Ni Kikwete na Lowasa

Shaycas

JF-Expert Member
Feb 13, 2009
906
110
Muda si mrefu uliopita rais ametunuku kamisheni kwa wanajeshi zaidi ya 250 waliokuwa wanahudhuria mafunzo yao ya uafisa TMA.Kamisheni hiyo inawafanya wahitimu kuwa maofisa ktk TPDF.Baada ya kamisheni hiyo nao wamekula kiapo cha utii kwa rais na katiba ya jamhuri ya muungano nabadae rais alienda kukagua mabweni yanayotumiwa na maafisa wanafunzi ambayo kwa zaidi ya miezi mitatu yamekuwa yakifanyiwa ukarabati mkubwa.
Wakati huo huo,ktk kuthibitisha kuwa urafiki wa LOWASA NA KIKWETE SIO WA KUKUTANA BARABARANI,LOWASA ALIKUWEPO KTK SHEREHE HIZO ZILIZOFANA NA KUONEKANA WAKICHANGAMKIANA.
 
Muda si mrefu uliopita rais ametunuku kamisheni kwa wanajeshi zaidi ya 250 waliokuwa wanahudhuria mafunzo yao ya uafisa TMA.Kamisheni hiyo inawafanya wahitimu kuwa maofisa ktk TPDF.Baada ya kamisheni hiyo nao wamekula kiapo cha utii kwa rais na katiba ya jamhuri ya muungano nabadae rais alienda kukagua mabweni yanayotumiwa na maafisa wanafunzi ambayo kwa zaidi ya miezi mitatu yamekuwa yakifanyiwa ukarabati mkubwa.
Wakati huo huo,ktk kuthibitisha kuwa urafiki wa LOWASA NA KIKWETE SIO WA KUKUTANA BARABARANI,LOWASA ALIKUWEPO KTK SHEREHE HIZO ZILIZOFANA NA KUONEKANA WAKICHANGAMKIANA.

huu ni udaku kabisa, kuna ubaya gani, Chuo cha TMA kipo Monduli Lowassa ni mbunge wa Monduli, ki utaratibu lazima aalikwe pamoja na viongozi wengine wa wilaya ya moduli, nakumbuka mahafali karibu yote yanayofanyika hapo TMA viongozi mvbalimbali wilayani Wanaalikwa kuanzia wasiasa na sio CCM tu hata upinzani, viongozi wa dini mbalimbali na hata majirani wa hicho chuo, Ina maana wewe ulitegemea MH JK wanuniane na Lowassa??? Plz post vitu ambavyo ni constructive
 
Wajemeni, kwani EL amegombana na JK?. Kwani ni JK ndiye aliyemuondoa EL uPM?. EL alijiuzulu mwenyewe kuonyesha resiponsibility lakini hana kosa lolote ndio maana hata kuulizwa au kuhojiwa hakuhojiwa. JK na EL are still friends so do RA.
 
Kama sikosei hata mwaka jana walikutana pia alipotoa kamisheni.....Monduli!!
 
Muda si mrefu uliopita rais ametunuku kamisheni kwa wanajeshi zaidi ya 250 waliokuwa wanahudhuria mafunzo yao ya uafisa TMA.Kamisheni hiyo inawafanya wahitimu kuwa maofisa ktk TPDF.Baada ya kamisheni hiyo nao wamekula kiapo cha utii kwa rais na katiba ya jamhuri ya muungano nabadae rais alienda kukagua mabweni yanayotumiwa na maafisa wanafunzi ambayo kwa zaidi ya miezi mitatu yamekuwa yakifanyiwa ukarabati mkubwa.
Wakati huo huo,ktk kuthibitisha kuwa urafiki wa LOWASA NA KIKWETE SIO WA KUKUTANA BARABARANI,LOWASA ALIKUWEPO KTK SHEREHE HIZO ZILIZOFANA NA KUONEKANA WAKICHANGAMKIANA.

Na wewe una yako tu. sasa hilo ni tatizo kwako? Kikwete alikuwa jimboni kwa Lowasa ulitakeje Lowasa asiwepo ilihali ni kwake?
 
na wewe una yako tu. Sasa hilo ni tatizo kwako? Kikwete alikuwa jimboni kwa lowasa ulitakeje lowasa asiwepo ilihali ni kwake?

....fuatilia mambo kwa karibu.tangu kipindi cha mkapa,lowasa alikuwa mbunge na hakuwai kuhudhuria kamisheni hata moja.tangu kikwete amekuwa rais,lowasa alikosa kamisheni ya february 06 kwa sababu ya majukumu mengi aliyokuwa nayo kama pm.
 
....fuatilia mambo kwa karibu.tangu kipindi cha mkapa,lowasa alikuwa mbunge na hakuwai kuhudhuria kamisheni hata moja.tangu kikwete amekuwa rais,lowasa alikosa kamisheni ya february 06 kwa sababu ya majukumu mengi aliyokuwa nayo kama pm.


nimeshahudhuria mara mbili kipindi cha Mkapa, Lowasa kwa nafasi yake ya Ubunge wa Monduli nilimuona, unaposema kipindi cha mkapa alikuwa ha hudhurii unadanganya umaa
 
Back
Top Bottom