Misunderstood
JF-Expert Member
- Aug 4, 2020
- 384
- 882
Binadamu wengi duniani tunapitia matatizo mengi bila kusahau la umasikini. Dunia imejaa taabu, shida, majuto nk. Wengi wetu hasa jamii zetu za kiafrika ishu za uchawi, kulogana zimekithiri.
Bado hujahangaikia tumbo na hapo ukute huna mchongo wa kueleweka, kila siku unasikilizia.
Ya nini kuleta duniani viumbe visio na hatia? Viendeleze shida ulizonazo? Uwapatilize maroho uliyobeba kutoka vizazi vyenu? Au ndo akisoma aje kukusaidia?
Tuache ubinafsi jamani, tufikirie sana kabla hatujaleta watoto katika hii dunia hasa ukiona maisha yako yenyewe ni ya taabu. Sio lazima kila mtu awe na mtoto.
Heri shida ziishie kwako ndugu! Hii dunia si lelemama, tutafakari hili jambo kiundani zaidi kila mmoja kwa wakati wake. Naweza nikawa sijaweka hoja nzito sana, ila ndani ya hichi nilichoandika kina ujumbe mzito na wa maana!
Bado hujahangaikia tumbo na hapo ukute huna mchongo wa kueleweka, kila siku unasikilizia.
Ya nini kuleta duniani viumbe visio na hatia? Viendeleze shida ulizonazo? Uwapatilize maroho uliyobeba kutoka vizazi vyenu? Au ndo akisoma aje kukusaidia?
Tuache ubinafsi jamani, tufikirie sana kabla hatujaleta watoto katika hii dunia hasa ukiona maisha yako yenyewe ni ya taabu. Sio lazima kila mtu awe na mtoto.
Heri shida ziishie kwako ndugu! Hii dunia si lelemama, tutafakari hili jambo kiundani zaidi kila mmoja kwa wakati wake. Naweza nikawa sijaweka hoja nzito sana, ila ndani ya hichi nilichoandika kina ujumbe mzito na wa maana!