Ashakum si matusi. Hivyo, lile gari letu la mkaa limeshatoka garage? Nahofia mkaa unaharibika kwa mvua hizi za vuli.Wanabodi,
Nguvu ya Tundu lissu baada ya kusafiri kwa mtumbwi toka ukerewe si ya kawaida tena, ni kama sio yeye bali amevaa nguvu za maajabu na miujiza.
Mapigo ya Tundu Lissu Ukerewe, Mapigo ya simiyu huko bariadi yatosha kusema kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza.
Ni uzalendo wetu ndani ya chama chetu cha mapinduzi ndio unatupa ganzi la moyo na ahueni huku tukijifariji lakini. Technically Tundu Lissu ana hoja na anashambulia ngome mfululizo bila aibu huku akiungwa mkono na umati ambao una uchungu na hasira kubwa.
Leo akiwa Simiyu na akinukuu wosia wa Baba wa Taifa wa mwaka 1995 kuhusu uhuru na maendeleo ya watu kwa mifano na akili kubwa hakika amenifanya nishindwe kuendelea kumchungulia kule "Youtube " anatuchezesha sindimba na Segere huku wengine wakisema Beat ya mdundo ina mikwaruzo.
Niliamini ni ndumba na uchawi unatumika ili kushawishi watu kwa maelfu kumshangilia Tundu lissu lakini nimegundua watu wanahitaji maendeleo ya mifukoni mwao yaani pesa. Anachokifanya ni kupigilia msumari wa hasira kwenye maisha na kuwatia watu uchungu unaopelekea kuambiana sera zake.
Tundu Lissu alifaa kuwa professor, Doctor, Mwanahistoria na Mwanamikakati anawajaza watu nguvu na morali ya kutokukata tamaa. Anawaaminisha watu kuwa nchi h ii Raia ndio mmiliki na anapaswa kupewa nguvu ya kuwasema watawala na kuwawajibisha wakikosea.
Tangu kuanza kampeni hakuna wakati au siku ambayo Tundu Lissu ameshambulia ngome kwa hoja kuanzia vitambulisho vya machinga ,Afya,Mfumo wa elimu yetu ya kujaza notes,Bei za mazao,Muundo wa uongozi mpaka ajira na mishahara kama leo
Nilijua labda naota lakini nikaamua kufuatilia habari zake kwenye television tofauti za online na zile za masafa saa mbili usiku huu nikagundua haikuwa ndoto nilipokuwa nachungulia "Youtube"bali ni anagonga hoja na watu zinawaingia kwa hasira kubwa
Yote haya yanayoendelea na mashambulizi yote lakini tutashinda kwa mbinu za kisasa na zilizoboreshwa zaidi.
Tundu Lissu kwenye kuelezea historia ya nchi hii tangu ukoloni mpaka sasa namfananisha na Rais mstaafu Jakaya Kikwete.
Tundu lissu na Jakaya Kikwete kwenye kuelezea matukio ya nchi hii tangu uhuru kwa mifano na kusisimua ninawakubali sana.
Tundu Lissu na Jakaya Kikwete wana uwezo wa kushusha nondo za nchi hii kwa kumbukumbu kubwa sana na ya kushawishi tumetoka wapi na tupo wapi
Heri ya mabeberu wanaleta maendeleo kuliko wakoloni weusi uleta umasikiniIsipokuwa wanufaikaji wa mfumo wa chama dola,vinginevyo wapenda Haki wote bila kujali vyama vyo wanaenda kumpigia kura Mh.Lissu na watazilinda usiku na mchana zisiibwe.CCM matumbo moto!
Uchaguzi huu,hatudanganyiki kwa Propaganda ya Mabeberu.Tunataka Uhuru,Haki kwa Maendeleo ya wote!Simple.
Wanabodi,
Nguvu ya Tundu lissu baada ya kusafiri kwa mtumbwi toka ukerewe si ya kawaida tena, ni kama sio yeye bali amevaa nguvu za maajabu na miujiza.
Mapigo ya Tundu Lissu Ukerewe, Mapigo ya simiyu huko bariadi yatosha kusema kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza.
Ni uzalendo wetu ndani ya chama chetu cha mapinduzi ndio unatupa ganzi la moyo na ahueni huku tukijifariji lakini. Technically Tundu Lissu ana hoja na anashambulia ngome mfululizo bila aibu huku akiungwa mkono na umati ambao una uchungu na hasira kubwa.
Leo akiwa Simiyu na akinukuu wosia wa Baba wa Taifa wa mwaka 1995 kuhusu uhuru na maendeleo ya watu kwa mifano na akili kubwa hakika amenifanya nishindwe kuendelea kumchungulia kule "Youtube " anatuchezesha sindimba na Segere huku wengine wakisema Beat ya mdundo ina mikwaruzo.
Niliamini ni ndumba na uchawi unatumika ili kushawishi watu kwa maelfu kumshangilia Tundu lissu lakini nimegundua watu wanahitaji maendeleo ya mifukoni mwao yaani pesa. Anachokifanya ni kupigilia msumari wa hasira kwenye maisha na kuwatia watu uchungu unaopelekea kuambiana sera zake.
Tundu Lissu alifaa kuwa professor, Doctor, Mwanahistoria na Mwanamikakati anawajaza watu nguvu na morali ya kutokukata tamaa. Anawaaminisha watu kuwa nchi h ii Raia ndio mmiliki na anapaswa kupewa nguvu ya kuwasema watawala na kuwawajibisha wakikosea.
Tangu kuanza kampeni hakuna wakati au siku ambayo Tundu Lissu ameshambulia ngome kwa hoja kuanzia vitambulisho vya machinga ,Afya,Mfumo wa elimu yetu ya kujaza notes,Bei za mazao,Muundo wa uongozi mpaka ajira na mishahara kama leo
Nilijua labda naota lakini nikaamua kufuatilia habari zake kwenye television tofauti za online na zile za masafa saa mbili usiku huu nikagundua haikuwa ndoto nilipokuwa nachungulia "Youtube"bali ni anagonga hoja na watu zinawaingia kwa hasira kubwa
Yote haya yanayoendelea na mashambulizi yote lakini tutashinda kwa mbinu za kisasa na zilizoboreshwa zaidi.
Tundu Lissu kwenye kuelezea historia ya nchi hii tangu ukoloni mpaka sasa namfananisha na Rais mstaafu Jakaya Kikwete.
Tundu lissu na Jakaya Kikwete kwenye kuelezea matukio ya nchi hii tangu uhuru kwa mifano na kusisimua ninawakubali sana.
Tundu Lissu na Jakaya Kikwete wana uwezo wa kushusha nondo za nchi hii kwa kumbukumbu kubwa sana na ya kushawishi tumetoka wapi na tupo wapi
[/QUOTE
Hata sijaelewa mantiki ya uzi wako
Acha ujinga wewe. Unazungusha maneno tu. Ccm haina chochote kutishika na usanii wa lissu kwani hana hoja za kushindanishwa na magufuli. Angojee tu kushindwa vibaya. Kazi itakua kwake kujieleza kwa bwana zake kwa nini kashindwa huku kala hela yaoCCM ,CCM ahaaa ahaaa chama cha mapinduzi CCM namba one
Na wajinga wanajua CCM namba one
Na matapeli wanajua CCM namba one
Na mataga wanajua CCM namba one
Watanzania wote ,Watanzania makengeza
Namba li one ooho ,namba li one ni chichiem
Lieni lieni lieni ohoo lieni ,lieni kwa moyo moja namba li one ooh namba li one ni chi chiem
Unajipa kazi kubwa ya kuchungulia Youtube si mumuonyeshe huko Tbc ccm kuliko kujificha youtube huku unaumia
Ahaa kweli mambo yamekuwa mambo kumbe kila siku mnamtafuta Youtube
Mbona mi kitambo tu nalima. Wenunaetegemea kubeba zege ndio ujiandae maana utawala wa Lisu haina ujenzi ni kula maisha tu. Ngojeni ashinde afu awaambie mshirikiane kutengeneza ajira ndio mtajuta.Point za Lisu huwezi kuziona unajifanya Mbuni Sababu unajua utarudi kwenu kulima
Wewe uko simiyu kweli!! Simiyu hakuna mdudu anaitwa chadema acha kudanganya watu. Simiyu hata diwani m1 chadema hamtampataWanabodi,
Nguvu ya Tundu lissu baada ya kusafiri kwa mtumbwi toka ukerewe si ya kawaida tena, ni kama sio yeye bali amevaa nguvu za maajabu na miujiza.
Mapigo ya Tundu Lissu Ukerewe, Mapigo ya simiyu huko bariadi yatosha kusema kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza.
Ni uzalendo wetu ndani ya chama chetu cha mapinduzi ndio unatupa ganzi la moyo na ahueni huku tukijifariji lakini. Technically Tundu Lissu ana hoja na anashambulia ngome mfululizo bila aibu huku akiungwa mkono na umati ambao una uchungu na hasira kubwa.
Leo akiwa Simiyu na akinukuu wosia wa Baba wa Taifa wa mwaka 1995 kuhusu uhuru na maendeleo ya watu kwa mifano na akili kubwa hakika amenifanya nishindwe kuendelea kumchungulia kule "Youtube " anatuchezesha sindimba na Segere huku wengine wakisema Beat ya mdundo ina mikwaruzo.
Niliamini ni ndumba na uchawi unatumika ili kushawishi watu kwa maelfu kumshangilia Tundu lissu lakini nimegundua watu wanahitaji maendeleo ya mifukoni mwao yaani pesa. Anachokifanya ni kupigilia msumari wa hasira kwenye maisha na kuwatia watu uchungu unaopelekea kuambiana sera zake.
Tundu Lissu alifaa kuwa professor, Doctor, Mwanahistoria na Mwanamikakati anawajaza watu nguvu na morali ya kutokukata tamaa. Anawaaminisha watu kuwa nchi h ii Raia ndio mmiliki na anapaswa kupewa nguvu ya kuwasema watawala na kuwawajibisha wakikosea.
Tangu kuanza kampeni hakuna wakati au siku ambayo Tundu Lissu ameshambulia ngome kwa hoja kuanzia vitambulisho vya machinga ,Afya,Mfumo wa elimu yetu ya kujaza notes,Bei za mazao,Muundo wa uongozi mpaka ajira na mishahara kama leo
Nilijua labda naota lakini nikaamua kufuatilia habari zake kwenye television tofauti za online na zile za masafa saa mbili usiku huu nikagundua haikuwa ndoto nilipokuwa nachungulia "Youtube"bali ni anagonga hoja na watu zinawaingia kwa hasira kubwa
Yote haya yanayoendelea na mashambulizi yote lakini tutashinda kwa mbinu za kisasa na zilizoboreshwa zaidi.
Tundu Lissu kwenye kuelezea historia ya nchi hii tangu ukoloni mpaka sasa namfananisha na Rais mstaafu Jakaya Kikwete.
Tundu lissu na Jakaya Kikwete kwenye kuelezea matukio ya nchi hii tangu uhuru kwa mifano na kusisimua ninawakubali sana.
Tundu Lissu na Jakaya Kikwete wana uwezo wa kushusha nondo za nchi hii kwa kumbukumbu kubwa sana na ya kushawishi tumetoka wapi na tupo wapi
Wamekataliwa Hadi vijijini,Mwaka huu sikutegemea kama mnahitajim kupiga kampeni ....lakini mambo yamebadilika ...yaani wananchi wanahasira sana naona....umeona nyomi la kanda ya ziwa bila mabango wala wasanii
Chama cha Mbowe cha kipuuzi Sana. Genge la wahuni lenye uchu wa madaraka, halina nafasi kwenye nchi hii. Watanzania watatoa mkong'oto wa kutosha oct 28 iwe fundisho. Mwaka 2025, mtakuwa kama ADC na chauma..Nikutaarifu tu bado unaota amka. Tundu Lisu ndiye kiumbe mpumbavu Tanzania nzima. Enzi za kikwete walipiga kelele dhini ya ujenzi wa miundombinu, wakalalamika wakisema Ni aibu nchi Haina hata ndege 1, awamu hii hawana hoja za msingi ndio maana Vita yao kubwa Ni kumtukana magufuli, kupandikiza chuki kwa wananchi.
Tangu amenza kampeni sijaona pointing yeyote anaongea matusi tu. Katika kampeni zake anajaribu kuuthibitishia umma kuwa serikali haimuwezi kwamba anaijua Sheria na Yuko juu ya Sheria.
Hapa Ni anagombea na ndo Yuko hivi je akiupata huo urais unadhani atabadilika? Huyu ana chuki anawaaminisha watanzania kuwa Magufuli alimpiga risasi lakini hizo Ni tuhuma hakuna mwenye uhakika nazo na cha ajabu wananchi wasio elewa kazi kupelekwa wanaamini anachosema.
Juzi Mbowe alipoanguka Kama pasingekuwa na waliomuona mapema Basi mda huu nae angekuwa analalamika ameshambuliwa na watu wa Magufuli.
Tukirejea mfumo wa elimu Duniani kote lazima usome nasharia Kwanza kabla ya vitendo. Kwa ufupi LIssu sio mjinga Bali mpumbavu kwani anaelewa ukweli ila anawalaghai watanzania na kuwaingiza katika Vita na serikali ili muichukie.
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawalaChama cha Mbowe cha kipuuzi Sana. Genge la wahuni lenye uchu wa madaraka, halina nafasi kwenye nchi hii. Watanzania watatoa mkong'oto wa kutosha oct 28 iwe fundisho. Mwaka 2025, mtakuwa kama ADC na chauma..