johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,977
Siasa ni sayansi.
Kustaafu kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mh. Mwanri siyo habari njema kwa mbunge wa Siha mh Dr Mollel.
Kipingamizi pekee kilichokuwa kinamfunga mh Mwanri kugombea ubunge ni nafasi yake ya ukuu wa mkoa ambayo amestaafu rasmi.
Tusubiri na Tarime vijijini tuone rangi ya CCM.
Maendeleo hayana vyama!
Kustaafu kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mh. Mwanri siyo habari njema kwa mbunge wa Siha mh Dr Mollel.
Kipingamizi pekee kilichokuwa kinamfunga mh Mwanri kugombea ubunge ni nafasi yake ya ukuu wa mkoa ambayo amestaafu rasmi.
Tusubiri na Tarime vijijini tuone rangi ya CCM.
Maendeleo hayana vyama!