Uchaguzi 2020 Ni kichwa ngumu na uzalendo tu kwa CCM: Tundu Lissu anatikisa, smart na anapendwa

CCM wanakosa political strategist, namshangaa Bashiru na Phd yake ya siasa anashindwa kuelewa mikakati katika uwanja wa siasa,

Nadhani tatizo ni phd zetu za vyeti bila kuwa rutuba katika ubongo.

Unamzuia vipi mtu asifike eneo fulani kwa kampeni?

Ushamba.


Kupanda Mtumbwi kwa Lissu kumpeleka ujumbe kwa wana ukerewe kuwa lissu ni mpiganaji asiyejali dhiki wala raha.

Magufuli itamgharimu pakuwa ukerewe this time, nafikiri naye aende kwa Jahazi kurudisha matumaini
Na ile mi V8 ya kijani aiache wapi?😂😂
Lissu kala points 3 muhimu kwa kupanda mtumbwi
 
Nikutaarifu tu bado unaota amka. Tundu Lisu ndiye kiumbe mpumbavu Tanzania nzima. Enzi za kikwete walipiga kelele dhini ya ujenzi wa miundombinu, wakalalamika wakisema Ni aibu nchi Haina hata ndege 1, awamu hii hawana hoja za msingi ndio maana Vita yao kubwa Ni kumtukana magufuli, kupandikiza chuki kwa wananchi.

Tangu amenza kampeni sijaona pointing yeyote anaongea matusi tu. Katika kampeni zake anajaribu kuuthibitishia umma kuwa serikali haimuwezi kwamba anaijua Sheria na Yuko juu ya Sheria.

Hapa Ni anagombea na ndo Yuko hivi je akiupata huo urais unadhani atabadilika? Huyu ana chuki anawaaminisha watanzania kuwa Magufuli alimpiga risasi lakini hizo Ni tuhuma hakuna mwenye uhakika nazo na cha ajabu wananchi wasio elewa kazi kupelekwa wanaamini anachosema.

Juzi Mbowe alipoanguka Kama pasingekuwa na waliomuona mapema Basi mda huu nae angekuwa analalamika ameshambuliwa na watu wa Magufuli.

Tukirejea mfumo wa elimu Duniani kote lazima usome nasharia Kwanza kabla ya vitendo. Kwa ufupi LIssu sio mjinga Bali mpumbavu kwani anaelewa ukweli ila anawalaghai watanzania na kuwaingiza katika Vita na serikali ili muichukie.
azory je? vip kuhusu ben saanane? na je vip kuhusu wafanyabiashara wakubwa, wanamuziki waliotekwa? vip kuhusu maiti kwenye viroba fukweni? watu walionyang'anywa fedha zao je? maduka ya fedha za kigeni?!!! wakulima waliofilisiwa wakiwemo wa korosho?!!! vitambulisho vya uongo vya wamachinga je? wastaafu wanaosota mitaani bila kulipwa mafao yao je? na je viongozi wa waislam wanaosoteshwa mahabusu miaka nenda miaka rudi? na vip kuhusu walioondolewa kwa vyeti feki kinyume na sheria? unatuambiaje kuhusu watumishi wa umma waliosoteshwa miaka miatano bila kupandishiwa mishahara kinyume na sheria? na vip hao viongoz wa dini waliotuhumiwa kidhuluma kuwa si watanzania kisa tu wamekosoa kisheria? na vip kuhusu kuvunjavunja sheria na taratibu za nchi hovyo hovyo ikiwemo kuwafungia wapinzani wasifanya kazi zao za siasa ilhali wapo kisheria, kuwanyima elimu watoto wa kike waliopata mimba nk nk.....naam yan almradi list ya uovu wa jiwe kwa watanzania ni ndefu sana
 
Vibaya mno, jana nilikuwa nansio hapa ukerewe wanawake na wanaume ni Lissu tu
Unajua kuna vitu jamaa wanavyovifanya vinampa credits nyingi sana Lissu na yeye kwa kulitambua hilo anatumia udhaifu huo huo kula points nyingi zaidi kutoka kwa wananchi.

Sikuona mantiki yoyote ya kumzuia ile siku pale mlandizi, sijaona mantiki , yoyote ya kusingizia kivuko kibovu ziwa Victoria.
Vichwa vinawauma sasa, ngome iliyotegemewa Lissu kaivunja na kaondoka na baraka zote za wanakanda ya maziwa makuu.
 
Kuna dalili zinaonyesha Mahera kawageuka CCM kama ni kweli basi atakuwa kausoma upepo na kaona akiweka Nongwa Mahakama ya The Hague inamuita
mwache ccm wamwingize kwenye msala wa kuchafua uchaguzi aone atakavyoachwa mwenyewe huko the hegi. atatagetiwa yeye kama yeye na si tume vinginevyo awe amejitoa sadaka yeye na familia yake.
 
Mimi huwa nawapenda watu wakweli!! nimefurahi leo umesema ukweli!! sasa badala kuiba kura sibora mkawa wakweli muache wananchi waamue?
Mtoa mada yeye ni CCM na amekiri kwamba wamezidiwa sana na hoja za mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA lakini pia amesema anaamini watashinda kwa njia za kisiasa kabisa zilizoboreshwa. Kazi ipo hapo.
 
CCM wanakosa political strategist, namshangaa Bashiru na Phd yake ya siasa anashindwa kuelewa mikakati katika uwanja wa siasa,

Nadhani tatizo ni phd zetu za vyeti bila kuwa rutuba katika ubongo.

Unamzuia vipi mtu asifike eneo fulani kwa kampeni?

Ushamba.


Kupanda Mtumbwi kwa Lissu kumpeleka ujumbe kwa wana ukerewe kuwa lissu ni mpiganaji asiyejali dhiki wala raha.

Magufuli itamgharimu pakuwa ukerewe this time, nafikiri naye aende kwa Jahazi kurudisha matumaini
tena nashauri siku ya lisu kuingia kufanya kampeni Dar apande mwanapunda ili andiko litimie.
🎶🎶🎙🎙🎧🎤🎤🎸silaha begani hakuna kurudi nyuma Makamanda🎼🎼🎵
🚣‍♂️🚣‍♂️🚣‍♂️🚣‍♂️🚣‍♂️
 
Option ni mbili tu kurudi Chattotown au kwenda the Hague, Huwezi shindana mshindi
 
Nikutaarifu tu bado unaota amka. Tundu Lisu ndiye kiumbe mpumbavu Tanzania nzima. Enzi za kikwete walipiga kelele dhini ya ujenzi wa miundombinu, wakalalamika wakisema Ni aibu nchi Haina hata ndege 1, awamu hii hawana hoja za msingi ndio maana Vita yao kubwa Ni kumtukana magufuli, kupandikiza chuki kwa wananchi.

Tangu amenza kampeni sijaona pointing yeyote anaongea matusi tu. Katika kampeni zake anajaribu kuuthibitishia umma kuwa serikali haimuwezi kwamba anaijua Sheria na Yuko juu ya Sheria.

Hapa Ni anagombea na ndo Yuko hivi je akiupata huo urais unadhani atabadilika? Huyu ana chuki anawaaminisha watanzania kuwa Magufuli alimpiga risasi lakini hizo Ni tuhuma hakuna mwenye uhakika nazo na cha ajabu wananchi wasio elewa kazi kupelekwa wanaamini anachosema.

Juzi Mbowe alipoanguka Kama pasingekuwa na waliomuona mapema Basi mda huu nae angekuwa analalamika ameshambuliwa na watu wa Magufuli.

Tukirejea mfumo wa elimu Duniani kote lazima usome nasharia Kwanza kabla ya vitendo. Kwa ufupi LIssu sio mjinga Bali mpumbavu kwani anaelewa ukweli ila anawalaghai watanzania na kuwaingiza katika Vita na serikali ili muichukie.
Yani huyo kiduku lissu apambane anavyojua lakini urais hapati ng'ooo
 
Ukifatilia hoja za Lissu hasa anapoongea unagundua ni mmoja kati ya viongozi wachache wenye uwezo mkubwa wa akili(IQ) na mtunzaji mkubwa wa kumbukumbu.

Isingekuwa issues za kisiasa, huyu jamaa angekuwa msaada Sana kwa Nchi iwapo angetumika.
Ni wakati sasa wa TISS kumwamini huyu kiongozi na kuridhia atuongoze hasa ikizingatiwa Wananchi mamia kwa maelfu wameonesha nia ya kumuhitaji kama Rais wa Nchi
Isipokuwa wanufaikaji wa mfumo wa chama dola,vinginevyo wapenda Haki wote bila kujali vyama vyo wanaenda kumpigia kura Mh.Lissu na watazilinda usiku na mchana zisiibwe.CCM matumbo moto!
Uchaguzi huu,hatudanganyiki kwa Propaganda ya Mabeberu.Tunataka Uhuru,Haki kwa Maendeleo ya wote!Simple.
 
Nikutaarifu tu bado unaota amka. Tundu Lisu ndiye kiumbe mpumbavu Tanzania nzima. Enzi za kikwete walipiga kelele dhini ya ujenzi wa miundombinu, wakalalamika wakisema Ni aibu nchi Haina hata ndege 1, awamu hii hawana hoja za msingi ndio maana Vita yao kubwa Ni kumtukana magufuli, kupandikiza chuki kwa wananchi.

Tangu amenza kampeni sijaona pointing yeyote anaongea matusi tu. Katika kampeni zake anajaribu kuuthibitishia umma kuwa serikali haimuwezi kwamba anaijua Sheria na Yuko juu ya Sheria.

Hapa Ni anagombea na ndo Yuko hivi je akiupata huo urais unadhani atabadilika? Huyu ana chuki anawaaminisha watanzania kuwa Magufuli alimpiga risasi lakini hizo Ni tuhuma hakuna mwenye uhakika nazo na cha ajabu wananchi wasio elewa kazi kupelekwa wanaamini anachosema.

Juzi Mbowe alipoanguka Kama pasingekuwa na waliomuona mapema Basi mda huu nae angekuwa analalamika ameshambuliwa na watu wa Magufuli.

Tukirejea mfumo wa elimu Duniani kote lazima usome nasharia Kwanza kabla ya vitendo. Kwa ufupi LIssu sio mjinga Bali mpumbavu kwani anaelewa ukweli ila anawalaghai watanzania na kuwaingiza katika Vita na serikali ili muichukie.
Point za Lisu huwezi kuziona unajifanya Mbuni Sababu unajua utarudi kwenu kulima
 
Lissu namkubali sana tena sana lakini ugumu unakuja kwenye kuzuia bao la mkono tu. Je watanzania watakuwa tayari kumuunga mkono kwenye harakati za kulizuia? Mana naona kama itakuwa kama ile ya Mange
Piga Kura linda Kura
 
Wanabodi,

Nguvu ya Tundu lissu baada ya kusafiri kwa mtumbwi toka ukerewe si ya kawaida tena, ni kama sio yeye bali amevaa nguvu za maajabu na miujiza.

Mapigo ya Tundu Lissu Ukerewe, Mapigo ya simiyu huko bariadi yatosha kusema kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza.

Ni uzalendo wetu ndani ya chama chetu cha mapinduzi ndio unatupa ganzi la moyo na ahueni huku tukijifariji lakini. Technically Tundu Lissu ana hoja na anashambulia ngome mfululizo bila aibu huku akiungwa mkono na umati ambao una uchungu na hasira kubwa.

Leo akiwa Simiyu na akinukuu wosia wa Baba wa Taifa wa mwaka 1995 kuhusu uhuru na maendeleo ya watu kwa mifano na akili kubwa hakika amenifanya nishindwe kuendelea kumchungulia kule "Youtube " anatuchezesha sindimba na Segere huku wengine wakisema Beat ya mdundo ina mikwaruzo.

Niliamini ni ndumba na uchawi unatumika ili kushawishi watu kwa maelfu kumshangilia Tundu lissu lakini nimegundua watu wanahitaji maendeleo ya mifukoni mwao yaani pesa. Anachokifanya ni kupigilia msumari wa hasira kwenye maisha na kuwatia watu uchungu unaopelekea kuambiana sera zake.

Tundu Lissu alifaa kuwa professor, Doctor, Mwanahistoria na Mwanamikakati anawajaza watu nguvu na morali ya kutokukata tamaa. Anawaaminisha watu kuwa nchi h ii Raia ndio mmiliki na anapaswa kupewa nguvu ya kuwasema watawala na kuwawajibisha wakikosea.

Tangu kuanza kampeni hakuna wakati au siku ambayo Tundu Lissu ameshambulia ngome kwa hoja kuanzia vitambulisho vya machinga ,Afya,Mfumo wa elimu yetu ya kujaza notes,Bei za mazao,Muundo wa uongozi mpaka ajira na mishahara kama leo

Nilijua labda naota lakini nikaamua kufuatilia habari zake kwenye television tofauti za online na zile za masafa saa mbili usiku huu nikagundua haikuwa ndoto nilipokuwa nachungulia "Youtube"bali ni anagonga hoja na watu zinawaingia kwa hasira kubwa

Yote haya yanayoendelea na mashambulizi yote lakini tutashinda kwa mbinu za kisasa na zilizoboreshwa zaidi.

Tundu Lissu kwenye kuelezea historia ya nchi hii tangu ukoloni mpaka sasa namfananisha na Rais mstaafu Jakaya Kikwete.

Tundu lissu na Jakaya Kikwete kwenye kuelezea matukio ya nchi hii tangu uhuru kwa mifano na kusisimua ninawakubali sana.

Tundu Lissu na Jakaya Kikwete wana uwezo wa kushusha nondo za nchi hii kwa kumbukumbu kubwa sana na ya kushawishi tumetoka wapi na tupo wapi
Fanya uamuzi sahihi,kuwa sehemu ya mabadiliko na kufanya hivyo utakuwa na amani ya kweli ndani ya moyo wako .
 
Nikutaarifu tu bado unaota amka. Tundu Lisu ndiye kiumbe mpumbavu Tanzania nzima. Enzi za kikwete walipiga kelele dhini ya ujenzi wa miundombinu, wakalalamika wakisema Ni aibu nchi Haina hata ndege 1, awamu hii hawana hoja za msingi ndio maana Vita yao kubwa Ni kumtukana magufuli, kupandikiza chuki kwa wananchi.

Tangu amenza kampeni sijaona pointing yeyote anaongea matusi tu. Katika kampeni zake anajaribu kuuthibitishia umma kuwa serikali haimuwezi kwamba anaijua Sheria na Yuko juu ya Sheria.

Hapa Ni anagombea na ndo Yuko hivi je akiupata huo urais unadhani atabadilika? Huyu ana chuki anawaaminisha watanzania kuwa Magufuli alimpiga risasi lakini hizo Ni tuhuma hakuna mwenye uhakika nazo na cha ajabu wananchi wasio elewa kazi kupelekwa wanaamini anachosema.

Juzi Mbowe alipoanguka Kama pasingekuwa na waliomuona mapema Basi mda huu nae angekuwa analalamika ameshambuliwa na watu wa Magufuli.

Tukirejea mfumo wa elimu Duniani kote lazima usome nasharia Kwanza kabla ya vitendo. Kwa ufupi LIssu sio mjinga Bali mpumbavu kwani anaelewa ukweli ila anawalaghai watanzania na kuwaingiza katika Vita na serikali ili muichukie.
Mwaka huu sikutegemea kama mnahitajim kupiga kampeni ....lakini mambo yamebadilika ...yaani wananchi wanahasira sana naona....umeona nyomi la kanda ya ziwa bila mabango wala wasanii
 
Back
Top Bottom