Ni heri ya Lowassa!

Unajua tofauti kati ya NDOTO na JINAMIZI?
 
huyo ambaye hayumo ni utumbo gani anaufanya hapa nchini? kazi kutumia nguvu kuliko akili
Unatia huruma kwa aina ya mawazo haya uliojaza kichwani. Kwa hili, umetumia akili au ni emotions zinakuongoza? Sielewi una uelewa kiasi gani kuhusu maswala yanayokuzunguka ila nikupe pole tu. Labda unaandika ukiwa kwenye usingizi mzito.
 
Na mkome kiherehere chenu, si mlisema ni jembe, cjui bulldozer? Bht mbaya jemba au bulldozer halinaga macho linakata kokote tu. Safi sana, mimi huu mnyoosho naufurahia mpk akili itakapoturudia.
 
Uko kwa Fidel Castro tuachane nako kwakua tayari ni hayati afu hawezi kua suluhisho la mahitaji ya watanzania
Ishu pekee ya kuisaidia Tz now is to bring back our lost freedom of speech & expression.
 
USITUDANGANYE!
 
Na mkome kiherehere chenu, si mlisema ni jembe, cjui bulldozer? Bht mbaya jemba au bulldozer halinaga macho linakata kokote tu. Safi sana, mimi huu mnyoosho naufurahia mpk akili itakapoturudia.
Hakuna aliyekataa hayo yote but Lowassa is the best.
 
Nenda kapitie list of shame ya Lisu kama hayumo
Huo ndo uzuri watz wanacholalamika hawajui na wanachokikubali pia hawakijui na wanakuwa wepesi wa kusahau na kuzoea kukaririshwa-leo hii wamesahau mwembehanga kanakwamba hawajawahi kuishi tz, leo mtu anapanua domo lake na kusema mzee yuko poa sana na angeongoza vizuri, na kama yy ni mtu wa maendeleo miaka 2o akiwa waziri ktk nafasi mbalimbali, jimbo lake halina maji hata kidogo-leo anahimaiza maji -eti huyo ndo kiongozi.
 
[HASHTAG]#freemaxencemelo[/HASHTAG]
[HASHTAG]#TunamtakaBenAkiwaHai[/HASHTAG]
[HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG]
[HASHTAG]#usirudiekosa2020[/HASHTAG]
 
We jamaa bana sasa hapo kwenye ajira za upendeleo si ni bora watu walikua wanapata ajira, sasa hivi ndo upendeleo umezidi eti wanapewa tu makada wa chama cha kijani na waliosoma sayansi. bora kipindi cha ufisadi watu walikua wanaishi maisha mazuri kuliko saivi maskini tunavyoteseka.
 
Well said
 
Dah! nyie washabiki wa vyama huwa mnatuboa sana sie wengine.
Sasa umetumwa uje kwenye huu uzi? Kama sio kiherehere ni nini, we kama uzi huupendi unaanzaje kufungua na kusoma halafu ukoment, swain.
 
Hutaki ukweli, subiri uambiwe.
Lowasa aina yake ya utawala imepitwa na wakati,amalizie tu kuzifuta kwenye ramani Cuf na Nccr mageuzi kisha ndipo atakapojua tofauti ya Kaskazini na Kilimanjaro japokuwa zote zinaanzia na "K"
 
Hivi mkuu kwa bahati tu upewe 200m kwa options 2.
1. Fungua biashara ya uhakika kwa mtaji huo wote.
2. Jenga nyumba nzuri sana ya kuishi wewe na familia yako kwa pesa hiyo yote.
Utachagua number 1 au 2?
Nina imani kwa mwenye busara atachagua no 2 coz kupitia hiyo biashara utaweza kujenga nyumba hata ya zaidi ya hiyo bei. Na kama utaamua kujenga nyumba maisha yako utayaendeshaje?
Kama una uelewa utakuwa umeelewa.
 
Msifuni lakini Urais hapati! Nchi haiwezi kufanyiwa majaribio kwa kuwapa Wapinzani!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…