Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,717
- 18,745
Niliwahi funga taa za booster nilitumia miezi miwili ikaungua upande mmoja nikatoa nikabadili bulb nikatoa za 55w-60w nikaweka za 900-1000w (mchina) zikaungua sasa hivi nimebabili nimeweka 90-100w sema sasa hivi nimeamua kufunga flood lights mbili aisee mwanga mkali sana..ushauri ni huu kama unataka ubadili bulb unashauriwa kubadili na housing pia nunua ile ambayo ni recommended i.e. kama ni H4, H8 etc ila wakati naweka booster fundi alipasua mipira inayoshikilia taa kwaio taa ipo kimazabe mazabe