Hela anapata mikoba(kondakta) mimi ilibidi niwe kimakakati sana. Ikifika saa 4 natoa buku 5 naweka kwenye kamfuko ka jeans kale kadogo. Saa 10 naweka tano tena. So jioni kwenye mgao wa posho nakuwa nmemtangulia dereva kwa 10,000. Nakama unavyojua kwenye mgao kondakta anapata kidogo na dereva anapata hela nyingi zaidi. Yaani kama baada ya kujaza mafuta na kutoa malengo ya boss mkabakiwa na 50,000 inamaana dereva 30,000 na kondakta 20.Kazi ya daladala sitaki hata kuikumbuka kwakeli, na kushuka na 30 au 40 sio jambo la kushangaa ila ishu niza msimu, mara nyingi ni yale majira ya mwisho wa mwezi, ila kuanzia hapo niaumivu, na bahati mbaya nyingine sikua kondakta pengine ndio maana nilipata maumivu makubwa
Ukipata muda wa kulala unakimbia Mwendo wa ngiri mkia juuHela anapata mikoba(kondakta) mimi ilibidi niwe kimakakati sana. Ikifika saa 4 natoa buku 5 naweka kwenye kamfuko ka jeans kale kadogo. Saa 10 naweka tano tena. So jioni kwenye mgao wa posho nakuwa nmemtangulia dereva kwa 10,000. Nakama unavyojua kwenye mgao kondakta anapata kidogo na dereva anapata hela nyingi zaidi. Yaani kama baada ya kujaza mafuta na kutoa malengo ya boss mkabakiwa na 50,000 inamaana dereva 30,000 na kondakta 20.
Siku nzuri ilikuwa mkipata watu wa kukodisha kwenye harusi mnapata hela nyingi sana coz mnatumia mafuta kidogo,mnalipwa kibunda,mnapata msosi wa bure na ndio mnapata muda wa kulala sana.
Kipindi hicho ndio nilielewa thamani ya usingiz yaaani. Nalijizoelea mkoani kwetu kuamka saa 1 au 2 sikuwa kuelewa kwanini binadamu anaamka saa 10 alfajiri. Ilikuwa nikipata nafasi ya kulala aiseee nilichagua kulala kuliko kula
Kwenye kazi hii makondakta ndio wana afadhali, na asilimia kibwa ni wezi vibaya mno! Na hata ukifuatilia kwa ukaribu maisha ya dereva wa daladala na kondakta ni tofauti sana! Ile kazi ni kama imelaaniwa! Na bahati mbaya maboss hawawaelewi madereva kwa makosa ya kondakta.Nilifanyakazi ya ukondakta kwenye daladala bagamoyo to mwenge nikiwa na digrii yangu ya Marketing. Nakumbuka siku ya kwanza tumeamka saa 10 alfajiri picha linaanza vituo sivijui coz dar nilienda tu kutafuta kazi baada ya kumaliza chuo. Nikasota kama miez 8 hakuna cha maana nafanya ndio nikaamua kujiseti kwenye dala dala. Basi siku ya kwanza hiyo kuamka saa 10,piga kaz siku nzima umesimama coz ilikuwa tukienda bagamoyo na kurudi tunaanza kupiga mwenge tegeta nyuki jioni tunaiba ruti na kuvunja ruti.
Tukitoka mwenge tunaunga kawe,then kawe tunapakia kwanza tangi bovu wakienea level siti ndio tunaita tegeta. Hii ilikiwa inasaidia kupata hela nyingi,kipindi hicho kushuka na 30,000 ilikiwa kawaida. Sasa mziki ni ule uchovu wakeuniform chafu (ilibidi nishone za kwangu siku nikipumzka nashuka nazo),matusi ya abiria sasa ukiwa kanyaga kidogo (kuna siku asubuhi nmepakia watoto wa shule nursery kuna mmoja nikamkanyaga kidogo nikasikia mwenzake anasema achana na makonda hao hawana akili hata shule hawajasoma),
Kula Kwa urefu wa kamba nao ni wizi mkuu...msaada plz....Na kwanini mtu akianza wizi kuacha inakuwa shida?
Huo mziki wa kuamka kabla raia hawajaamka na mda wa kupaki wewe unaenda kupaki, huku wale raia uliokua umeamka kabla yao nao wameshaenda kulalaHela anapata mikoba(kondakta) mimi ilibidi niwe kimakakati sana. Ikifika saa 4 natoa buku 5 naweka kwenye kamfuko ka jeans kale kadogo. Saa 10 naweka tano tena. So jioni kwenye mgao wa posho nakuwa nmemtangulia dereva kwa 10,000. Nakama unavyojua kwenye mgao kondakta anapata kidogo na dereva anapata hela nyingi zaidi. Yaani kama baada ya kujaza mafuta na kutoa malengo ya boss mkabakiwa na 50,000 inamaana dereva 30,000 na kondakta 20.
Siku nzuri ilikuwa mkipata watu wa kukodisha kwenye harusi mnapata hela nyingi sana coz mnatumia mafuta kidogo,mnalipwa kibunda,mnapata msosi wa bure na ndio mnapata muda wa kulala sana.
Kipindi hicho ndio nilielewa thamani ya usingiz yaaani. Nalijizoelea mkoani kwetu kuamka saa 1 au 2 sikuwa kuelewa kwanini binadamu anaamka saa 10 alfajiri. Ilikuwa nikipata nafasi ya kulala aiseee nilichagua kulala kuliko kula
Ufunuo mstari wa ngapi jombaaaTulienda kuiba vifaa vya ujenzi kwenye kampuni ya ujenzi..
Hakuna siku nilikuwa natetemeka km siku hiyoo..baridi kali ya usiku lakini nilikuwa nasweat balaaaa..
Tulifanikiwa tukapiga ela safii kbss.
Roho ya tamaa ya uwizi ikataka kuanza kuniandama.
Nikaikemea roho hiyo chafuu.
Wale wenzangu walinipa mchongo walipigwa shaba wawili wawili wengine walikuja kuiba kanisani wakasomewa ufunuo ni vichaa siku hizi
Kilingeni msataUganga wa kienyeji na kupiga ramli, mkata vimeo na ngariba
Huko mbona nilikuwa mambo safi..?Kilingeni msata
Chai hii mbona imepoa sana jamaniq1q1.Nilikuwa fundi vitu vya umeme wa kunjunga kwenye office ya mshkaji pale River side, sikustukiwa na wateja kwakuwa mshkaji alikuwepo muda wote, kuna siku akaniachia office akaenda kariakoo kufuata spare, akaja mteja na pasi yake ya Phillips regulator ilikuwa ngumu kidogo kwenye kuzungusha
Nikajitia bingwa nikaforce ikavunjika, nikapambana nikaifungua pasi nikaibana ile regulator na wire kisha nikairudishia. Mwenye pasi akakuta ndio namalizia.. Ile kutest kwenye umeme lilipiga bonge la shot, mimi kule pasi kule mteja mbio
Nikatimuliwa nisionekane tena pale jamaa akaingia hasara ya kulipa pasi
2. Kitaa kikawa kigumu mno. Siku moja nikatembea mpaka Mugabe Sinza, nikakuta mchina anafungua duka la dawa! Nikajifanya mimi mfamasia nikapata kazi
Kuna siku nimeachwa peke yangu akaja mdada mwanae ana pumu kali sana nikamwandikia dozi dokta uchwara mimi. Kumbe sikumpa ya pumu bali ya kushusha pressure.. Mtoto wa watu aliponea tundu la sindano kurudisha number.. Na siku hiyo ndio ilikuwa ya mwisho kuitwa dokta, nilitimuliwa kazi
Hii kazi niliifanya morogoro kule mvua wilayani walikua wanajenga hospital ya wilaya dadeki kazi sikua na uzoefu nayo afu nasaidia mafundi watatu asee sitokaa nisahau huu msoto kila siku nikikua nasema kesho sirudi ila kukikucha nakaza roho nilikomaa hadi nikafikisha 400000 japo pesa nyingine nilidhurumiwa na jamaa anaitwa Benjamin.Kusaidia fundi ujenziaiseee! Nilisulubika sana. Kuchanganya zege kupandisha tofali.
Malipo ni 7000/= per day ( from 7 am to 5:30pm)
Nilifanya kazi siku tatu nikaacha.
Nikarudi katika ufundi pikipiki.
Nikamwomba Mungu sana, hamadi! Nikapata kazi sehemu....!
Ujenzi ni kazi ngumu na yenye jasho kupita maelezo.
1.Nilikuwa fundi vitu vya umeme wa kunjunga kwenye office ya mshkaji pale River side, sikustukiwa na wateja kwakuwa mshkaji alikuwepo muda wote, kuna siku akaniachia office akaenda kariakoo kufuata spare, akaja mteja na pasi yake ya Phillips regulator ilikuwa ngumu kidogo kwenye kuzungusha
Nikajitia bingwa nikaforce ikavunjika, nikapambana nikaifungua pasi nikaibana ile regulator na wire kisha nikairudishia. Mwenye pasi akakuta ndio namalizia.. Ile kutest kwenye umeme lilipiga bonge la shot, mimi kule pasi kule mteja mbio
Nikatimuliwa nisionekane tena pale jamaa akaingia hasara ya kulipa pasi
2. Kitaa kikawa kigumu mno. Siku moja nikatembea mpaka Mugabe Sinza, nikakuta mchina anafungua duka la dawa! Nikajifanya mimi mfamasia nikapata kazi
Kuna siku nimeachwa peke yangu akaja mdada mwanae ana pumu kali sana nikamwandikia dozi dokta uchwara mimi. Kumbe sikumpa ya pumu bali ya kushusha pressure.. Mtoto wa watu aliponea tundu la sindano kurudisha number.. Na siku hiyo ndio ilikuwa ya mwisho kuitwa dokta, nilitimuliwa kazi
kuna siku asubuhi nmepakia watoto wa shule nursery kuna mmoja nikamkanyaga kidogo nikasikia mwenzake anasema achana na makonda hao hawana akili hata shule hawajasoma),
50000? Duh kampun au?Nilikuaga mhandis nalipwa 50k kwa mwezi
Nilifanyakazi ya ukondakta kwenye daladala bagamoyo to mwenge nikiwa na digrii yangu ya Marketing. Nakumbuka siku ya kwanza tumeamka saa 10 alfajiri picha linaanza vituo sivijui coz dar nilienda tu kutafuta kazi baada ya kumaliza chuo. Nikasota kama miez 8 hakuna cha maana nafanya ndio nikaamua kujiseti kwenye dala dala. Basi siku ya kwanza hiyo kuamka saa 10,piga kaz siku nzima umesimama coz ilikuwa tukienda bagamoyo na kurudi tunaanza kupiga mwenge tegeta nyuki jioni tunaiba ruti na kuvunja ruti.
Tukitoka mwenge tunaunga kawe,then kawe tunapakia kwanza tangi bovu wakienea level siti ndio tunaita tegeta. Hii ilikiwa inasaidia kupata hela nyingi,kipindi hicho kushuka na 30,000 ilikiwa kawaida. Sasa mziki ni ule uchovu wakeuniform chafu (ilibidi nishone za kwangu siku nikipumzka nashuka nazo),matusi ya abiria sasa ukiwa kanyaga kidogo (kuna siku asubuhi nmepakia watoto wa shule nursery kuna mmoja nikamkanyaga kidogo nikasikia mwenzake anasema achana na makonda hao hawana akili hata shule hawajasoma),
Daaah interesting storyJapo sijatoka kwenye msoto bado, ila mpaka sasa kazi za ajabu nilizofanya ni pamoja na kufyeka majani na kupalilia majani mbele ya nyumba za watu (kazi tembo mshahara sisimizi),kupakia tofali na kushusha kwenye site za wateja kutoka zinakotengenezwa (tofali moja kupakia na kushusha sh 40/= fu*kin job),kuchimba makaburi ,(kaburi moja 20000/= tupo wanne means tunagawana 5000/=)-hii nimefanya mara mbili mara ya mwisho nikadhulumiwa na wenzangu.