fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 11,074
- 19,871
Na ile mi V8 ya kijani aiache wapi?😂😂CCM wanakosa political strategist, namshangaa Bashiru na Phd yake ya siasa anashindwa kuelewa mikakati katika uwanja wa siasa,
Nadhani tatizo ni phd zetu za vyeti bila kuwa rutuba katika ubongo.
Unamzuia vipi mtu asifike eneo fulani kwa kampeni?
Ushamba.
Kupanda Mtumbwi kwa Lissu kumpeleka ujumbe kwa wana ukerewe kuwa lissu ni mpiganaji asiyejali dhiki wala raha.
Magufuli itamgharimu pakuwa ukerewe this time, nafikiri naye aende kwa Jahazi kurudisha matumaini
Lissu kala points 3 muhimu kwa kupanda mtumbwi