Ni hatari sana ,usifanye hivi gari yako itawaka moto

Niliwahi funga taa za booster nilitumia miezi miwili ikaungua upande mmoja nikatoa nikabadili bulb nikatoa za 55w-60w nikaweka za 900-1000w (mchina) zikaungua sasa hivi nimebabili nimeweka 90-100w sema sasa hivi nimeamua kufunga flood lights mbili aisee mwanga mkali sana..ushauri ni huu kama unataka ubadili bulb unashauriwa kubadili na housing pia nunua ile ambayo ni recommended i.e. kama ni H4, H8 etc ila wakati naweka booster fundi alipasua mipira inayoshikilia taa kwaio taa ipo kimazabe mazabe
 
Sasa kibaya au kizuri hakunaga fuse za taa za 80 amp kwenye gari hizo ni fuse kubwa sana tena huwa nizakufunga na sio za kuchomeka.
 
Zipo taa za kisasa siku hizi ambazo zina feni nyuma lakini hazifungwi booster ni nzuri sana na zina mwanga mkali sana
 
Zipo taa za kisasa siku hizi ambazo zina feni nyuma lakini hazifungwi booster ni nzuri sana na zina mwanga mkali sana
Zinaenda kwa bei gani mkuu...hata me ningezipenda...hizi 55/60W zinazotokq nq gari hazina mwanga wa kutosha haswa mvua ikiwa inanyesha usiku
 
Zipo taa za kisasa siku hizi ambazo zina feni nyuma lakini hazifungwi booster ni nzuri sana na zina mwanga mkali sana
Yes zinaitwa LED bulub. L light E emiting D diode
 
Mkuu kwema? Gari yangu inasumbua sana, ina miss nimesha badirisha plug na pump za mafuta lakini hola, nimeambia n tatizo la power supply kwenye umeme, naomba msaada wako
Upo wapi mkuu kama dar tutafutane tuone tunaweza saidiana vipi 0627136700
 
Habar boss,,mm ni mpenz saaana wa taa zenye mwanga mkali,,naomba kujua ubora wa hizo taa zenye feni nyuma ambapo nataka kuziweka kwenye gari toyota premio bila kubadili kitu chochote zaid ya kuweka hizo bulb zenye feni!
 
safi sana... ni vyema mtu akatumia STOCK LIGHTS (bulbs)... kwa wanaopenda mwanga mkali... bora wafunge #BAR-LIGHTS............. zile ndio mwisho wa matatizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…