Ni kabila gani hupendelea msosi huu

Ni kabila gani hupendelea msosi huu

kuchangumu

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2014
Posts
724
Reaction score
290
ImageUploadedByJamiiForums1401899953.947832.jpg na kwa wale wanaojuwa watutajie hiki chakula kinaitwa je kiswahili au kikwenu?
 
Hayo ni majimbi, kwetu huchemshwa na maji kiasi bila kusahau dawa ya jiko na hufunikwa na jani la mgomba, baada ya dk 15 pakuwa, chai ni muhimu katika mchakato, karibu kwa mesa.
 
Hayo ni majimbi, kwetu huchemshwa na maji kiasi bila kusahau dawa ya jiko na hufunikwa na jani la mgomba, baada ya dk 15 pakuwa, chai ni muhimu katika mchakato, karibu kwa mesa.

La kuchemsha laenda kooni na chai tu?

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
mi navojua usiga ni ugali, sasa utakulaje ugali kwa magimbi? kwahiyo magimbi hapo ndo mboga au ugali ndo kinywaji?

sambaani tunaosokomeka tu, hata ugali kwa uji twapeleka tu
 
Back
Top Bottom