na matusi anayopewa ndio vitampa anachokitafuta.
 
tutumie bunge na mahakama ipi? Hizi ambazo anazibishia?
 
  • Thanks
Reactions: 999
Kuna watu ambao wanaonekana kushangazwa au hata kukwazwa na jinsi Magufuli anazungumza au anavyosema mambo; wengine wanakwazwa kwa jinsi alivyo 'straight shooter' asiyemung'unya maneno; na wakati mwingine kuonekana kauli zake zinamleta matatizo. Baadhi yetu ambao tumefuatilia utendaji kazi wake miaka hii ishirini hatujaona tofauti ya Magufuli huyu na yule. Ni mtu yule yule.

Wengine wanataka awe tofauti; awe tofauti na Magufuli yule. Wanasahau kuwa alichaguliwa na mamilioni ya Watanzania kwa sababu hakubadilika; alikuwa ni yule yule. Mitazamo yake inaeleweka, utendaji wake unaeleweka na namna gani wakati mwingine kwa kauli zake anaweza kujiletea matatizo inaeleweka. Ni sawasawa na Trump huko Marekani. Leo watu wanamuona Trump alivyo, jinsi anavyozungumza na kauli zake kwa mtu mwingine hakupaswa hata kufikiriwa kuwa Rais lakini mamilioni ya Wamarekani wanaamini kuwa Taifa lao linamhitaji mtu kama yeye; mtu asiyejali sana siasa na kufurahisha vikundi vidogovidogo au kuwafurahisha wasomi kwa maneno matamu, yaliyopangwa vizuri na kusema vitu ambavyo vitamfanya aonekane "more presidential".

Wamarekani wameshawahi kuwa na wanasiasa wazuri, wenye maneno mazuri na wenye kupima kila herufi ya kila neno na matokeo yake karibu wote - kwa upande wa Republicans - wametupwa pembeni; anaenda kupewa rungu kichaa... Magufuli hivyo hivyo.. nilisema mwanzoni kabisa kuwa Magufuli ni kama kichaa kupewa rungu; lakini kichaa chake kizuri. Hajali sana hisia za kisiasa za watu au kudekeza kwa maneno ya kupoza na kufurahisha genge.

Tulishawahi kuwa na mtu anayezungumza kwa kufurahisha genge, asiyetaka kuudhi watu na ambaye alijaribu kujenga urafiki na kila mtu ili asiwe na adui. Matokeo yake Watanzania tukachoka tukasema imetosha...

Itabidi watu wazoee tu kwa miaka hii mitano kwani Magufuli huyu ni yule yule na labda sasa ana uthubutu zaidi wa kusema na kufanya mengi. Kama kuna vikwazo na anaonekana kuvuruga watu.. tutumie Bunge au Mahakama kuhoji maamuzi yake lakini binafsi naona Magufuli huyu hana tatizo na wanaokwazika wanakwazika kana kwamba walikuwa hawamjui alivyo...

#MtazoeaTu

Wee mzee pumzika tu sasa ..ulipokua kijana ulikua unajenga hoja za maana sana lkn ule ujana umeondoka na busara zote..sasa hivi unaruka ruka huna hoja inayoeleweka... upo upo tu!
 
Utaendelea kujidhalilisha kiasi hiki mpaka lini Mwanakijiji? Straight shooter AKA asiyemung'unya maneno asingekuwa kimya muda wote huu kuhusu mafisadi wa Escrow, asingekuwa kimya kuhusu boti alilonunua kwa shilingi bilioni 8 ambalo sasa liko juu ya mawe hasara kwa Taifa, asingekaa kimya kuhusu ukwapuzi wa nyumba ambazo yeye alikuwa kinara na kulitia Taifa hasara ya shilingi trilioni 38, asingekwepa kiaaina kupambana na mafisadi na wezi akina Lugumi na wenzie na wengine wanaotaka kupora mchana kweupe mashirika ya umma UDA na PRIDE na pia asingeamua kuongoza nchi kidikteta kwa kudai kuonyesha Bunge live kwa gharama za shilingi bilioni 4 kwa mwaka ni gharama kubwa mno wakati huo huo gharama za kukimbiza mwenge kutengewa bajeti ya shilingi bilioni 120 kwa mwaka huu. Acha kujishusha kiasi hiki Mwanakijiji rudisha heshima yako uliyojijengea kwa miaka mingi hapa jamvini kwa Watanzania mbali mbali ndani na nje ya nchi.

Kuna watu ambao wanaonekana kushangazwa au hata kukwazwa na jinsi Magufuli anazungumza au anavyosema mambo; wengine wanakwazwa kwa jinsi alivyo 'straight shooter' asiyemung'unya maneno; na wakati mwingine kuonekana kauli zake zinamleta matatizo. Baadhi yetu ambao tumefuatilia utendaji kazi wake miaka hii ishirini hatujaona tofauti ya Magufuli huyu na yule. Ni mtu yule yule.

Wengine wanataka awe tofauti; awe tofauti na Magufuli yule. Wanasahau kuwa alichaguliwa na mamilioni ya Watanzania kwa sababu hakubadilika; alikuwa ni yule yule. Mitazamo yake inaeleweka, utendaji wake unaeleweka na namna gani wakati mwingine kwa kauli zake anaweza kujiletea matatizo inaeleweka. Ni sawasawa na Trump huko Marekani. Leo watu wanamuona Trump alivyo, jinsi anavyozungumza na kauli zake kwa mtu mwingine hakupaswa hata kufikiriwa kuwa Rais lakini mamilioni ya Wamarekani wanaamini kuwa Taifa lao linamhitaji mtu kama yeye; mtu asiyejali sana siasa na kufurahisha vikundi vidogovidogo au kuwafurahisha wasomi kwa maneno matamu, yaliyopangwa vizuri na kusema vitu ambavyo vitamfanya aonekane "more presidential".

Wamarekani wameshawahi kuwa na wanasiasa wazuri, wenye maneno mazuri na wenye kupima kila herufi ya kila neno na matokeo yake karibu wote - kwa upande wa Republicans - wametupwa pembeni; anaenda kupewa rungu kichaa... Magufuli hivyo hivyo.. nilisema mwanzoni kabisa kuwa Magufuli ni kama kichaa kupewa rungu; lakini kichaa chake kizuri. Hajali sana hisia za kisiasa za watu au kudekeza kwa maneno ya kupoza na kufurahisha genge.

Tulishawahi kuwa na mtu anayezungumza kwa kufurahisha genge, asiyetaka kuudhi watu na ambaye alijaribu kujenga urafiki na kila mtu ili asiwe na adui. Matokeo yake Watanzania tukachoka tukasema imetosha...

Itabidi watu wazoee tu kwa miaka hii mitano kwani Magufuli huyu ni yule yule na labda sasa ana uthubutu zaidi wa kusema na kufanya mengi. Kama kuna vikwazo na anaonekana kuvuruga watu.. tutumie Bunge au Mahakama kuhoji maamuzi yake lakini binafsi naona Magufuli huyu hana tatizo na wanaokwazika wanakwazika kana kwamba walikuwa hawamjui alivyo...

#MtazoeaTu
 
Ushauri:Wana-JF ambao ni pro-UKAWA kuendelea kmjibu na hata kumtukana/kumkejeli huyu mwanakijiji ni kumtafutia huruma ya Magufuli ili mwisho wa siku Magu amplipe fadhilia na hili ndio lengo hasa la Mzee Mwanakiji na ndio maana pamoja na kukashifiwa kila siku,hakati tamaa wala haachi kumpamba Magufuli kwani anajua kejeli na matusi anayopewa ndio vitampa anachokitafuta.
Wenzetu mliozoea kufanya mambo au kuchukua misimamo kwa ajili ya zawadi au ulaji ndio mnapata shida. Unapoandika au kuposti vitu dhidi ya Magufuli na serikali yake ni kwa sababu mgombea wako hakushinda na hivyo umekosa nafasi ya kuja kukumbukwa na kupata ulaji fulani.
 
Wenzetu mliozoea kufanya mambo au kuchukua misimamo kwa ajili ya zawadi au ulaji ndio mnapata shida. Unapoandika au kuposti vitu dhidi ya Magufuli na serikali yake ni kwa sababu mgombea wako hakushinda na hivyo umekosa nafasi ya kuja kukumbukwa na kupata ulaji fulani.
Wewe uko kwenye special mission kama ilivyokuwa kwa kina Pole....le na wengine ambao baadae walikumbukwa.
 
Ni kweli na asante kwa kutukumbusha. Kumpokea jinsi alivyo na kumuunga mkono ni vema zaidi. Ukweli ni kuwa tunasahau tu lakini tuliomba kumpata rais wa aina yake. Tunamshukuru Mungu sana kwa hilo. Bila shaka baadhi ya watu wataumia na wengine hata bila kosa. Lakini nchi itaenda. Ni kama vitani vile hata wasiostahili kufa hupoteza maisha!
 
Kuna wengine wanajaribu kumrudisha Rais Magufuli aishi jana wakati kwa sasa anaishi leo na ana safari ndefu yenye mabonde na mito mirefu. Pamoja na kwamba amewaambia wasipoteze muda wao kudhani safari yake ni kama nguvu ya soda. Hawa bado wanaugua ugonjwa wa uchaguzi (election fever).

Kuna wengine bado wamekaa pembeni wakiangalia kama Rais Magufuli atavuka mto na mabonde ambayo wanaamini hawezi kuyavuka.

Kuna wengine amewashangaza sana kwa sababu hawakutegemea kama ana ujasiri ambao anaonyesha kivitendo katika safari yake.

Kuna wengine wanaomba kwa shetani ili asifanikiwe kabisa ili wapate hoja katika genge la wachawi.

Kuna wengine hawashangai anachokifanya kwa sababu walifahamu vizuri kile ambacho atakifanya kabla hata ya kuanza safari yake kuingia Ikulu.
 
Kuna watu ambao wanaonekana kushangazwa au hata kukwazwa na jinsi Magufuli anazungumza au anavyosema mambo; wengine wanakwazwa kwa jinsi alivyo 'straight shooter' asiyemung'unya maneno; na wakati mwingine kuonekana kauli zake zinamleta matatizo. Baadhi yetu ambao tumefuatilia utendaji kazi wake miaka hii ishirini hatujaona tofauti ya Magufuli huyu na yule. Ni mtu yule yule.

Wengine wanataka awe tofauti; awe tofauti na Magufuli yule. Wanasahau kuwa alichaguliwa na mamilioni ya Watanzania kwa sababu hakubadilika; alikuwa ni yule yule. Mitazamo yake inaeleweka, utendaji wake unaeleweka na namna gani wakati mwingine kwa kauli zake anaweza kujiletea matatizo inaeleweka. Ni sawasawa na Trump huko Marekani. Leo watu wanamuona Trump alivyo, jinsi anavyozungumza na kauli zake kwa mtu mwingine hakupaswa hata kufikiriwa kuwa Rais lakini mamilioni ya Wamarekani wanaamini kuwa Taifa lao linamhitaji mtu kama yeye; mtu asiyejali sana siasa na kufurahisha vikundi vidogovidogo au kuwafurahisha wasomi kwa maneno matamu, yaliyopangwa vizuri na kusema vitu ambavyo vitamfanya aonekane "more presidential".

Wamarekani wameshawahi kuwa na wanasiasa wazuri, wenye maneno mazuri na wenye kupima kila herufi ya kila neno na matokeo yake karibu wote - kwa upande wa Republicans - wametupwa pembeni; anaenda kupewa rungu kichaa... Magufuli hivyo hivyo.. nilisema mwanzoni kabisa kuwa Magufuli ni kama kichaa kupewa rungu; lakini kichaa chake kizuri. Hajali sana hisia za kisiasa za watu au kudekeza kwa maneno ya kupoza na kufurahisha genge.

Tulishawahi kuwa na mtu anayezungumza kwa kufurahisha genge, asiyetaka kuudhi watu na ambaye alijaribu kujenga urafiki na kila mtu ili asiwe na adui. Matokeo yake Watanzania tukachoka tukasema imetosha...

Itabidi watu wazoee tu kwa miaka hii mitano kwani Magufuli huyu ni yule yule na labda sasa ana uthubutu zaidi wa kusema na kufanya mengi. Kama kuna vikwazo na anaonekana kuvuruga watu.. tutumie Bunge au Mahakama kuhoji maamuzi yake lakini binafsi naona Magufuli huyu hana tatizo na wanaokwazika wanakwazika kana kwamba walikuwa hawamjui alivyo...

#MtazoeaTu
Je Mwanakijiji unatushauri nini?Tusimkosoe? Tumsifie asubuhi mpaka jioni?
 
Utaendelea kujidhalilisha kiasi hiki mpaka lini Mwanakijiji? Straight shooter AKA asiyemung'unya maneno asingekuwa kimya muda wote huu kuhusu mafisadi wa Escrow, asingekuwa kimya kuhusu boti alilonunua kwa shilingi bilioni 8 ambalo sasa liko juu ya mawe hasara kwa Taifa, asingekaa kimya kuhusu ukwapuzi wa nyumba ambazo yeye alikuwa kinara na kulitia Taifa hasara ya shilingi trilioni 38, asingekwepa kiaaina kupambana na mafisadi na wezi akina Lugumi na wenzie na wengine wanaotaka kupora mchana kweupe mashirika ya umma UDA na PRIDE na pia asingeamua kuongoza nchi kidikteta kwa kudai kuonyesha Bunge live kwa gharama za shilingi bilioni 4 kwa mwaka ni gharama kubwa mno wakati huo huo gharama za kukimbiza mwenge kutengewa bajeti ya shilingi bilioni 120 kwa mwaka huu. Acha kujishusha kiasi hiki Mwanakijiji rudisha heshima yako uliyojijengea kwa miaka mingi hapa jamvini kwa Watanzania mbali mbali ndani na nje ya nchi.
mkuu umegonga kichwani na hasa kwenye utosi. hutomuona huyo kanjanja akijibu hii post yako.
 
Utaendelea kujidhalilisha kiasi hiki mpaka lini Mwanakijiji? Straight shooter AKA asiyemung'unya maneno asingekuwa kimya muda wote huu kuhusu mafisadi wa Escrow, asingekuwa kimya kuhusu boti alilonunua kwa shilingi bilioni 8 ambalo sasa liko juu ya mawe hasara kwa Taifa, asingekaa kimya kuhusu ukwapuzi wa nyumba ambazo yeye alikuwa kinara na kulitia Taifa hasara ya shilingi trilioni 38, asingekwepa kiaaina kupambana na mafisadi na wezi akina Lugumi na wenzie na wengine wanaotaka kupora mchana kweupe mashirika ya umma UDA na PRIDE na pia asingeamua kuongoza nchi kidikteta kwa kudai kuonyesha Bunge live kwa gharama za shilingi bilioni 4 kwa mwaka ni gharama kubwa mno wakati huo huo gharama za kukimbiza mwenge kutengewa bajeti ya shilingi bilioni 120 kwa mwaka huu. Acha kujishusha kiasi hiki Mwanakijiji rudisha heshima yako uliyojijengea kwa miaka mingi hapa jamvini kwa Watanzania mbali mbali ndani na nje ya nchi.
Tuachane na Rais Magufuli. Rais Magufuli hafai kuwa Rais wa Tanzania kwa sababu ana madudu mengi sana wakati akiwa Waziri.

Huyu hapa chini ndiye alikuwa anatufaa kuwa Rais wa Tanzania.
lol! Mbali na ufisadi kumbe pia Lowassa ni muongo! Dah! Kazi kweli kweli! tabia zake zimefanana sana na DHAIFU, "Pesa za Escrow si pesa za Serikali."

Sheikh wa Wilaya Bagamoyo amkana Lowassa
Au vipi!

Maamuzi ya Lowassa kuingia CHADEMA yamewafunua wanafiki wengi sana!
 
Kuna watu ambao wanaonekana kushangazwa au hata kukwazwa na jinsi Magufuli anazungumza au anavyosema mambo; wengine wanakwazwa kwa jinsi alivyo 'straight shooter' asiyemung'unya maneno; na wakati mwingine kuonekana kauli zake zinamleta matatizo. Baadhi yetu ambao tumefuatilia utendaji kazi wake miaka hii ishirini hatujaona tofauti ya Magufuli huyu na yule. Ni mtu yule yule.

Wengine wanataka awe tofauti; awe tofauti na Magufuli yule. Wanasahau kuwa alichaguliwa na mamilioni ya Watanzania kwa sababu hakubadilika; alikuwa ni yule yule. Mitazamo yake inaeleweka, utendaji wake unaeleweka na namna gani wakati mwingine kwa kauli zake anaweza kujiletea matatizo inaeleweka. Ni sawasawa na Trump huko Marekani. Leo watu wanamuona Trump alivyo, jinsi anavyozungumza na kauli zake kwa mtu mwingine hakupaswa hata kufikiriwa kuwa Rais lakini mamilioni ya Wamarekani wanaamini kuwa Taifa lao linamhitaji mtu kama yeye; mtu asiyejali sana siasa na kufurahisha vikundi vidogovidogo au kuwafurahisha wasomi kwa maneno matamu, yaliyopangwa vizuri na kusema vitu ambavyo vitamfanya aonekane "more presidential".

Wamarekani wameshawahi kuwa na wanasiasa wazuri, wenye maneno mazuri na wenye kupima kila herufi ya kila neno na matokeo yake karibu wote - kwa upande wa Republicans - wametupwa pembeni; anaenda kupewa rungu kichaa... Magufuli hivyo hivyo.. nilisema mwanzoni kabisa kuwa Magufuli ni kama kichaa kupewa rungu; lakini kichaa chake kizuri. Hajali sana hisia za kisiasa za watu au kudekeza kwa maneno ya kupoza na kufurahisha genge.

Tulishawahi kuwa na mtu anayezungumza kwa kufurahisha genge, asiyetaka kuudhi watu na ambaye alijaribu kujenga urafiki na kila mtu ili asiwe na adui. Matokeo yake Watanzania tukachoka tukasema imetosha...

Itabidi watu wazoee tu kwa miaka hii mitano kwani Magufuli huyu ni yule yule na labda sasa ana uthubutu zaidi wa kusema na kufanya mengi. Kama kuna vikwazo na anaonekana kuvuruga watu.. tutumie Bunge au Mahakama kuhoji maamuzi yake lakini binafsi naona Magufuli huyu hana tatizo na wanaokwazika wanakwazika kana kwamba walikuwa hawamjui alivyo...

#MtazoeaTu


Kwa kuongezea tu hakuna chochote ambacho Raisi Magufuli amekifanya mpaka leo hii ambacho hakukisema wakati wa kampeni zake, aliyoyaahidi kuyafanya ndiyo anayoyafanya leo hii na hakuna pungufu hata moja!
 
Hadi sasa naweza kusema rais Magufuli amefanikiwa jambo moja kubwa, amefunua unafiki wetu sisi Watanzania. Kwa muda mrefu watu walikuwa wanalalamika kuhusu mambo mengi mfano, rais anasifiri sana, serikali haikusanyi kodi, warsha na semina zimezidi. Sasa kaingia Magufuli na kufanya kweli, ghafla tumeanza kulilia vitu vile vile tulivyokuwa tunasema vinaangamiza nchi. Unafiki mtupu!
 
Mda wa kusifia mtu anaetaka nitoke kwenye ushetani niishi kiibilisi siwezi, kisa tu ni kuwa anataka kuwapa watu anaowajua yeye ushetani wangu.
 
Back
Top Bottom