Sasa kibaya au kizuri hakunaga fuse za taa za 80 amp kwenye gari hizo ni fuse kubwa sana tena huwa nizakufunga na sio za kuchomeka.W = V×A
Nb;
W = watts ( load capacity eg, light)
V = Volts (source of power eg 12V from battery)
A = Ampere (fuse capacity to pass the current in the wire eg, 10A, 20A in the fuse box)
While, wire should have specific gauge (ga) to pass the current within eg, 6ga or 4ga.
Ukija ktk kesi ya mleta mada kwa mafundi wote bila ya kuliathili hill gari ktk saketi husika kinachotakiwa ni kujua hizo hesab za kubalance saketi isiungue
Mfano;
Watts = 1,000w
Volts = 12V
Ampere to use huijui course umeshabadili watts hapo juu kutoka ktk taa ya awali.
So, you doing this to find Ampere.
From, W = V×A
1,000 = 12 × A
1,000÷12 = A
Amperage = 83.3A
So, tafuta fuse ya uwezo huo au iliyo na makadilio hayo
Then ingia ktk Google ktk dawat la technical issue za masuala ya umeme Wa DC watakwambia, kutokana na Ampere rate hiyo utumie wire gauge size ipi.
Ukishafanikiwa basi hyo saketi yako itakua sehem salama bila ya short.
Mafundi weng wa mitaan hawalijui hili wao wanajua kufunga tu.
Zinaenda kwa bei gani mkuu...hata me ningezipenda...hizi 55/60W zinazotokq nq gari hazina mwanga wa kutosha haswa mvua ikiwa inanyesha usikuZipo taa za kisasa siku hizi ambazo zina feni nyuma lakini hazifungwi booster ni nzuri sana na zina mwanga mkali sana
Zinaanzia elfu 50 hadi laki moja, mwanga wake ni mkali sana na uko clearZinaenda kwa bei gani mkuu...hata me ningezipenda...hizi 55/60W zinazotokq nq gari hazina mwanga wa kutosha haswa mvua ikiwa inanyesha usiku
Bora sana kwani hata uwashaji wake hausumbui kabisa, maana taa za booster unaweza ukawasha ikawaka moja tuuKwa hiyo kufunga hizi za LED ni bora au?
Upo wapi mkuu kama dar tutafutane tuone tunaweza saidiana vipi 0627136700Mkuu kwema? Gari yangu inasumbua sana, ina miss nimesha badirisha plug na pump za mafuta lakini hola, nimeambia n tatizo la power supply kwenye umeme, naomba msaada wako
Ngoja nitajaribu hizi nioneZinaanzia elfu 50 hadi laki moja, mwanga wake ni mkali sana na uko clear
Bora sana kwani hata uwashaji wake hausumbui kabisa, maana taa za booster unaweza ukawasha ikawaka moja tuu
safi sana... ni vyema mtu akatumia STOCK LIGHTS (bulbs)... kwa wanaopenda mwanga mkali... bora wafunge #BAR-LIGHTS............. zile ndio mwisho wa matatizoWakuu kumekuwa na mtimdo sasa hivi wa kupimp gari na kufunga taaa taa nyingi sana za urembo kwenye gari..ikiwa pamoja na kutoa taa kubwa original za kuja na gari na kufunga zingine ili gari iwe na mwanga mkali zaidi..wengine hufunga taa za boostar ni hatari sana usifanye hivyo kwenye gari zenu wengi wao zinaishia kuwaka moto..
Naongea hivi nikiwa na ushahidi wakushuhudia kuona na nazungumza kwa ushahidi au vigezo vya kitaalam.
Sina nia ya kuharibu bishara ya wanao fanya shughuli hizo hapana lkn hapa tunaambiana ukweli na kutaadharishana..
Hatari ipo hapa ..wengi wana funga taa za booster unakuta mtu gari yake ilikuwa na taa kubwa high 60W na beam 55W.
Anakwenda kubadilisha taa na kufunga bulb za mchina zenye 900W beam na 1000W high.
Waya ule ule uliokuwa unapitisha umeme kwenda kwenye bulb ya 55W leo hii unapitisha current kwenda kwenye bulb ya 900W unategemea nn hapo?? Kama sio gari kuwaka moto??..
Wengine wanatoa bulb za kawaida na kufunga bulb za booster ukifika kwenye taa ambayo imefungwa bulb ya booster ikiwa imewaka shika au sogea karibu na kioo cha taa huwa kinakuwa cha moto sana..sasa kuna utofauti wa quality ya kioo cha taa ya kawaida na ya booster..na taa ya booster inaproduce joto kali sana ambalo kutokana na taa yenyewe haikuwa mahususi kwa bulb hiyo huishia kuungua na kuunguza gari.
Janga jingine ni ukaaji wa hizo bulb za modification kwenye majumba ya taa kwa kuwa sio original yake so mafundi huwa wanaforce na kinachotokea nikuunguza jumba la taa na mwishowe gari nzima..
Kuna ishu pia ya bulb na booster za kichina nyingi ni low quality kabisaa na low price.huwa vicontrol vya booster vinaungua sababu waya zinazotumika huwa zinakuwa ni zile za low quality kabisaa ukilinganisha na mzigo zinaobeba..
Kama kuna wataalam au wenye uelewa kidogo tuu na umeme wananielewa vizuri zaidi.
POWER. P
VOLTAGE. V
CURRENT. I
RESISTOR. R
Hasa hapo kunakitu kinaitwa factor afecting resistor..
Mfano:
Umefunga bulb ya 900w lkn waya ambao unapitisha umeme mwanzo ulikuwa unapitisha umeme wa kwenda kuwasha /tumika kwenye bulb ya 55W.
Ili bulb ya 900W iweze kuwaka inahitaji current nyingi sana zipite kinachotokea wakati current zinaforce kupita kwenye waya ndio hapo waya unapata moto na kuungua na kuunguza gari..
Nimekutana na kesi nyingi sana za namna hiyo.ndio maana nikaona sio mbaya nikashare hapo..