Asante mkuu,Maisha ni safari yenye vituo vingi sana.Pole sana mkuu
Mkuu mzigo ulikuwa mwepesi kiasi gani mpaka usione mabadiliko kwenyw uzito wa gari???Majuzi tu hapo nilipoteza mzigo wangu wa biashara kwenye roli nikienda mtwara mpaka sasa sijui Ule mzigo wahuni waliniibia kwa kukataa kamba au ulianguka wenyewe yaaani nafika somonga usiku wa saa tano na angali mzigo nyuma hakuna kiukweli niliumia Sana. Sasa hivi napambana tena. Na mshukuru mdogo wangu wa kike kwa kunipa matumaini. Na hili tukio nimeandika kwenye kitabu changu cha kumbukumbu. Never give up inshaa, allah God bless us
Some time you have to be serious on serious issueKumpenda mtu asienipenda. Nilihangaika na kuteseka mwaka mzima ndo nikamsahau.
Sent From Galaxy S20 Ultra
Sio mzigo mzito ni kama kilo 20 hivi ni rahisi kubebwa au kufungukaMkuu mzigo ulikuwa mwepesi kiasi gani mpaka usione mabadiliko kwenyw uzito wa gari???
Aaha hapo sawa...!! Duuh bhasi utakuwa ulikuwa na thamani kubwa japo.mdogooSio mzigo mzito ni kama kilo 20 hivi ni rahisi kubebwa au kufunguka
Ukisema ivo unanikumbusha mwaka jana.Majuzi tu hapo nilipoteza mzigo wangu wa biashara kwenye roli nikienda mtwara mpaka sasa sijui Ule mzigo wahuni waliniibia kwa kukataa kamba au ulianguka wenyewe yaaani nafika somonga usiku wa saa tano na angali mzigo nyuma hakuna kiukweli niliumia Sana. Sasa hivi napambana tena. Na mshukuru mdogo wangu wa kike kwa kunipa matumaini. Na hili tukio nimeandika kwenye kitabu changu cha kumbukumbu. Never give up inshaa, allah God bless us
AMINAAANimeibiwa pesa bank kwenye account yoote
Nimetapeliwa na business partner
Nimefukia pesa chini ardhi ikagoma kurudisha ila nimejifunza kitu
Mdhulumaji au mwizi malipo yake ni hapahapa
Hata Kama umepoteza kiasi gani cha pesa kikubwa ukiwa na pumzi utatafuta tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Umezingua kweli kweli angalia maisha unayoishi sasa.Nilienda jangwani siku ya mwisho wa campaign 2015 nikazungusha mikono "Mabadiliko" then nikaenda kumpigia kura jamaa akarudi kule Lumumba.Mpaka leo mtaji wangu wa kura siutaki tena.Sitapiga kura tena.Nimefirisika kisiasa.
Inaonekana hujawai hata kushika hata milion moja. Kwa mtu kama wewe kama ulishika izo pesa una nafasi kubwa sana ya kurudi. Ila kwa sababu ujawahi kushika basi unajaribu kutushika sisi 😎😎😎Nilijichanga kwenye kilimo mpaka nikafikisha m30 nikaomba mkopo home wa m10 ili niagize tractor aisee nilitapeliwa zote mpaka leo nipo maskini sina mbele wala nyuma naishia tu kuvuta bangi na kupiga gambe ile hustling spirit imekufa yote it was a great disappointment of my life sijui ata kama ntakuja kushika pesa tena maisha haya
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mjinga mmoja alinidanganya kwamba yeye ana utoto wa mjini kwenye hiyo biashara kwa hiyo nitatoboa na kutengeneza faida kubwa, mshenzi yule kumbe hana lolote...... Ni mwaka wa 22 sasa tangu hicho kisanga kitokee lakini bado sijasahau
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatukumchagua yeye alijichagua na team yake.kila watu kumi ukiwauliza pindi ile ulimpigia nan kura watu nane wanasema mamvi na mbili lumumba .Sasa alishindaje huyo.Hasara kubwa Watanzania tulitoipata ni kumchagua jamaa Fulani 2015
Yani unamuingizia mshkaji 3M.Dili langu la kwanza kupiga hela nyingi ilikuwa 3.6M taslimu, hapo sina akaunti benki nikaomba mshkaji wangu nipokelee kwake.... pesa imeingia nilichoambulia ni 600k kodi ya nyumba.
Ile 3M nilipanga itulie kwanza iive [mature], huku nikiweka sawa mipango kazi... kilichofuata hapo ni maumivu tu.
Hadi leo bado nadai na mchizi akituma laki kwa mwezi amejitahidi sana, mwaka wa 3 huu.
Japo mchizi anaelekea kumaliza deni, ila sikumbuki nilichoifanyia 3M yangu zaidi ya kulipia vifurushi tu na luku.
Unafikiri ulikosea wapi ulipopata hizo 14m ili mwingine asikosee?Dahh ..umenihuzunisha San ila pia mm nimepta hasra jaman mwak 2018 nilipoteza ajira yangu ktk kampuninya sola bas nilikuwa nasave sana ktk mshahra wangu hvyo nilishi kwa perdiem tu bila kugusa msharaha mm nilikuwa cpend mademu wa ghla bas niliweza kusave Kama milioni 14 hv pmj na kulipwa malilimbikozo na pesa za kurudishwa nyumbn bas .bas bhna nikaenda kununua bajaja mpy uwez amuni ile mabajaj ajamaliza ata mwaka nikauza milion nne na nusu ..mkp sas cjajenga Wala nn nimetulia tu na maisha yamekuwa magumu mno na Kaz cna Wala kuoa Bado Ni hasara Sana
Weeee usiniambieMkuu serikali hadi kufikia wiki iliyopita imelipa hela zote kwa wakulima ambao hawakulipwa msimu huo kuna uwezekano huyo mtu mliyemtumia aliwapiga tu
Sent using Jamii Forums mobile app