Dom boy
Member
- Jan 24, 2018
- 99
- 64
Du! kuulizia haki yako nao ni upuuzi?Yaani kupitisha saa kadhaa tu tayari serikali imefilisika ...tuache kulia lia kwa vitu vya kipuuzi.
Du! kuulizia haki yako nao ni upuuzi?Yaani kupitisha saa kadhaa tu tayari serikali imefilisika ...tuache kulia lia kwa vitu vya kipuuzi.
Zimefanyeje?Shida zako
Wewe kada usitutoe kwa mjadala tafadhali, mfyuuuuJamani mm wamenitangulizia nn ? Mbona salio lilishasoma kitambo?
Kofi la mpenzi haliumi.Wewe kada usitutoe kwa mjadala tafadhali, mfyuuuu
Fanya biashara acha kuwa mtumwa wa mshahara wewee.Serikali imekuwa ikilipa mishahara tarehe 22 kila mwezi Leo hii tarehe 23 mishahara ya watumishi wa serikali bado hii wazi kuwa Hali ya uchumi nchini ni mbaya sana wananchi tuichangie serikali ili iweze kujikwamua .
Babu yangu, historia unaweza kuifuatilia huku ukiwa na njaa? Kweli?ulivyo na haraka na mshahara sidhani kama huwa una "save'' hata kidogo,kama ulikuwa umeshapanga kutoka out weekend ndo imekula kwako.
Tanzania uionayo sasa hivi haikuwa hivi miaka 10 iliyopita,fuatilia historia ya nchi yako ujue ilipotoka na sasa inaelekea wapi?
Kama uko Misungwi mcheki mawe matatu hapo mkuu.Jamani mshahara vipi mwezi huu? Tunakufwa njaa huku jamani.
Hahah sasa atakusaidiaje mkuu wkt yeye mwnyw analilia haki yake ya kupata mshahara?Wewe tayari umepata kaka? Mbona umenyamaza jamani, tusaidie hadi leo hakuna mshahara.
Mawe matatu ndio nani? Ana uhusiano gani na mshahara wangu kaka?Kama uko Misungwi mcheki mawe matatu hapo mkuu.
Ungekua Misungwi ungekua unamjua huyo mtu.Mawe matatu ndio nani? Ana uhusiano gani na mshahara wangu kaka?
Ninyi huko kwenye chama mumelipwa sivyo? Sisi bado hadi leo hii kaka angu.Kuna watumishi wa serikali wengine ni shida kama kuna vitu ambavyo serikali hii imejitahidi kufanya ni kulipa mishahara kwa wakati na ifike mahali tusiandike vitu vya kijinga kama hivi inaonesha namna gani akili zetu zilivyo kama mshahara umekuwa ukitoka kila tarehe 22-23 unalalamika nini mbona sasa tumeona tarehe 23 tumeuona umetoka vitu vingine serikali tunaisingizia tu tuwe waungwana
Mimi c mtumishi wa chama ni mtumishi wa serikali na mshahara nilishapata tarehe 23 jioni nashangaa wewe ni mtumishi wa wapi unalalamika humu jf as if mishahara wanatoa humuNinyi huko kwenye chama mumelipwa sivyo? Sisi bado hadi leo hii kaka angu.
Kwani ni lazima nimjue Baba yako? Kwanini unanilazimisha?Ungekua Misungwi ungekua unamjua huyo mtu.
Unalazimishwa nini?Kwani umeambiwe unyonye mboro hapa?Kwani ni lazima nimjue Baba yako? Kwanini unanilazimisha?
Hahahahaha,uyo atakuwa mtumishi wa Burundi ss Tz tushapata tar 23 kama kawaMimi c mtumishi wa chama ni mtumishi wa serikali na mshahara nilishapata tarehe 23 jioni nashangaa wewe ni mtumishi wa wapi unalalamika humu jf as if mishahara wanatoa humu