GANJA ROLLER
JF-Expert Member
- Sep 8, 2014
- 709
- 274
ngoja rastafarians waje wakujibu?
Peace and love
Rastafrie ni imani anayokuwa nayo mtu hata asiposokota dreadrock kichwani.Ni hali fulani ambayo Jah aliwapa waja ili ktk hiyo wamjue yeye.Kwahiyo kwa yule mama kumsokota mwanae halfu ye asisokote sio tatizo.Kuwa na rasta kichwani msingi mmoja ktk misingi mingi ya Rastafarie.Unaweza kukuta hana rasta ila kashika msingi wa kutokula nyama(kama hana nyota ya simba) au kuvuta ganja.Nachohisi yule mama anataka kuirisisha ile imani kwa mwanae ambalo ni jambo zuri sana.
ONE LOVE IN PEACE OF JAH