BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,720
- 6,527
Amani ni asili yetu wadanganyikaKwakweli ninachomsifu nacho mama kikubwa ni AMANI!
Yote tumseme ila hili anastahili sifa zake. Yale maisha ya unyama uliopitiliza wa watu kupotelea kusikojulikana, kutekwa, kukatwa mapanga, kuokotwa kwenye viroba hamna tena!
Kwangu mimi amani ni zaidi ya vyote! Wengine hadi tumerudi JF tunapiga umbea kama zamani kwa raha zetu!
Samia anafanya kazi kubwa sana ila siyo mtu wa kutaka MASIFA kama Hayati Magufuli. Machache tutakayoyakumbuka ni kama ifuatavyo;Binafisi tangu aingie mambo yamekuwa maguku sana kila kitu kimepaaa juu Sukari inachezea 4000/ mafuta hayashikiki,nauli zimepanda mara 2 ndani ya mwaka tu.Umeme ni mahangaiko tupu, Wafanya kazi wa Serikali full kiburi kwa sasa na Dharau juu na kuomba ruswa wazi wazi kabisa wanafanya mambo kuwa magumu zaidi.
Mama hakuna jambo hata moja la ahueni kwa raia kafanya zaidi ya kuongeza matatizo kwa raia, labda ahueni kwa Mafisadi hapo sawa.
Ujenzi wa vituo vya afya na Madarasa haliwezi kuwa jambo la ahueni hizo hata wakoloni walijenga tena imara kuliko vinavyo jengwa sasa.
Kuna vitu viko ndani ya uwezo wake hata kudhibiti tabia mbaya ya wafanyakazi wa umma huko maoffisini, hili nalo kashindwa? Huko maofisini ni full kero tupu kwa sasa. unaenda offisi ya Umma huku unawaza sijui watanijibu vipi.Hili kashindwa Mama? anahitaji IMF? au USAID?
Basi maisha yako juu sana bei ya mafuta ni juu, ila wape raia ahueni hata huko maofisini basi ili wapunguze machungu kidogo. Magu si kwamba aligawiwa raia pesa, ila kuna vitu vilikuwa vinawapa raia ahueni,mfano huko kwenye offisi za Umma.
Leo hii taasisi kama Brela ni shida tupu,huko TBS ndio balaa tupu,kwenye kutaka lesseni ya Biashara ndio utachoka zaidi, TRA ndio mwisho wa reli, Haya kwamba na yenyewe Raisi hayawezi?
Yes kuna External factor zinafanya maisha yawe juu ila haya mengine ya ndani nayo Raisi kashindwa?
Na Mungu aendelee kumlinda huyu mwanamke.Huko nje kumechafuka sanaAMANI
Ni lini kulikuwa na Vita Tanzania? hata enzi za Nyerere ila vita ya Uganda ilipiganwa huko huko Uganda,Kwakweli ninachomsifu nacho mama kikubwa ni AMANI!
Yote tumseme ila hili anastahili sifa zake. Yale maisha ya unyama uliopitiliza wa watu kupotelea kusikojulikana, kutekwa, kukatwa mapanga, kuokotwa kwenye viroba hamna tena!
Kwangu mimi amani ni zaidi ya vyote! Wengine hadi tumerudi JF tunapiga umbea kama zamani kwa raha zetu!
Wewe unakaa kwa Shemeji yako huwezi jua kitu,We lalamika tu
hii inafaida kwa raia?Kumteua Paulo Madereva kua katibu
Leo hii taasisi kama Brela ni shida tupu,huko TBS ndio balaa tupu,kwenye kutaka lesseni ya Biashara ndio utachoka zaidi, TRA ndio mwisho wa reli, Haya kwamba na yenyewe Raisi hayawezi?
Kwani wakati wa Magu tulikuwa hatujadili humu mambo? au tupandishe post za enzi za Magu tuone?Samia anafanya kazi kubwa sana ila siyo mtu wa kutaka MASIFA kama Hayati Magufuli. Machache tutakayoyakumbuka ni kama ifuatavyo;
Kurudisha uhuru wa maoni kwa wananchi
Kuruhusu mikutano ya vyama vya siasa
Kurudisha utawala wa sheria nchini na kufuta kesi za kubambikiza
Kuajiri wafanyakazi na kuwaongeza mishahara kila mwaka.
Hayo kwa mtazamo wangu ni makubwa kuliko kujenga bwawa la umeme, maana wakati wa Magufuli tulikuwa hunaishi kama WATUMWA nchini mwetu.
All in all hayuko nyuma kwenye ujenzi wa miundombinu kwa kuwa miradi yote iliyoanzishwa na Magufuli ilikuwa imefanyika chini ya 30%. Ndani ya miaka 2 akiwa madarakani miradi mikubwa iko zaidi ya 70% kama ifuatavyo;
JNHEPP 98%
Busisi Bridge 75%
Dodoma Capital 70%
Kuanzisha mradi ni kitu kimoja na kumaliza ni kitu kingine.
Hatuwezi kujua ubora wa Rais Samia mpaka aje atoke madarakani
Haa Tumeipenda WenyeweWe lalamika tu
Na Mungu aendelee kumlinda huyu mwanamke.Huko nje kumechafuka sana
Amani ya kweli ni itokayo moyoni kutokana na kuyafurahia maisha, iyo amani inapatikana kwa wananchi wa Europe na America baadhi asia, uku Africa amani ipo kwa wachache kama kwako wewe DadaKwakweli ninachomsifu nacho mama kikubwa ni AMANI!
Yote tumseme ila hili anastahili sifa zake. Yale maisha ya unyama uliopitiliza wa watu kupotelea kusikojulikana, kutekwa, kukatwa mapanga, kuokotwa kwenye viroba hamna tena!
Kwangu mimi amani ni zaidi ya vyote! Wengine hadi tumerudi JF tunapiga umbea kama zamani kwa raha zetu!
Usilazimishe chuki zako kwa wengine, umeuliza lenye ahueni nimesema, ulitaka nimponde kama wewe?Ni lini kulikuwa na Vita Tanzania? hata enzi za Nyerere ila vita ya Uganda ilipiganwa huko huko Uganda,
Fedha inashuka thamani tu kwenda bukoba unahitaji wekundu kumiSamia anafanya kazi kubwa sana ila siyo mtu wa kutaka MASIFA kama Hayati Magufuli. Machache tutakayoyakumbuka ni kama ifuatavyo;
Kurudisha uhuru wa maoni kwa wananchi
Kuruhusu mikutano ya vyama vya siasa
Kurudisha utawala wa sheria nchini na kufuta kesi za kubambikiza
Kuajiri wafanyakazi na kuwaongeza mishahara kila mwaka.
Hayo kwa mtazamo wangu ni makubwa kuliko kujenga bwawa la umeme, maana wakati wa Magufuli tulikuwa hunaishi kama WATUMWA nchini mwetu.
All in all hayuko nyuma kwenye ujenzi wa miundombinu kwa kuwa miradi yote iliyoanzishwa na Magufuli ilikuwa imefanyika chini ya 30%. Ndani ya miaka 2 akiwa madarakani miradi mikubwa iko zaidi ya 70% kama ifuatavyo;
JNHEPP 98%
Busisi Bridge 75%
Dodoma Capital 70%
Kuanzisha mradi ni kitu kimoja na kumaliza ni kitu kingine.
Hatuwezi kujua ubora wa Rais Samia mpaka aje atoke madarakani