Ni kama vile NACTE wamefanya selection

Ni kama vile NACTE wamefanya selection

Slavins

Senior Member
Joined
Aug 18, 2016
Posts
101
Reaction score
36
Wakuu naona diploma holders selection tayari hebu chungulien profile zenu...
 
Ni kweli mimi wameniandikia ni wait for next selection ,naisi wameshaniacha pamoja na kuwahi kwangu ku apply tangu kipindi kile
 
Mmh basi isije kua hawaja select wameamua tu kuandika hivo ijulikane kua washafanya?
 
Acheni presha jama..tusubir. huyo mleta taarifa atakuwa mbea flani hv. Kama kweli selection ishafanyika ashortscreen then atume humu
 
Ni kweli mimi wameniandikia ni wait for next selection ,naisi wameshaniacha pamoja na kuwahi kwangu ku apply tangu kipindi kile
Mkuu ondoa shaka nahisi bado hawajamaliza selection maana karibia watu 20 niliowauliza profile zao zipoje zinaonyesha kama zako na yangu ikiwemo. Hata mim nilivyoona hilo neno "wait for next selection" nilijua wamenishaniacha ila walau kidogo napata matumain kuona weng wameandikiwa hivyo, tusubir tuone kiongoz
 
Duuuuuh hapa naona wait for next selection lakin nnavyoona baadhi yenu mnaliongelea hilohilo kidogo napata faraja, sasa hapo ndo sjajua mpaka lini hyo next selection, duuuuh
 
Sidhani Kama kuna aliyechaguliwa
Wote tumeandikiwa wait for next selection ila profile zetu zina tofauti pia , kuna wengine pale chini kuna "go to profile, log out na view choosen programs" lakina kuna wengine pale chini kuna 'go to profile na log out, hakuna option ya view choosen programs' sasa hapo ndipo wanapozidi kutuchanganya...
 
Back
Top Bottom